Watu wanalishwa "kauli mbiu" na watu ambao hatq wao hawako tayari kuaishi wanayoyatamka.
niliwaambia jamani hawa siku hizi wanauza mkaniona mshamba, hawa ndio wale mjini msingi kiuno.
en dat's where happines comes from, unaanzaje kufurahia ndoa na huku una mwenza mzigo? Waache unafiki.
Tatizo ngono tumeilarisha tumechukulia kama sifa mtu kua malaya mtaani
Mwanaume kuhudumia familia yake 100% ni unafiki?
Acha umburula , kuulizia hela ya wife huwa najishtukia sana mkuu japo bado sijajaaliwa uwezo mkubwa sana kifedha.
Mkuu nime-comment kabla sijaisoma hii ya kwako nikagundua kuwa ulichokigundua kwa huyo dada ni kile ambacho nimekigundua. Hivyo nakubali kuwa huyu dada amepoteza mwelekeo wa maisha ya ndoa kwa kukosa alichodhani atakipata.
Naomba msimshambulie maana mtamuongezea matatizo ya nafsi yake bali apatiwe ushauri utakaomuweka sawa, Dada ana uchungu.
wamezid kupotosha eti kuvumilia UMASKINI ndo true love. Wanaume wameshndwa majukumu hawa. Baba zetu walkua wanaume haswaa....mama zetu walitulia nyumban wakatulea, bila hata stress.
we mwanamke kuwa mvumilivu kama mama yako
BABA YAKO ALIVYOMUOA HAKUA HATA NA KITANDA LEO HII UNATAKA MWANAMME MWENYE LAMBORGIN????
utapigwa p sana utaachwa
poleee
sema ubatafuta mwanaume Mwenye MALENGO
PESA ZINAISHA NA ZINATAFUTWA VILE VILE
they fades away my dear
alafu inashangaza watu wanaotafutaga wanaume wenye hela wanapigwaga sana na kuachwa kipuuzi na watoto na mambo kama hayo
wale wanaomuomba Mungu wanapata mwenye kila kitu
WHO IS MR RIGHT???????najua unawaza mwenye pesa
unajidanganya sana my dada.
tafakari moyo wako unataka nini
she z havn a very happy family wth three kids. So she is actually speaking from xperience sio nyie wa kukariri ndoa ndoa ndoa. Mwenzio katoka kucelebrate her 5th annivesary ya ndoa upo? Narudia tafuta HELA.
My habari ndio hiyo, majukumu yamewashindaje, unakuta mwisho wa mwezi mwanaume macho yamemtoka anakuuliza "mshahara wako tayari umeingia" kha! mwanaume wa kweli anajua majukumu yake, anajua mwanamke kazi yake kuzaa kwa uchungu, hayo mengine tunasaidia tu.
Naona nawe umeamua kutoa ushauri, based on ur EXPERIENCE. Haaahaah! (usloweza kufanya usimshaur mwenzio afanye unless ka ulwah kulfanya.)