gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
Nipo nalimaHee....kumbe tuko mji mmoja...kaza mkuu..so una mishe gan
Nipo nalimaHee....kumbe tuko mji mmoja...kaza mkuu..so una mishe gan
Duh...watu na vilimo vyenu ..kuna kijana kanifata juzi ananishawishi tulime 🌻🌻..amenipgia hesabu weee...mie kilimo nimestaafu...ila nnashawishika mno mno kulima katani...bado natake note...all the best..unalima nn?Nipo nalima
AAMIINDah! Hatari Sana, unapauka gafla Huku ukijishtukia shtukia
Mwaka jana ilikuwa mpunga nililimia mbeya Usangu, mwaka huu nipo na mahindi, naona Pm yako umeifungaDuh...watu na vilimo vyenu ..kuna kijana kanifata juzi ananishawishi tulime..amenipgia hesabu weee...mie kilimo nimestaafu...ila nnashawishika mno mno kulima katani...bado natake note...all the best..unalima nn?
Ohh hongera sana mkuu..bt kilimo kinahitaji hela sana..labda hujajua...nakufunguliaMwaka jana ilikuwa mpunga nililimia mbeya Usangu, mwaka huu nipo na mahindi, naona Pm yako umeifunga
TuchekianeMwaka jana ilikuwa mpunga nililimia mbeya Usangu, mwaka huu nipo na mahindi, naona Pm yako umeifunga
Dah pole mkuuAfadhali yako huna familia
Mimi dogo amerudishwa school kisa nimeshidwa kulipa 8000 ya uji
Na mvua ndio zinanyesha hatari, dogo viatu vimechanika maji yanaingia mpaka ndani
,
Nikaenda kukopa vibuti vya kavaa dogo awe anavaa aende navyo shule, yule mama ananidai utazan amenikopesha moyo daily hodi haziishi
Mume wako inabidi amshukuru Mungu kila siku kwa kumpa mke kama weweAlipoingia Hayati wa Africa ike sekeseke la vyeti bas mume wangu akasimamishwa kazi...ikaonekama cheti cha form 4 jina la kati kati likawa tofaut na cheti cha chuo...wakamsimamisha bila payment kwa 3mths..alidata..mie skudata...bas nikajikuta naenda mawenzi nikanunua matunda meengi embe ng'ong'o zile nilinunua kama za 9000.nikazitengeneza juic...asbh nikaenda nayo juic job...bas haikukaa hata masaa ikaisha..bas ikawa ndo kaz yangu jaman Mungu alinishika mkono niliuza juic bila aibu..yaan nikawa napata shiling kwa shiling ..yaan hom narudi na faida nene...wakawa wanaishobokea balaa! Lakin mwenzang alijikunyataaa....nilimtoa balaa....ila nyir mna aibuu..sijui tu
Amen🙏Nnakumbuka enzi nimemaliza chuo nnapiga deiwaka K.koo, aloo kuna siku inakata hujapata hata mia na unatakiwa ule na kupanda daladala, eti leo nnakula msosi sahani buku 5 na nnaona kawaida? Mungu nikumbushe kukushukuru
bado umeifunga labda unitumie ujumbe, mimi yangu iko waziTuchekiane
Tena hela kweli kweli sio hela za mawazo, maama unaweza kufa kwa preshaOhh hongera sana mkuu..bt kilimo kinahitaji hela sana..labda hujajua...nakufungulia
Nnakumbuka enzi nimemaliza chuo nnapiga deiwaka K.koo, aloo kuna siku inakata hujapata hata mia na unatakiwa ule na kupanda daladala, eti leo nnakula msosi sahani buku 5 na nnaona kawaida? Mungu nikumbushe kukushukuru

Duh...hayabado umeifunga labda unitumie ujumbe, mimi yangu iko wazi