Usioe mwanamke ambaye hauijui past yake

Usioe mwanamke ambaye hauijui past yake

Tunaongelea posibility mkuu, ofcourse hakuna kanuni moja itakaleta jibu sahihi kwa kila mtu lakini ukishirikisha wazee kuna uwezekano mkubwa zaidi wa kupata mke sahihi kuliko ukivamia hawa wa mjini wanaojiita wapambanaji sijui malkia wa nguvu.
Sawa lakn bado kuna vitu private unakuta vimefichika ambapo hata wazee wanaweza kuvigundua ila tu kwa masirahi yao wakafunga mdomo ukashikishwa ukiamin upo sehemu salam kumbe hamna
 
Wanaume wa mkoani bhana mnanichekeshaga kweli kweli.. mnajionaga wagumu kumbe uko kwenu saa 11 jioni tu mnajifungia ndani mnawaogopa watoto wadogo wakina dangote, anyway kusanuana muhimu, we utaacha mshkaji wako aoe kahaba mstaafu?
Ebu usinchambe wakati sijamaliza kujisaidia alooo....☹️
 
Hata ukisema utafute kwa dunia ya kistaarabu unaweza ukala za kichwa vile vile.
Mfano kuna rafiki wa shemeji yangu kaolewa mwezi uliopita.
Yule binti ni wazanzibari familia ni nzuri inafahamika kwa maadili ila binti alikua mzinzi wa chini sio poa.
Akatokea jamaa akamchumbia amuoe,wazee wakaficha makando ya binti ili aolewe tu chap chap asepe zake.
Sasa imagine mume aje agundue baadae makando ya yule binti aisee😂😂😂🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️.
Yani makando yake kama akielezewa nyege zote zinakukata mzee unakimbia nduki na kugoma kuoa.
Ila ukiitizama familia iko poa na ya dini na binti akitoka kajistiri na humkuti majumba ya starehe na uchafu.
Ila kumbe ni sumu baridi hapo mtaani hadi na wame za watu keshafumaniwa nao.
Uzuri aliyemuoa wa mbali.
Ila wazazi wamemficha jamaa back ground ya binti.
Hapo nadhani unapata picha ikoje mkuu.
Pamoja na kufatilia background ya binti vile vile unaweza kuuziwa mbuzi kwenye gunia cha muhimu wewe ni kufanya tu research yako ukijiridhisha ndio uoe ikitokea umeuziwa mbuzi kwenye gunia basi iwe ni kwa kutokujua ila sio kwa kujua au kupuuzia.
 
Hata ukisema utafute kwa dunia ya kistaarabu unaweza ukala za kichwa vile vile.
Mfano kuna rafiki wa shemeji yangu kaolewa mwezi uliopita.
Yule binti ni wazanzibari familia ni nzuri inafahamika kwa maadili ila binti alikua mzinzi wa chini sio poa.
Akatokea jamaa akamchumbia amuoe,wazee wakaficha makando ya binti ili aolewe tu chap chap asepe zake.
Sasa imagine mume aje agundue baadae makando ya yule binti aisee😂😂😂🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️.
Yani makando yake kama akielezewa nyege zote zinakukata mzee unakimbia nduki na kugoma kuoa.
Ila ukiitizama familia iko poa na ya dini na binti akitoka kajistiri na humkuti majumba ya starehe na uchafu.
Ila kumbe ni sumu baridi hapo mtaani hadi na wame za watu keshafumaniwa nao.
Uzuri aliyemuoa wa mbali.
Ila wazazi wamemficha jamaa back ground ya binti.
Hapo nadhani unapata picha ikoje mkuu.
Ukiingia na akili ya huyu mwanamke mstaarabu sijui ni mshika dini au amelelewa vizuri ushafeli vibaya sana. Uzoefu wangu dhidi ya wanawake kama ukiamua kuoa tarajia lolote yaani iruhusu akili zaidi kufanya maamuzi na sio hisia. Ukitumia hisia ni rahisi kudanyanyika kirahisi maana hutaweka tahadhari.
 
