Usipohonga yakikukuta usilalamike

Usipohonga yakikukuta usilalamike

Totally hatuelewani Elli79 ndio maana hata mitazamo yetu ipo tofauti kidogo ndio maana nasema sio wanaume wote wapo sawa na ndio maana kuna wengine wanakuwa treated hivyo na wake zao kama mleta mada asemavyo kutokana na tabia zao za kiskafunje, yet kusaidiana katika mahusiano ipo sikatai but still mwanaume unatakiwa usimame kama mwanaume, hii convo ingekua uso kwa uso najua ungenielewa vizuuuri nini nasema
 
Last edited by a moderator:
Mpwa wangu Eli79 unaniuzia kesi huku ujue.....hebu njoo fasta
Totally hatuelewani Elli79 ndio maana hata mitazamo yetu ipo tofauti kidogo ndio maana nasema sio wanaume wote wapo sawa na ndio maana kuna wengine wanakuwa treated hivyo na wake zao kama mleta mada asemavyo kutokana na tabia zao za kiskafunje, yet kusaidiana katika mahusiano ipo sikatai but still mwanaume unatakiwa usimame kama mwanaume, hii convo ingekua uso kwa uso najua ungenielewa vizuuuri nini nasema
 
Last edited by a moderator:
Tabu ni kwamba hapa wengi wanadhan sie tunapinga hvi tunataka hela, ila ukwel tunajaribu kuwaeleza watu wenye tabia hii ni mzigo kwa namna gani, ili mabinti wawe na tahadhari na hlo, mapenzi/ndoa haingalii pesa ila upendo wa dhati, uvumilivu na ustahimilivu wa mambo, unaweza kuwa na mwanaume ambaye anakipato kidogo kabisa lakin akawa ni mtu mwenye anayejal familia, atajitahid kuifanya familia iwe na amani muda tuchukulie mtu anayepoke kima cha chin 180000 akaja nyumbani akatoa hata 80000 tu labda mama mwl anapokea 240000 take home, nikimaanisha labda anamkopo ndio maana akapata 240000 hv hiyo 80000 haita msaidia mama kujiongeza hapo katika bajet yake kulinga na maisha yao? itakuwa sawa na kubwa jinga ambalo linapokea 900000 alafu bado linapiga mizinga? huyu ni mwanaume wa kumvumilia? hebu wakaka kuwen wakwel hapo,hayo ni mahaba nifilisi kama si ujinga, ukwel ni kwamba akina kaka wengi mnamaliza pesa zenu kwenye starehe za kijinga kama pombe, kujifanya mnajua kutumia pesa bar sijui mnataka sifa kwa ma barmeid, Hakuna binadam asiejua kupenda na thaman ya kupendwa lakin lazim kila mmoja ajue wajibu wake hata kwakuchangiana kiduchu, Nyie wanaume mlilalamika kuwa wanawake ni magoli kipa, sie tukajiongeza ili maisha yaende. sasa mmekutwa na yapi hadi kujisahau na kuwa tegemezi tena?

Note: sio wanaume wote ni wale tegemez ndio walengwa

Asante mama kwa kufafanua vizuri, waambieeee👌👌👌👌mwanaume mwenye mkono mfupi ni mwiko kwangu, yet unamkuta anazungusha round kwa watu na kuhonga vimada nyumbani kumtegea mkewe, Mungu niepushe na wa aina hii wakae mbali na mimi
 
Totally hatuelewani Elli79 ndio maana hata mitazamo yetu ipo tofauti kidogo ndio maana nasema sio wanaume wote wapo sawa na ndio maana kuna wengine wanakuwa treated hivyo na wake zao kama mleta mada asemavyo kutokana na tabia zao za kiskafunje, yet kusaidiana katika mahusiano ipo sikatai but still mwanaume unatakiwa usimame kama mwanaume, hii convo ingekua uso kwa uso najua ungenielewa vizuuuri nini nasema
Njoo kiembe mbuzi tupige za uso kwa uso #joke !!!
Again, it's your fault kudate na mtu wa tabia hiyo. Na utakuta wengi wenu mnaishia kulalamika tu but you take zero action. Kuna bidada unlucky analalamika since 2011 jamaa keshamtotolesha watatu na bado ananyanyaswa, anaomba ushauri since 2011...whose fault do you think??
 
