Ndo hapo sasa inabidi kujicommit walau kusave kiasi....yaan walau kwa mwez usave 50kDa yaan hapa nimekumbuka wakati nimetoka mkoani kuja dar kufanya biashara baada ya kupewa michongo ya biashara hiyo nlikuja na mtaji wangu wa kutosha kabisa kwa hiyo biashara nikiwa nimeacha familia mkoa ili niweke mazingira sawa kisha wanifuate kweli baada ya kukutana na wadau kadhaa ambao ni madalali wa mzigo ninaotaka kufanyia mchakato nikaagiza mzigo nikamkabidhi dalali sikuamini siku ambayo tulikubaliana na dalali mzigo utakua umeisha ili anikabidhi changu dalali akaumwa akalazwa hapo ndio ngoma ilipoanzia sikua na mia hela ikajikuta imeteketea mkoa nadaiwa ada nadaiwa kodi mwenyewe hapo nna Siku kama tatu nashindia maji nalalia maji phone book haina msaada tena maana ushapiga ukware wa kutosha
Touching! Sasa kuna wengine unawavumiliaaa...wakipokea mshahara badala akupgir tafu na ww majukumu unaona anaongizana daily na jirani kuzigonga bia na makitimoto...bas akusaidie kununua walau sukar hakuna...huyoooo..tar 1 ikifika hana mia ..anarudi kuanza kuomba omba...wanaume mna matatizo sana aise...Wakuu mtu kama hajapitia hii hali akisoma hapa anahisi kua ni chai,ila nimepitia hii hali na bado napambana ila nilikotoka kulikua kubaya mno,home hujaacha kitu nauli yenyewe ya kukuleta kazini umeenda kukopa kwa mangi mliozoeana tena mia tano ya kukupeleka kurudi utajulia huko huko kazini,madeni ni kila mahali unaishi kama digidigi unawaza kichwa kinauma,mda wote ni hasira tu hata dogo home akitaka kucheza na wewe unamuwakia utadhani yeye ndo kasababisha hali hii,wife anakuogopa maana mudawote umekula wa mbuzi hutaki story.
Wanaume wenzangu katika kuoa tuombe mungu tupate yule mwanamke anaeweza kuvumilia hali yoyote ile ,ilifika mahali nikahisi huyu mwanamke anaweza kunikimbia manana ukikosa hela hata kujiamini kunapotea. Nashukuru amekua bega kwa bega na mimi na mdogo mdogo najipanga sitaki nirudi nilikotoka.Japo wanaume sijui hua tunafeli wapi unaweza pitia magumu yote hayo lakini siku ukizipata unasahau unarudi kulekule.Mungu anaisaidie na anisimamie.Amina
Unachosema ni kweli,ila sasa mimi basi huo upuuzi taratibu nauacha,life limenipa somo kibabe sana,na nimenyooka dadeki.Touching! Sasa kuna wengine unawavumiliaaa...wakipokea mshahara badala akupgir tafu na ww majukumu unaona anaongizana daily na jirani kuzigonga bia na makitimoto...bas akusaidie kununua walau sukar hakuna...huyoooo..tar 1 ikifika hana mia ..anarudi kuanza kuomba omba...wanaume mna matatizo sana aise...
Hongera mkuu...mie nasemaga fanyen yote lakini kumbukrni kununua misos ya familiaUnachosema ni kweli,ila sasa mimi basi huo upuuzi taratibu nauacha,life limenipa somo kibabe sana,na nimenyooka dadeki.
Swadakta kabisa,hilo ndo la kwanza hata ukikata ringi uhakika wa kula upo.Hongera mkuu...mie nasemaga fanyen yote lakini kumbukrni kununua misos ya familia
Nipo hapaHivi umewahi kukosa hela na huku unanuka madeni mpaka ukatamani hata mtu akosee kutuma mpesa, au tigo pesa, ili hela ije kwako?
