Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,642
uko pande zipi?Numupanga kabisa mayu. Mulimo na uza mukulu.
uko pande zipi?Numupanga kabisa mayu. Mulimo na uza mukulu.
wNumupanga kabisa mayu. Mulimo na uza mukulu.
Anyiramba wapo singida tena.Numupanga kabisa mayu. Mulimo na uza mukulu.
Mlenda sio mboga bali ni lifti ya tonge.
wanyiramba wapo singida tena.
Lugh tu mkuu, mie sio mnyiramba ila hiyo kitu hata nile kila siku safi tu.
ndio yenyewe hiyo shida ni kwa wazee wa baga na pizzeriaLugh tu mkuu, mie sio mnyiramba ila hiyo kitu hata nile kila siku safi tu.
Mboga inaleta ladha tu ya kukuwezesha kupata hamu ya kukata matonge.Ha ha haaa, kwani kazi ya mboga ni ipi mkuu?
Mboga inaleta ladha tu ya kukuwezesha kupata hamu ya kukata matonge.
Amuchaa munyampaaUghae na ikhonda (ugali na mlenda)
Hapo vinakosekana mtindi na nyama ya kuchoma....
Nyama ni mboga ila sio lift kwa sababu haina uterezi kama mlenda.Si ndio lift yenyewe hiyo mkuu? huko ni kucheza na maneno tu....
ahahaha,magae ya ntolu au magae ya kanta?ndalu halafu kuwepo na magai pembeni