Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Mkuu atakua hajampata yule ambae anamridhisha trust me akimpata atatulia nae
Hii huwa naiona kuwa hoja dhaifu sana,na ni utetezi tu,kwa sababu kiukweli,kila penzi jipya huwa tamu sana,lakini kwa kadri mnavyozoeana bashasha na hamasa za kimapenzi hupungua sana,kama mtu alikuwa anapiga bao sita mwanzo wa mahusiano,na mnatiana kila siku,itafika wakati jamaa atakuwa anapiga bao moja possibly kwa wiki nzima,sio kwa sababu ameishiwa nguvu,ila ni psychological operations, sasa kwa mazingira hayo si atamaliza manispaa nzima ya Singida!??

Na kama hoja ni hiyo,basi angekuwa ana date na mmoja akiona hamfai anaachana naye na kutafuta mwingine,lakini sio una-date na wanaume 4 at ones,halafu unasingizia kutoridhishwa!
 
Hii huwa naiona kuwa hoja dhaifu sana,na ni utetezi tu,kwa sababu kiukweli,kila penzi jipya huwa tamu sana,lakini kwa kadri mnavyozoeana bashasha na hamasa za kimapenzi hupungua sana,kama mtu alikuwa anapiga bao sita mwanzo wa mahusiano,na mnatiana kila siku,itafika wakati jamaa atakuwa anapiga bao moja possibly kwa wiki nzima,sio kwa sababu ameishiwa nguvu,ila ni psychological operations, sasa kwa mazingira hayo si atamaliza manispaa nzima ya Singida!??

Na kama hoja ni hiyo,basi angekuwa ana date na mmoja akiona hamfai anaachana naye na kutafuta mwingine,lakini sio una-date na wanaume 4 at ones,halafu unasingizia kutoridhishwa!
Pole sana mkuu lakini huyo mwanamke kuna mawili kama haikua tabia yake kuwa kicheche basi labda imetokana ile wewe ulipotaka kumuacha kwa mara ya kwanza hapo naweza sema alivunjika moyo na uaminifu wake kwako ukawa ndio mwisho.

Asikwambie mtu uaminifu ukivunjika ni wachache sana wanaoweza kuhandle hyo hali wengi huwa wanatumbukia kwenye majanga yanayoleta majuto hapo baadae
 
Pole sana mkuu lakini huyo mwanamke kuna mawili kama haikua tabia yake kuwa kicheche basi labda imetokana ile wewe ulipotaka kumuacha kwa mara ya kwanza hapo naweza sema alivunjika moyo na uaminifu wake kwako ukawa ndio mwisho.

Asikwambie mtu uaminifu ukivunjika ni wachache sana wanaoweza kuhandle hyo hali wengi huwa wanatumbukia kwenye majanga yanayoleta majuto hapo baadae
Ahsante, nafikiria kuachana nao wote tu,nianze upya,japo napata hofu ni nani ataweza kunielewa kuwa nina watoto watatu,akubali kufunga pingu za maisha nami,na awakubali na kuwapenda watoto wangu!???
 
Ahsante, nafikiria kuachana nao wote tu,nianze upya,japo napata hofu ni nani ataweza kunielewa kuwa nina watoto watatu,akubali kufunga pingu za maisha nami,na awakubali na kuwapenda watoto wangu!???
Jipe muda huna haja ya kujurupuka achana nao kaa mwenyewe kwa muda uone mambo yanakwendaje ungekua mwanamke ingekua tabu lakini kwa mwanaume haiko tabu kiviile muda tu ndo unahitajika
 
Jipe muda huna haja ya kujurupuka achana nao kaa mwenyewe kwa muda uone mambo yanakwendaje ungekua mwanamke ingekua tabu lakini kwa mwanaume haiko tabu kiviile muda tu ndo unahitajika
Thanks mkuu,japo kuna wakati nawaza kuwa single father hivi!!!!

Nitafute pesa tu,niwaandalie maisha watoto wangu baaas!!!!
 
Hebu kaa na huyo wa Singida muelezee uchafu wake halafu msikilize anajitetea vipi ndiyo uchukue uamuzi.

Sema sababu hukumpenda toka mwanzo hapo ndiyo ushapata sababu ndiyo maana wazo la kwanza limekuja ni kumuacha.
 
trust me " watu wanaopenda" kuyakumbatia kumbatia sana mapenzi " huwaga wanafikwa na mwisho m'baya sana katika maisha "... Kama sio kufilisika na kufa masikini" ..basi nikuwa masikini maisha Yao yote either".... either" kukosa mahusiano mema na kizazi chake/familiar yake "....:
 
Why maliyamtu?
Maana naweza kupata pesa mingi sana,lakini nikakosa mtu wa kuwa-handle wanangu!!!
Tafuta ela ukiwa una uwezo wa kutunza vizuri watoto unatafuta mke ambae ni right kwako na uache tabia za kuchepuka hovyo
 
trust me " watu wanaopenda" kuyakumbatia kumbatia sana mapenzi " huwaga wanafikwa na mwisho m'baya sana katika maisha "... Kama sio kufilisika na kufa masikini" ..basi nikuwa masikini maisha Yao yote either".... either" kukosa mahusiano mema na kizazi chake/familiar yake "....:
Haswaaa
 
Hebu kaa na huyo wa Singida muelezee uchafu wake halafu msikilize anajitetea vipi ndiyo uchukue uamuzi.

Sema sababu hukumpenda toka mwanzo hapo ndiyo ushapata sababu ndiyo maana wazo la kwanza limekuja ni kumuacha.
Nakosa ujasiri wa kumuuliza kwa sababu sioni justification ya yeye kufanya hivyo,angekuwa mwanaume mmoja ningekuwa na sababu ya kufanya naye mazungumzo ya kina,lakini kwa namna nilibyoona amenifanya niamue kupotea tu!!
 
Back
Top Bottom