Usiombee kukosa hela

Usiombee kukosa hela

malipo ni hapahapa dunuani watu walimsifia sana mwendazake , sasa ndio tunaona reality, kila mtu analia hata wabunge na posho zote bado wanalia, walimu ndio kabisaaa, wafanyakazi choka mbaya mikopo kibaaao kuna jamaa alinionyeshaga nakala yake ya mshahara (salary slip) yaani mtu ana mke na watoto anapokea 72,000/= na bado anaishi hajafa, hapo mshahara wake ni zaidi ya laki7 ni mtumishi wa umma , mikopo sijui nini sijui nini balaa tupu, na mtu kama huyo unakuta anaenda kabisa kupiga kura

Acha siasa ndugu. Suala la kufulia halina uhusiano na mwendazake wala nini. Lipo tangu enzi na enzi...ni kipindi cha mpito kinachoweza mtokea mtu yoyote.
 
Kwanini utupa line? Ina maana hutahitaji tena msaada wa songesha? Utatupa line ngapi?
Bora kutupa tu mtandao wa voda gharama zake ziko juu kwa kila kitu
 
Bora sisi wanaume. Wanawake wanakuwa mara mbili yetu.Ngoja waje kusimulia yao.

Kuna kipindi Unakuta mwanamke mzuri hatongozwi wala kupewa salamu miezi.Hapo unakuta kila kitu ndani kwake kimeisha nywele zimeoteana tumbo la period linamsumbua.Hana hata mia madeni kibao.
hatari
 
Ukishatupa hutahitaji tena kukopa? Maisha yatanyooka kuanzia hapo?
Mkopo mwngne si had ulipe den na riba juu Sasa hiyo hela ya kulipa den bora aongezee mtaj kwenye hiyo biashara siku mambo yakinyookaa ataenda kusajili line mpya
 
Mkopo mwngne si had ulipe den na riba juu Sasa hiyo hela ya kulipa den bora aongezee mtaj kwenye hiyo biashara siku mambo yakinyookaa ataenda kusajili line mpya
Mmh haya
 
Afadhali yako huna familia

Mimi dogo amerudishwa school kisa nimeshidwa kulipa 8000 ya uji

Na mvua ndio zinanyesha hatari, dogo viatu vimechanika maji yanaingia mpaka ndani
,
Nikaenda kukopa vibuti vya kavaa dogo awe anavaa aende navyo shule, yule mama ananidai utazan amenikopesha moyo daily hodi haziishi
Nisamehe nimejikuta nacheka kama mazuri vile

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Ishanitokea sana hiyo,kuna siku mwaka juzi nimeamka asubuhi sina hata 50 mtoto njaa inauma na ndani ya nyumba tuna maharage,unga lakini hatuna hela ya mkaa. Nishakopa kwa jirani mkaa wa karibia huku 7 na siwezi kwenda kopa tena. Maisha ni safari
 
Ishanitokea sana hiyo,kuna siku mwaka juzi nimeamka asubuhi sina hata 50 mtoto njaa inauma na ndani ya nyumba tuna maharage,unga lakini hatuna hela ya mkaa. Nishakopa kwa jirani mkaa wa karibia huku 7 na siwezi kwenda kopa tena. Maisha ni safari
Mie koote sijawah umia kama kukosa shilingi 100 niongezee 200 nikanunue chumvi mwaka 2010!na hapo nna mgeni shemej yangu kaja kututembelea nimechinja kuku sina chumv na ndo kwanza nna siku kadhaa tu toka nitoke hom kuja kuishi na mshikaji nna katoto kachangaaa nililiaaa alafu mbya zaidi sina mazoea kabs na majirani ..kwanza nilikua sitoki toki nje enzi hizo mtoto wa kishua balaaa shenzi zangu..mshikaj anarud usk namwambia mimi nataka kurudi hom nimemmis baba🤣! Sitak tena yale maisha mm...ya kusubiri upewe!! Yaishie hukooo!nyoko kbs
 
Back
Top Bottom