Usioe mwanamke ambaye hauijui past yake

Usioe mwanamke ambaye hauijui past yake

1715718984178.jpg
 
Acha kujipa moyo. utafiti wako umeufanyia wapi? Hao wanawaoa hao malaya wanajua past zao au wanauziwa mbuzi kwenye gunia?
Nmeutoa mtaani kwetu
Kuna watu ni malaya wengine hao so-called single mother wameolewa 90% na wana tabia mbaya kuna rafiki angu na kupika hajui na kaolewa mwaka jana

Ndo hapo nnaposhangaa mnazungumzia nini?
Marafiki zqngu single mother wote wana ndoa! Mimi sijazaa na sijaolewa 😄
 
Kwa dunia ya sasa tunaokotana ni ngumu kujua tabia ya mtu.Zamani binti anafanyiwa vetting ya kutosha, kuanzia kwa wazazi wake mpaka kizazi kimoja kilichopita cha wazazi wake.

Sasa hivi hatuna time hiyo,mwanamke ataangalia hela,mwanaume ataangalia muonekano na uzuri wa binti.
kweli kabisa
 
Law of karma haijawahi mwacha mtu salama, utapata mwenza mnayeendana tu. Wanawake wazuri wapo ila kuwapata lazma mmatch.
 
Mkuu ulichosema sahihi,ila pia ukihangaika kujua past ya wanawake wa siku hizi hutooa ng'ooo.
Laa sivyo katafute kiteenager 17-19 mpk 21 hivi ndio ukioe.
Hako hakanaga past kubwa sana maana bado hakajapitia mambo mengi sana.
Ila katapitia mengi sana baada ya kukaoa. Utashiriki nako kupita kwenye hayo mengi😂😂😃
 
Vijana wenzangu kama vipi turudi tu kwenye utaratibu wa kutafutiwa mke na wazee, hawa mademu wa geto, wahitimu wa chuo, ferminists n.k wabaki wa kupiga na kupotea tu.
Hili ndio la msingi sana. Tuachane na usasa, wazee wakutafutie mke
 
Back
Top Bottom