Au ukatembeatembea ukiamini unaweza hata okota hela mtu aliyedondosha? Kweli wanaume tumeumbwa matesooooo, matessooo kuhangaika.
Nina salio la buku (1000) kwenye wallet ndio kwanza jumatatu. Ee Mola ninusuru.
Wangapi tunapitia haya?? kama unaamini ni mapito tuu na sisi sikumoja tutakuwa na fedha za kutosheleza mahitaji yetu type Amen.
huyu manzi akashtuka nimi sijui nikashangaa kanitumia 50k kaniambia njoo Ta upumzike kwanza ujipange upya, to cut the story mwaka huu mwezi wa tatu ndio nilichoka nadaiwa kodi, mara shamba nililomaga limenishinda n.k nakumbuka siku hiyo nimebaki na mb 200 nikaandika uzi nikautupia kule kwenye Jukwaa la tenda na ajira baada ya hapo bundle likakata wadau wakaanza kunicheki nikapata msaada japo bado napambana maana sina kazi ila haya maisha ukiwa lele mama unaweza ukakimbia dunia hii au unaweza ufanye mambo ya ajabu ili usurvive hali inatisha, ila nimegiundua kwamba Mungu anatupa mitihani kutupima imani yetu juu yake na anatupa mitihani ambayo tunaweza kuikabili.. pia tuishi na watu vizuri haswa watu baki maana wao ndio wanaweza kukusaidia kuliko ndugu zako talking from the experience..
Kwa kweli ni kazi sana haya maisha acha tu ndugu yangu kuna siku Unaamka huna hata miaa alafu upo na familia..!! Dada wa kazi anakuangalia na mama anakuangalia..Wakuu mtu kama hajapitia hii hali akisoma hapa anahisi kua ni chai,ila nimepitia hii hali na bado napambana ila nilikotoka kulikua kubaya mno,home hujaacha kitu nauli yenyewe ya kukuleta kazini umeenda kukopa kwa mangi mliozoeana tena mia tano ya kukupeleka kurudi utajulia huko huko kazini,madeni ni kila mahali unaishi kama digidigi unawaza kichwa kinauma,mda wote ni hasira tu hata dogo home akitaka kucheza na wewe unamuwakia utadhani yeye ndo kasababisha hali hii,wife anakuogopa maana mudawote umekula wa mbuzi hutaki story.
Wanaume wenzangu katika kuoa tuombe mungu tupate yule mwanamke anaeweza kuvumilia hali yoyote ile ,ilifika mahali nikahisi huyu mwanamke anaweza kunikimbia manana ukikosa hela hata kujiamini kunapotea. Nashukuru amekua bega kwa bega na mimi na mdogo mdogo najipanga sitaki nirudi nilikotoka.Japo wanaume sijui hua tunafeli wapi unaweza pitia magumu yote hayo lakini siku ukizipata unasahau unarudi kulekule.Mungu anaisaidie na anisimamie.Amina
Unaweza kupagawa,kuna siku wife usiku kachemka balaa kama pasi ya moto nikawa naombea asubuhi ifike akiwa mzima,lakini mfukoni sina hata ile inayoitwa sh. kumi,palipokucha nikakaa kwenye kiti natafakari nimpigie nani simu walau nipate hata elf 20 nimpeleke hospitali maana kadi yake ya bima ya afya aliisahau bush alipokwenda kusalimia.Nasema ni Mungu tu mawazo yakanijia nikasema hebu niangalie kwenye akaunt yangu ya benki labda kunaweza kua na maajabu yoyote,kucheck daah nakuta laki na elf tano,sikujiuliza imetoka wapi wala nini nikaivuta kwa simu nikaenda kuitoa chap,nikamwambia wife jiandae tunaenda hospitali,akaniuliza hela umetoa wapi nikamwelezea jinsi ilivyokua akashangaa,nikamwabia asiyeamini kua mungu yupo huyo muacheni tu ila hili ni mungu kanitendea,mpaka leo sijajua ile hela iliingiaje kwenyee akaunti yangu na wala haijawah kukatwa.Huyu Mungu huyu.Kwa kweli ni kazi sana haya maisha acha tu ndugu yangu kuna siku Unaamka huna hata miaa alafu upo na familia..!! Dada wa kazi anakuangalia na mama anakuangalia..