Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Hahahahahaaa jamani nacheka sina mbav🤣🤣🤣🤣🤣 dah..uanaume kazi jamaniNgoja nitulie nitaleta visa vitatu vilivyonikuta. Huwezi tongoza akikuangalia unakwepesha macho
Hahahahahaaa jamani nacheka sina mbav🤣🤣🤣🤣🤣 dah..uanaume kazi jamaniNgoja nitulie nitaleta visa vitatu vilivyonikuta. Huwezi tongoza akikuangalia unakwepesha macho
Ngoja nitulie nitaleta visa vitatu vilivyonikuta. Huwezi tongoza akikuangalia unakwepesha macho
🤣🤣🤣🤣🤣!Wanaume tuliowengi nguvu za kiume hua zinapotea kabisa mshedede unalegea kama matembele yaliyopigwa na jua, unabaki kujitetea yaani sijui ni mawazo au ni nini ili kuua sooo ukweli mfuko ukiwa mtupu kazi kwelikweli
kama huna pesa jeuri yote hakunaaa...aliyeleta pesa alizingua big time.Ngoja nitulie nitaleta visa vitatu vilivyonikuta. Huwezi tongoza akikuangalia unakwepesha macho
Umenichekesha sana mkuu, mpaka mama ntilie unaona kakuzidi maarifaAdi ukipewa buku unaona kama umepewa million yaani adi bodaboda unawaona matajiri.
😂😂😂😂😂😂😂Ngoja nitulie nitaleta visa vitatu vilivyonikuta. Huwezi tongoza akikuangalia unakwepesha macho
Ebu tushirikishe wazo lako mkuuhilo wazo unalitekeleza na nini km huna hela unafikiri wasiokuwa na hela hawana mawazo? Mimi hapa nna ideal ya biashara lakini mfukoni hapa nilipo nna buku tu hilo wazo nnalifanyaje.
Acha utapeli wewe,Ngoja nikutumie chapu
N.b Mimi ndio mtoa uzi na hii Ni I'd yangu nyingine![]()
Pole...mwanga unakaribiaKwakweli haya maisha mungu atusaideie napitia wakati mgumu sana sasa hivi baada ya kusimama kazi kipindi cha korona mwaka jana, kupata kazi nyingine imekuwa ni inshu sana mwenye nuymba wangu nilimweleza tangu mwaka jana mwezi wa 6 hajanidai mpaka leo.. kulala na kushinda bila kula imekuwa ni kawaida nimepungua kilo 15 kutoka nilivyokuwa.... Mungu nisaidie tu
Pole Mkuu nakuelewa, kuna dogo kamaliza degree 2018 Juzi kati nakutana nae akanambia nimpe sehem ajishikize wakat anasikilizia application zake, nikamwambia panda gari nenda eneo fulan utakuta vijana pale ungana nao, alisema nitaendaje? Nauli 5000/=.Niliwahi shinda njaa siku mbili Sina hata Mia ,
Afu nilikuwa nafanya special exam so washikaji wengi wameenda kwao,
ghafla watot wa jirani wakanambia uncle mama alinunua vitumbua asubuhi ,
Dah nilivila kwa uzuni kinoma nikashushia na maji ,
Kesho yake asubuhi kwenye paper,
Cha kusikitisha mbaka saizi hali ni hovyo.
Umasikini ni mazafaka
Wewe ni mwalimu lakini mkuu,Afadhali yako huna familia
Mimi dogo amerudishwa school kisa nimeshidwa kulipa 8000 ya uji
Na mvua ndio zinanyesha hatari, dogo viatu vimechanika maji yanaingia mpaka ndani
,
Nikaenda kukopa vibuti vya kavaa dogo awe anavaa aende navyo shule, yule mama ananidai utazan amenikopesha moyo daily hodi haziishi
KUMBE HII MBINU YA KUSAGIA MAGUNZI KWENYE DONNA UNAIJUA?KWELI WEWE NI WA MITIKASI MINGI AT NO LONGER MAGUNZI HAYATATUPWA TENA KWANI YAMEGEUKA NI DONA SAFI SANA.Hahahaa huko shule mzee mtoto ata digest sunlight au lazima apige food tena liuji la dona wanasagia huko na magunzi kidogo ili washibe haraka
mzee si juzi tu ulikuwa unakula bia na dingi yako na ukasema hamna njaa za hovyo?


Acha tufarijiane tuliofuliaHizi ndo nyuzi tunazopenda Wanajf


Kwanini utupa line? Ina maana hutahitaji tena msaada wa songesha? Utatupa line ngapi?Mkuu Kuna hela ya songesha 16,500 voda kopa alaf tupa laini yao.
3,500 nunua karanga kilo, alaf buku nununua mkaa, buku jero nunua ile mifuko ya plastic ya kufungia karanga, mia mbili nunua mshumaa, kaanga karanga alaf zifunge ukauze stand
mfukon utabaki na 10,300 hapo buni biashara nyingine inayo endana na karanga hapo weka hata fegi
Nashangaa watu wanahangaika na dawa za miti shamba nguvu za kiume. Wee ukiwa na hela mwanaume hupati tabu za nguvu za kiume maana kwanza full confidenceWanaume tuliowengi nguvu za kiume hua zinapotea kabisa mshedede unalegea kama matembele yaliyopigwa na jua, unabaki kujitetea yaani sijui ni mawazo au ni nini ili kuua sooo ukweli mfuko ukiwa mtupu kazi kwelikweli
🤣 🤣 🤣 🤣Mkuu Kuna hela ya songesha 16,500 voda kopa alaf tupa laini yao