Last edited by a moderator:
Eti utanipa wakati wa kutafuta mtoto. Kaa nacho au urudu kwenu.:msela:
 
Tabu ni kwamba hapa wengi wanadhan sie tunapinga hvi tunataka hela, ila ukwel tunajaribu kuwaeleza watu wenye tabia hii ni mzigo kwa namna gani, ili mabinti wawe na tahadhari na hlo, mapenzi/ndoa haingalii pesa ila upendo wa dhati, uvumilivu na ustahimilivu wa mambo, unaweza kuwa na mwanaume ambaye anakipato kidogo kabisa lakin akawa ni mtu mwenye anayejal familia, atajitahid kuifanya familia iwe na amani muda tuchukulie mtu anayepoke kima cha chin 180000 akaja nyumbani akatoa hata 80000 tu labda mama mwl anapokea 240000 take home, nikimaanisha labda anamkopo ndio maana akapata 240000 hv hiyo 80000 haita msaidia mama kujiongeza hapo katika bajet yake kulinga na maisha yao? itakuwa sawa na kubwa jinga ambalo linapokea 900000 alafu bado linapiga mizinga? huyu ni mwanaume wa kumvumilia? hebu wakaka kuwen wakwel hapo,hayo ni mahaba nifilisi kama si ujinga, ukwel ni kwamba akina kaka wengi mnamaliza pesa zenu kwenye starehe za kijinga kama pombe, kujifanya mnajua kutumia pesa bar sijui mnataka sifa kwa ma barmeid, Hakuna binadam asiejua kupenda na thaman ya kupendwa lakin lazim kila mmoja ajue wajibu wake hata kwakuchangiana kiduchu, Nyie wanaume mlilalamika kuwa wanawake ni magoli kipa, sie tukajiongeza ili maisha yaende. sasa mmekutwa na yapi hadi kujisahau na kuwa tegemezi tena?

Note: sio wanaume wote ni wale tegemez ndio walengwa
We bidada, unaongelea mtu MUME? Au ni MWANAUME tu mnaishi nae...ujue kuna tofauti hapo eeh..!
 
Njoo kiembe mbuzi tupige za uso kwa uso #joke !!!
Again, it's your fault kudate na mtu wa tabia hiyo. Na utakuta wengi wenu mnaishia kulalamika tu but you take zero action. Kuna bidada unlucky analalamika since 2011 jamaa keshamtotolesha watatu na bado ananyanyaswa, anaomba ushauri since 2011...whose fault do you think??

Am not complaining my broda coz wakati natoa sikutaka arudishe in anyway, trust me am good at taking actions tena at times quick actions I have zero torelance kwenye ujinga nataka tu ukubali kuna wanaume wategezi kwenye majukumu
Kuhusu huyu dada angu unlucky binafsi huwa ananipa hasira siwezi kuongeza neno hapo nisijeibua emotions za watu
 
Last edited by a moderator:
We bidada, unaongelea mtu MUME? Au ni MWANAUME tu mnaishi nae...ujue kuna tofauti hapo eeh..!

