Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,640
Yeah kiasi najitahidi. Napambana kukaa sawa..si unajua tena biashara zinavyosumbua.Lakini umetoka huko![]()
Yeah kiasi najitahidi. Napambana kukaa sawa..si unajua tena biashara zinavyosumbua.Lakini umetoka huko![]()
Nop..nimemanisha umetoka kuzichota sio muda...! Yeah tupambane tusichoke🥰Yeah kiasi najitahidi. Napambana kukaa sawa..si unajua tena biashara zinavyosumbua.
Oooh, nilitoka kuzitumia nimerudi emptyNop..nimemanisha umetoka kuzichota sio muda...! Yeah tupambane tusichoke![]()

Ndiyo maana mimi nikishanunua unga wangu kiloba cha 5kg ni mwendo wa mafungu ya samaki na vdari vya kuku place maziwa mtindimzee shida ya kupika mwenyewe huwa ni gharama kushinda hata kwenda kula mgahawani ugali wa buku jelo
Yaani mwanafunzi anarudishwa shule kisa hela ya uji? Hii nchi HiiAfadhali yako huna familia
Mimi dogo amerudishwa school kisa nimeshidwa kulipa 8000 ya uji
Na mvua ndio zinanyesha hatari, dogo viatu vimechanika maji yanaingia mpaka ndani
,
Nikaenda kukopa vibuti vya kavaa dogo awe anavaa aende navyo shule, yule mama ananidai utazan amenikopesha moyo daily hodi haziishi

Hatari sana lakini pia ni bonge la experience kwenye safari ya kuiheshimu hela.Mie koote sijawah umia kama kukosa shilingi 100 niongezee 200 nikanunue chumvi mwaka 2010!na hapo nna mgeni shemej yangu kaja kututembelea nimechinja kuku sina chumv na ndo kwanza nna siku kadhaa tu toka nitoke hom kuja kuishi na mshikaji nna katoto kachangaaa nililiaaa alafu mbya zaidi sina mazoea kabs na majirani ..kwanza nilikua sitoki toki nje enzi hizo mtoto wa kishua balaaa shenzi zangu..mshikaj anarud usk namwambia mimi nataka kurudi hom nimemmis baba! Sitak tena yale maisha mm...ya kusubiri upewe!! Yaishie hukooo!nyoko kbs
huo ni ugonjwa usiombe uupateHivi umewahi kukosa hela na huku unanuka madeni mpaka ukatamani hata mtu akosee kutuma mpesa, au tigo pesa, ili hela ije kwako? Au ukatembeatembea ukiamini unaweza hata okota hela mtu aliyedondosha? Kweli wanaume tumeumbwa matesooooo, matessooo kuhangaika.
Nina salio la buku (1000) kwenye wallet ndio kwanza jumatatu. Ee Mola ninusuru. Wangapi tunapitia haya? kama unaamini ni mapito tuu na sisi sikumoja tutakuwa na fedha za kutosheleza mahitaji yetu type Amen.
uji tenaYaani mwanafunzi anarudishwa shule kisa hela ya uji? Hii nchi Hii
Kwani hawezi kusoma bila kunywa uji?
Yani muda wa uji ukifika ambao hawajalipa wasinywe, sasa mwl mkuu anashuhudia hili na anacheka aisee!
Kukosa hela balaa hata watoto wadogo hawakuamkii shikamoo!! Unapita wao wanaendelea kucheza mpira tu!!Hivi umewahi kukosa hela na huku unanuka madeni mpaka ukatamani hata mtu akosee kutuma mpesa, au tigo pesa, ili hela ije kwako? Au ukatembeatembea ukiamini unaweza hata okota hela mtu aliyedondosha? Kweli wanaume tumeumbwa matesooooo, matessooo kuhangaika.
Nina salio la buku (1000) kwenye wallet ndio kwanza jumatatu. Ee Mola ninusuru. Wangapi tunapitia haya? kama unaamini ni mapito tuu na sisi sikumoja tutakuwa na fedha za kutosheleza mahitaji yetu type Amen.
Hivi umewahi kukosa hela na huku unanuka madeni mpaka ukatamani hata mtu akosee kutuma mpesa, au tigo pesa, ili hela ije kwako? Au ukatembeatembea ukiamini unaweza hata okota hela mtu aliyedondosha? Kweli wanaume tumeumbwa matesooooo, matessooo kuhangaika.
Nina salio la buku (1000) kwenye wallet ndio kwanza jumatatu. Ee Mola ninusuru. Wangapi tunapitia haya? kama unaamini ni mapito tuu na sisi sikumoja tutakuwa na fedha za kutosheleza mahitaji yetu type Amen.
Hiyo hutokea automatically kama hujamfeel huyo mnyanduaji, pesa haikuwahi kuziondoa genye aisee mkuu wanguDuh..ila sisi wanawake wakipata hela hamu za kunyanduana hua zinakata...sijajua sasa!yaani nnapotaka mimi sio ww unapotaka
Tumepokea upako mamaa ya ruvu🤭😅🤣Ukiwa huna hela hata nyege hazipandagi, Kama Ni mwanaume hata ikikatiza pisi kali yenye chura Ni Kama huioni,, njaa mbaya sana, nawaombea wote mnaopitia magumu ya kiuchumi Mungu atufanyie wepesi maisha magumu sana jamani
Vibaya sana...kurudi Caanan mm hapana...Hatari sana lakini pia ni bonge la experience kwenye safari ya kuiheshimu hela.
Amen amen, 😅😅Tumepokea upako mamaa ya ruvu🤭😅🤣
Hahahahahaa jamani nimechekaaaKukosa hela balaa hata watoto wadogo hawakuamkii shikamoo!! Unapita wao wanaendelea kucheza mpira tu!!
Vibaya sana...kurudi Caanan mm hapana...
YupoUpo na baba watoto au ulimwacha na shida zake?