Kamanda familia zinazojielewa zipo nyingi tu! ikiwa wewe unatokea kwenye familia zinazoamiliana na familia safi wanawake wa kuoa wapo wengi tu. Na mimi sikuambii hii kama porojo nakuambia with experience!
Ngoja nikufahamishe kitu komoja. Kweli kuoa kutoka katika familia safi sio guarantee ya kupata mke bora, nakubaliana na wewe lakini ikiwa kweli hiyo familia ilikuwa na maadili then ni nadra huyo binti kuwa amekengeuka moja kwa moja. Hii ndio maana katika comment yangu hapo awali nilisema lenga kupata mwanamke bikra sio hakikisha umepata mwanamke bikra! ... wengi micharuko iliyopo mitaani ni mabinti waliolelewa bila misingi mizuri ya kifamilia, mathalan unakuta binti amelelewa na single mother ambae anaishi katika maingiliano na wanaume mbali mbali kwa sababu tofauti tofati! Ni nadra huyu kumkuta amelea mtoto mwenye maadili kwa kuwa ngao ya kwanza ya mwanamke ni Haya yake, hii ikivunjika kinachobakia kwake ni "Sky is the limit" katika interaction zake na wanaume, na hapo ndo unakuwa umeoa kungwi mtoto.
With an extra maturity and stable husband binti aliyekengeuka kutoka katika familia yenye maadili ni rahisi kurudi katika mstari, kimbembe ni yule mwengine ... mstari wenyewe haujui upo wapi kwanza, anarudije kirahisi?