Pia bad boys ni wanaume , wakulaumiwa ni bad boys pia
As long as mwanamke ndie anaeenda kukutana na consequences basi ndie anaetakiwa kuwa makini zaidi. Kama mwanamke hakubakwa basi somewhere somehow yeye ndie alikosea kufanya maamuzi ya mwisho Hata mwanaume awe mchakataji holela jamii yetu haimnyanyapai ukilinganisha na mwanamke akiwa mchakatwaji holela,
 
Ishu sio kukata utepe ishu ni past yake. Mkuu embu kuwa mkweli utakubali ukiona kaka ako, mdogo ako au mwanao wa kiume anaoa kahaba mstaafu?
Nitafurah sana kuona mdogo wangu wa kiume akioa mwanamke ,kwa sababu dunia ya sasa ukahaba sio issue tena kuna mpka ndoa za jinsia moja kwa sasa mkuu ,ambayo itanihuzunisha mno kuona ndugu yangu au jamaa yangu wakaribu na hata wa mbali akijihusisha nazo.
 
Pamoja na kufatilia background ya binti vile vile unaweza kuuziwa mbuzi kwenye gunia cha muhimu wewe ni kufanya tu research yako ukijiridhisha ndio uoe ikitokea umeuziwa mbuzi kwenye gunia basi iwe ni kwa kutokujua ila sio kwa kujua au kupuuzia.
Ndio maana nikasema haijalishi mazingira gani utamtafuta binti ila waweza pata sokomoko vile vile.
Si kama huyo jamaa alivyouziwa mbuzi kwa gunia!??
 
Ukiingia na akili ya huyu mwanamke mstaarabu sijui ni mshika dini au amelelewa vizuri ushafeli vibaya sana. Uzoefu wangu dhidi ya wanawake kama ukiamua kuoa tarajia lolote yaani iruhusu akili zaidi kufanya maamuzi na sio hisia. Ukitumia hisia ni rahisi kudanyanyika kirahisi maana hutaweka tahadhari.
Kinachojadiliwa mkuu ni historia ya mwanamke kabla hujamuoa.
Yani alikotoka na sasa yepi keyaishi.
 
Mkuu nataka nije pm kuna mambo ivi flani nataka unipe mawazo, uko smart.
Nakupa hii ukitaka kuchimba hazina za duniani hapa basi jiepushe na kuhukumu watu.

Kuushinda uzinzi sio rahisi Kama unavyojariu kuandika japo wengine tumeweza Ila ni kwa neema tu.

I'm a nice guy and I believe I will finish last but I will finish with great reward.

I can't be nasty in my all days long.

🤝
 
Nice guy mwingine kauziwa mbuzi kwenye gunia. Juzi kati nimepewa taarifa kuna demu anaolewa, huyu demu tumesoma pamoja chuo.

This is not personal but the trust is huyu demu kakitombesha sana. Mwamba anaoa malaya mstaafu wahuni washachimbua madini yote mgodini. Harakati za kutafuta mtoto zikianza zitaenda sambamba gharama za matibabu ya hormone imbalance kumbe demu ashaalibu kizazi kwa abortions na P-2.

As always as i said in relationship marketing nice guys are losers, they always end-up purchasing demaged items. Dont be nice guy.

Vijana wenzangu kama vipi turudi tu kwenye utaratibu wa kutafutiwa mke na wazee, hawa mademu wa geto, wahitimu wa chuo, ferminists n.k wabaki wa kupiga na kupotea tu.
Mwanangu umeongea kitu kikubwa sana, ndugu yangu mademu wa chuo ni Malaya wastaafu. Wale ukiweka ndani jiandae kuwa na milioni 5/6 za kutafutia mtoto
 
Back
Top Bottom