Usipohonga yakikukuta usilalamike

Usipohonga yakikukuta usilalamike

Anawadanganya Wanawake Wenzake Ili Wasiolewe Kweli ----- Huyu
 
Mh!mimi ndo sijaelewa amaaa???mimi naona amenukuu.yani maneno si yake.ila kashambuliwa kavile yeye ndo kaitengeneza hyo article.japo amejitetea ila mmemcharukia kama vile yeye ndo mtunzi.
 
"baba anaonekana DON sana eeh au ulipata huu ushauri kutoka kwa mama baada ya kuachana na baba yako."

Wala wa kawaida though anajitambua toka nakua namuona akiamka alfajiri kutafuta mkate wa kila cku na kuhakikisha familia inasmama. Ndoa za cku hiz watoto wanalelewa na housgel baba na mama wako busy kuzisaka. Cjasema watu wawe magolkeeper bali watafute kpato kwa afya kwa kujua baba KICHWA CHA FAMILIA atamaliza the rest. Sio baba busy, mama busy io ndoa biashara? Nikifanya kaz huku najua kuna back up ya mume na upendo unawekuwepo napata pia muda wa kukutunza kama mkeo.
 
Mh!mimi ndo sijaelewa amaaa???mimi naona amenukuu.yani maneno si yake.ila kashambuliwa kavile yeye ndo kaitengeneza hyo article.japo amejitetea ila mmemcharukia kama vile yeye ndo mtunzi.

ELIMU nayo tatizo, wameendekeza kuquote without known wat does da action QUOTE means....kaaaz kweli kweli!
 
Hii ni hadithi ya sungura sizitaki mbichi hizi,inaonyesha mtu alipiga jiwe akitegemea ni mpira...toka ulimwengu unaumbwa HAIJAWAHI na HAITAKAA ITOKEE mwanamke akawa ni mshauri sahihi na sawa kwa mwanamke mwenzake katika ustawi wowote iwe ni kimahusiano au kiuchumi..hivi kati ya hela na upendo/mapenzi kipi kilitangulia kuzaliwa ili kiheshimiwe??
 
Wewe,look here!Wanandoa siyo b'ness partners kwamba mwisho wa siku mnashare gharama,faida na hasara.You're so mean sis!
 
Kwa kiasi kikubwa elimu inawatia ujinga sana wanawake wa nyakati hizi badala ya kuwapanua mawazo wanakuwa wajinga.....ile dhana ya kuwa ukimwelimisha mwanamke utakuwa umeelimisha jamii nzima, imeshapoteza maana....ikiwa wanawake wasomi ndio dizaini ya mtoa mada....
 
wamezid kupotosha eti kuvumilia UMASKINI ndo true love. Wanaume wameshndwa majukumu hawa. Baba zetu walkua wanaume haswaa....mama zetu walitulia nyumban wakatulea, bila hata stress.

Mpoleee ujinga wa Mange kimambi wa u-turn unauleta kwa GTs na kuupigia debe?u out of ur mind!Cc@nifah
 
Last edited by a moderator:
Kumbe napaswa kumhonga my wife, sawa!
 
we mwanamke kuwa mvumilivu kama mama yako
BABA YAKO ALIVYOMUOA HAKUA HATA NA KITANDA LEO HII UNATAKA MWANAMME MWENYE LAMBORGIN????

utapigwa p sana utaachwa
poleee

sema ubatafuta mwanaume Mwenye MALENGO
PESA ZINAISHA NA ZINATAFUTWA VILE VILE

they fades away my dear

alafu inashangaza watu wanaotafutaga wanaume wenye hela wanapigwaga sana na kuachwa kipuuzi na watoto na mambo kama hayo
wale wanaomuomba Mungu wanapata mwenye kila kitu

WHO IS MR RIGHT???????najua unawaza mwenye pesa
unajidanganya sana my dada.
tafakari moyo wako unataka nini

Kuanzia Leo nimeanza kukuheshimu.nice comment
 
we mwanamke kuwa mvumilivu kama mama yako
BABA YAKO ALIVYOMUOA HAKUA HATA NA KITANDA LEO HII UNATAKA MWANAMME MWENYE LAMBORGIN????