Mbona kaka mnaanza kujigawa ghafla kha! mwanaume na Mume wote si mnasimamisha? wote mnazalisha? ok nazungumzia yule aliyeoa anayejua mshenga, mahali inatolewaje, na anajua akifanya hayo kinachofuata ni kuingia kwenye majukumu lakin anajikwepesha kwepesha. sasa wew unisaidie huyo ni Mwanaume au Mume
 
Mbona kaka mnaanza kujigawa ghafla kha! mwanaume na Mume wote si mnasimamisha? wote mnazalisha? ok nazungumzia yule aliyeoa anayejua mshenga, mahali inatolewaje, na anajua akifanya hayo kinachofuata ni kuingia kwenye majukumu lakin anajikwepesha kwepesha. sasa wew unisaidie huyo ni Mwanaume au Mume
Tofauti ya kuishi na mwanaume mmeokotana tu huko bar na yule mliyeokotana huko na akaja home na kutambulika ni kubwa bidada..! anyways, nimekuelewa sawia..!
 
50 by 50 mnaitaka afu mnalalamika.... Vumilia timiza majukumu
 
Ww naona hujisomi...
Sa ndoa ya nin kwako? Ikiwa mtoto unaweza kupata pasipo ndoa.
Kaa fikiria, then chukua hatua...
Ikiwa uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo, bx nakupa pole yako.

Kwa ushauri tu, what you think is totally wrong™
 
Mm nadhani kusaidiana haina shida kama mtu una kazi basi toa support ila kinachosikitisha ni pale ambapo mwanamke anasaidia lakini mwanaume hana upendo na pengine anachepuka nje hapo ndio kuna tatizo lakini sio kisa hana hela au anasaidiwa na mke basi avuliwe ubaba katika familia
 
Mtu tunaamka wote 6am tunapambana wote na mafoleni bills za nyumbani tunalipa half and half halafu eti unataka heshima ya mume,im soleeeeee chief unataka heshima ya mume embu kuwa mume kwanza take care of me and our kids uone kama sijakupigia na goti wakati nakupa.

Nachosema ni kwamba kama wanaume siku hizi wanataka wanawake ambao wana hela zao pia wakubali kuwa benefits zao flani flani lazma zipotee, for example, kujifanya ndo kichwa cha nyumba, kujifanya una sauti kwenye maisha ya mkeo, kupewa unyumba unapojiskia, chief hata tendo la ndoa linanoga pale unapokuwa na mtu anaejua ku take care mwanamke.

Mtu unanilipisha kila kitu half half alafu kila siku wataka nigeuzakama za kwenye movie za X hapana aiseeee, hapo tendo itabidi lifanyike wakati wa kutafuta mtoto basi na nyie wanawake acheni uzuzu sio lazma uwe na mume jamani ili uwe kamili. Bora uwe mwenyewe kuliko kuwa na jitu hata shingi kumi halikusaidiiii..! eeeh women power ndo hiiiiii...! Wengi wenu mnakuwa desparate hamtaki kuwa single mnaona kuliko kuwa single bora uwe na anyone. mwingine anaona bora atoke tu na yoyote for now then Mr. right akitokea atasepa atamwacha huyo apache.

Hapo ndo mnapokosea ukishaingia kwenye relationship na hawa wasio na kitu kutoka ni shidaaaaaaaaaaaa hakuachiii ngooo...! na huwezi pata anybody else coz ana monitor kila kitu chako. Yaani anakuwa na wivu wa balaaaa maana anajua kabisa he doesnt deserve you basi anabana kona zoooooote.

Hupati mtu ngoo¡-! mpaka utajikuta unaolewa nae, ahhahahahahhahahahah. Dont settle for less that what you deserve, bora ukae single mpaka Mr. right aje..!! Mwisho wa kunukuu, by Mange Kimambi

Wanawake hawajaanza kufanya kazi leo,tangu zamani wanafanya kazi. Tujiulize je,pesa yao au mapato yao walikuwa wanapeleka wapi?

Je,matumizi ya pesa ya mwanamke aliyeolewa ni yapi?

Kama huu ndiyo mtazamo wa wanawake wa kizazi hiki,je mwanamke akiwa na mshahara mkubwa kuliko mumewe ina maana amdharau mumewe?

Haya ndiyo madhara ya sentesi kama hii SOMA MWANANGU USIJE UKANYANYASWA NA MUMEO
 
Back
Top Bottom