Nikiona mtu katumia hizi "xn" akimanisha sana huwa nahis kutapika.Mkuu kuwa makini xn katika maamuzi na moyo ambako haupendi ndiko kwenye kheri
Pamoja ujanja ujanja wangu ila sikuwahi kuwa na wanawake wengi,sasa yeye wanaume 4!!????Ujanja uliuanza wewe sasa unalia lia
Ushauri muombe msamaha mke wako uanza maisha mapya
Ahsante Mkuu,Pole saana mzee baba...
Daaah,sijawahi kuwaza hili swali,lakini naamini ni wangu kwa sababu wanafanana namimi aisee!!Sasa hao watoto unajuaje ni wako
Vip lakini umemchana kua umeona uchafu wake au unakufa kijerumaniDaaah,sijawahi kuwaza hili swali,lakini naamini ni wangu kwa sababu wanafanana namimi aisee!!
Sijamwambia Mkuu,kwa sababu tulikuwa na ratiba ya kwenda Singidani ili nimueleze ya Tanga,ila kwa hali ilivyo nafikiria kundoka bila kumwambia chochote,baada ya hapo sirudi tena Singida!Vip lakini umemchana kua umeona uchafu wake au unakufa kijerumani
Unapitia tatizo kama hili Mkuu,au umejaribu kuvaa nafasi yangu!!??Nimesoma nimehisi kama tatizo hili ni langu, sijui Kwa nini. Ila hii habari ni ya kuisikia Kwa jirani tu
Screenshot hizo meseji jitumie ukiwa kwenye bus unarud dar mtumieSijamwambia Mkuu,kwa sababu tulikuwa na ratiba ya kwenda Singidani ili nimueleze ya Tanga,ila kwa hali ilivyo nafikiria kundoka bila kumwambia chochote,baada ya hapo sirudi tena Singida!
Nimeshazi screenshort,japo sijamtumia!Screenshot hizo meseji jitumie ukiwa kwenye bus unarud dar mtumie
Nimejaribu kujiweka kwenye nafari yako mkuu,maana Mimi ni bondia, najua siku yoyote naweza pigwa ngumi ya kichwaUnapitia tatizo kama hili Mkuu,au umejaribu kuvaa nafasi yangu!!??
Usiombe ukakutana na hii situation aisee,inaumiza sana!!!!Nimejaribu kujiweka kwenye nafari yako mkuu,maana Mimi ni bondia, najua siku yoyote naweza pigwa ngumi ya kichwa
Wanaume Mungu anawaona, hapa ingependeza mleta mada angenyonywa damu na mtanga kwanza.Hakua na sababu ya kuanza kulazimisha kusepa singida.
Alipaswa kumwazishia vitimbwili timbwili mpaka mwanamke anamchoka.
Tena unamtengenezea mitego ya makosaa tu, akijichanganya hapohapo unamalizaa
Duuuh,mkuu haunitakii mema kabisa yaani,ningenyonywa damu kwanza halafu kifuate nini???Wanaume Mungu anawaona, hapa ingependeza mleta mada angenyonywa damu na mtanga kwanza.
Ahsante mkuu!!japo maamuzi ninayoyaendea ni kuwaacha wote,kwa sababu nikimfikiria huyu wa Singida napata hasira sana,sidhani kama nitaweza kuishi naye maisha ya amani!Matatizo yanatofautiana.......... Ninachoona, ni kuwa huyo mwanamke usiyempenda amekosa imani kwako baada ya kumtamkia kumuacha, mwanamke akichanganyikiwa anaweza fanya maamuzi yoyote........ Ingawa pia kuwa na wanaume 4 at once, hiyo ni hatari! Labda kabla ya kutaka kumuacha, uliwahi kuona tabia mbaya yoyote kwako? Hugo baby mama wako wa pili ni muuaji aisee, hafikirii hata watoto wake wengine? Omba uhamisho, kaa mbali naye...... Ongea na baby mama wa kwanza, msikilize kwanza ndo ufanye maamuzi.
Wengine tukilogwa dushe linasoma 4GWanaume nyie Bana Dawa yenu ni kulogwa dushe lilale tuu.