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Unaweza kupagawa,kuna siku wife usiku kachemka balaa kama pasi ya moto nikawa naombea asubuhi ifike akiwa mzima,lakini mfukoni sina hata ile inayoitwa sh. kumi,palipokucha nikakaa kwenye kiti natafakari nimpigie nani simu walau nipate hata elf 20 nimpeleke hospitali maana kadi yake ya bima ya afya aliisahau bush alipokwenda kusalimia.Nasema ni Mungu tu mawazo yakanijia nikasema hebu niangalie kwenye akaunt yangu ya benki labda kunaweza kua na maajabu yoyote,kucheck daah nakuta laki na elf tano,sikujiuliza imetoka wapi wala nini nikaivuta kwa simu nikaenda kuitoa chap,nikamwambia wife jiandae tunaenda hospitali,akaniuliza hela umetoa wapi nikamwelezea jinsi ilivyokua akashangaa,nikamwabia asiyeamini kua mungu yupo huyo muacheni tu ila hili ni mungu kanitendea,mpaka leo sijajua ile hela iliingiaje kwenyee akaunti yangu na wala haijawah kukatwa.Huyu Mungu huyu.
Yeye hufanya njia pasipo na njia huyu Mungu ni wa kushukuriwa wakati wote.Unaweza kupagawa,kuna siku wife usiku kachemka balaa kama pasi ya moto nikawa naombea asubuhi ifike akiwa mzima,lakini mfukoni sina hata ile inayoitwa sh. kumi,palipokucha nikakaa kwenye kiti natafakari nimpigie nani simu walau nipate hata elf 20 nimpeleke hospitali maana kadi yake ya bima ya afya aliisahau bush alipokwenda kusalimia.Nasema ni Mungu tu mawazo yakanijia nikasema hebu niangalie kwenye akaunt yangu ya benki labda kunaweza kua na maajabu yoyote,kucheck daah nakuta laki na elf tano,sikujiuliza imetoka wapi wala nini nikaivuta kwa simu nikaenda kuitoa chap,nikamwambia wife jiandae tunaenda hospitali,akaniuliza hela umetoa wapi nikamwelezea jinsi ilivyokua akashangaa,nikamwabia asiyeamini kua mungu yupo huyo muacheni tu ila hili ni mungu kanitendea,mpaka leo sijajua ile hela iliingiaje kwenyee akaunti yangu na wala haijawah kukatwa.Huyu Mungu huyu.
Pole sana,ipo siku yatakwishaAfadhali yako huna familia
Mm dogo amerudushwa school kisa nimeshidwa kulipa 8000 ya uji
Na mvua ndio zinanyesha hatar,dogo viatu vimechanika maji yanaingia mpaka ndan
,
Nkaenda kukopa vibuti vya kavaa dogo awe anavaa aende navyo shule,yule mama ananidai utazan amenikopesha moyo daily hodi haziishi
Kweli kabisa mkuuYeye hufanya njia pasipo na njia huyu Mungu ni wa kushukuriwa wakati wote.
Haya maisha acheni tuu isee...
Inatokea huna hata mia,hujui unaishije mchana kutwa..asubuhi unakunywa maji.
Mimi huwa nalala masaa yanaenda tuu.
Mchana ukifika ilikuwa nakula tuu sukari maisha yaende...kwa sabbu ndo kitu kinacho kuwa kimebaki ndani,na huwa inadaiwa kuwa ni kituliza njaa
MAISHA HAYA
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app