utapigwa p sana utaachwa
poleee

sema ubatafuta mwanaume Mwenye MALENGO
PESA ZINAISHA NA ZINATAFUTWA VILE VILE

they fades away my dear

alafu inashangaza watu wanaotafutaga wanaume wenye hela wanapigwaga sana na kuachwa kipuuzi na watoto na mambo kama hayo
wale wanaomuomba Mungu wanapata mwenye kila kitu

WHO IS MR RIGHT???????najua unawaza mwenye pesa
unajidanganya sana my dada.
tafakari moyo wako unataka nini

Nailed it
 
Mtu tunaamka wote 6am tunapambana wote na mafoleni bills za nyumbani tunalipa half and half alafu eti unataka heshima ya mume,im soleeeeee chief unataka heshima ya mume embu kuwa mume kwanza take care of me and our kids uone kama sijakupigia na goti wakati nakupa chakula,,,,hahahahhahahhahahaha...! Nachosema ni kwamba kama wanaume siku hizi wanataka wanawake ambao wana hela zao pia wakubali kuwa benefits zao flani flani lazma zipoteeee, for example, kujifanya ndo kichwa cha nyumba, kujifanya una sauti kwenye maisha ya mkeo, kupewa unyumba unapojiskia, chief hata tendo la ndoa linanoga pale unapokuwa na mtu anaejua ku take care mwanamke...! mtu unanilipisha kila kitu half half alafu kila siku wataka nigeuzakama za kwenye movie za X hapana aiseeee, hapo tendo itabidi lifanyike wakati wa kutafuta mtoto basi...! hahahahh na nyie wanawake acheni uzuzu sio lazma uwe na mume jamani ili uwe kamili. Bora uwe mwenyewe kuliko kuwa na jitu hata shingi kumi halikusaidiiii..! eeeh women power ndo hiiiiii...! Wengi wenu mnakuwa desparate hamtaki kuwa single mnaona kuliko kuwa single bora uwe na anyone. mwingine anaona bora atoke tu na yoyote for now then Mr. right akitokea atasepa atamwacha huyo apache...! Hapo ndo mnapokosea ukishaingia kwenye relationship na hawa wasio na kitu kutoka ni shidaaaaaaaaaaaa hakuachiii ngooo...! na huwezi pata anybody else coz ana monitor kila kitu chako. Yani anakuwa na wivu wa balaaaa maana anajua kabisa he doesnt deserve you basi anabana kona zoooooote.hupati mtu ngoo¡-! mpaka utajikuta unaolewa nae, ahhahahahahhahahahah. Dont settle for less that what you deserve, bora ukae single mpaka Mr. right aje..!! Mwisho wa kunukuu, by Mange Kimambi

Watu wanajifariji hapa jf baada ya kupoteza muelekeo wa maisha ya ndoa.
Dada pole sana, na nina hakika wapo wanawake wenzako wanaokushangaa kwa ulichoandika.
 
Sio dalili huyu kesha shindwa anatafuta justification ya kushindwa kwake

Mkuu nime-comment kabla sijaisoma hii ya kwako nikagundua kuwa ulichokigundua kwa huyo dada ni kile ambacho nimekigundua. Hivyo nakubali kuwa huyu dada amepoteza mwelekeo wa maisha ya ndoa kwa kukosa alichodhani atakipata.
Naomba msimshambulie maana mtamuongezea matatizo ya nafsi yake bali apatiwe ushauri utakaomuweka sawa, Dada ana uchungu.
 
Kwa kiasi kikubwa elimu inawatia ujinga sana wanawake wa nyakati hizi badala ya kuwapanua mawazo wanakuwa wajinga.....ile dhana ya kuwa ukimwelimisha mwanamke utakuwa umeelimisha jamii nzima, imeshapoteza maana....ikiwa wanawake wasomi ndio dizaini ya mtoa mada....
Watu wanalishwa "kauli mbiu" na watu ambao hatq wao hawako tayari kuaishi wanayoyatamka.
 
Back
Top Bottom