Usioe mwanamke ambaye hauijui past yake

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Mar 25, 2020
5,002
11,167
Nice guy mwingine kauziwa mbuzi kwenye gunia. Juzi kati nimepewa taarifa kuna demu anaolewa, huyu demu tumesoma pamoja chuo.

This is not personal but the trust is huyu demu kakitombesha sana. Mwamba anaoa malaya mstaafu wahuni washachimbua madini yote mgodini. Harakati za kutafuta mtoto zikianza zitaenda sambamba gharama za matibabu ya hormone imbalance kumbe demu ashaalibu kizazi kwa abortions na P-2.

As always as i said in relationship marketing nice guys are losers, they always end-up purchasing demaged items. Dont be nice guy.

Vijana wenzangu kama vipi turudi tu kwenye utaratibu wa kutafutiwa mke na wazee, hawa mademu wa geto, wahitimu wa chuo, ferminists n.k wabaki wa kupiga na kupotea tu.
 
Nice guy mwingine kauziwa mbuzi kwenye gunia. Juzi kati nimepewa taarifa kuna demu anaolewa, huyu demu tumesoma pamoja chuo.

This is not personal but the trust is huyu demu kakitombesha sana. Mwamba anaoa malaya mstaafu wahuni washachimbua madini yote mgodini. Harakati za kutafuta mtoto zikianza zitaenda sambamba gharama za matibabu ya hormone imbalance kumbe demu ashaalibu kizazi kwa abortions na P-2.

As always as i said in relationship marketing nice guys are losers, they always end-up purchasing demaged items. Dont be nice guy.

Vijana wenzangu kama vipi turudi tu kwenye utaratibu wa kutafutiwa mke na wazee, hawa mademu wa geto, wahitimu wa chuo, ferminists n.k wabaki wa kupiga na kupotea tu.
Mind your own bussiness dude.
 
Kwa dunia ya sasa tunaokotana ni ngumu kujua tabia ya mtu.Zamani binti anafanyiwa vetting ya kutosha, kuanzia kwa wazazi wake mpaka kizazi kimoja kilichopita cha wazazi wake.

Sasa hivi hatuna time hiyo,mwanamke ataangalia hela,mwanaume ataangalia muonekano na uzuri wa binti.
 
Nice guy mwingine kauziwa mbuzi kwenye gunia. Juzi kati nimepewa taarifa kuna demu anaolewa, huyu demu tumesoma pamoja chuo.

This is not personal but the trust is huyu demu kakitombesha sana. Mwamba anaoa malaya mstaafu wahuni washachimbua madini yote mgodini. Harakati za kutafuta mtoto zikianza zitaenda sambamba gharama za matibabu ya hormone imbalance kumbe demu ashaalibu kizazi kwa abortions na P-2.

As always as i said in relationship marketing nice guys are losers, they always end-up purchasing demaged items. Dont be nice guy.

Vijana wenzangu kama vipi turudi tu kwenye utaratibu wa kutafutiwa mke na wazee, hawa mademu wa geto, wahitimu wa chuo, ferminists n.k wabaki wa kupiga na kupotea tu.
Hii inatakiwa iwe rule kwa wanaume wote. Ukiona mwanamke anaficha past yake so much, that is a red flag
 
This is not personal but the trust is huyu demu kakitombesha sana. Mwamba anaoa malaya mstaafu wahuni washachimbua madini yote mgodini. Harakati za kutafuta mtoto zikianza zitaenda sambamba gharama za matibabu ya hormone imbalance kumbe demu ashaalibu kizazi kwa abortions na P-2.
HALAFU NDOA, INAITWA NDOA TAKATIFU
ETI KWA SBB IMEFUNGIWA KANISANI :D :D
Men, enter in marriage at your own risk
 
Pipe aingiziwe mwingine, kiuno unakata wewe....🤣
Hivi wanaume wa daslam mnashida gani skuizi...🤔
Wanaume wa mkoani bhana mnanichekeshaga kweli kweli.. mnajionaga wagumu kumbe uko kwenu saa 11 jioni tu mnajifungia ndani mnawaogopa watoto wadogo wakina dangote, anyway kusanuana muhimu, we utaacha mshkaji wako aoe kahaba mstaafu?
 
Nice guy mwingine kauziwa mbuzi kwenye gunia. Juzi kati nimepewa taarifa kuna demu anaolewa, huyu demu tumesoma pamoja chuo.

This is not personal but the trust is huyu demu kakitombesha sana. Mwamba anaoa malaya mstaafu wahuni washachimbua madini yote mgodini. Harakati za kutafuta mtoto zikianza zitaenda sambamba gharama za matibabu ya hormone imbalance kumbe demu ashaalibu kizazi kwa abortions na P-2.

As always as i said in relationship marketing nice guys are losers, they always end-up purchasing demaged items. Dont be nice guy.

Vijana wenzangu kama vipi turudi tu kwenye utaratibu wa kutafutiwa mke na wazee, hawa mademu wa geto, wahitimu wa chuo, ferminists n.k wabaki wa kupiga na kupotea tu.
Sasa mmekutana DSM kwenye harakati za maisha. Hiyo past yake utaijuaje?
 
Kwa dunia ya sasa tunaokotana ni ngumu kujua tabia ya mtu.Zamani binti anafanyiwa vetting ya kutosha, kuanzia kwa wazazi wake mpaka kizazi kimoja kilichopita cha wazazi wake.

Sasa hivi hatuna time hiyo.
Hata kwa sasa inawezekana mkuu ni suala la kushirikisha wazee tu sema ndio vile tunachukulia huo ni utaratibu wa kizamani
 
Nakupa hii ukitaka kuchimba hazina za duniani hapa basi jiepushe na kuhukumu watu.

Kuushinda uzinzi sio rahisi Kama unavyojariu kuandika japo wengine tumeweza Ila ni kwa neema tu.

I'm a nice guy and I believe I will finish last but I will finish with great reward.

I can't be nasty in my all days long.

🤝
 
Nice guy mwingine kauziwa mbuzi kwenye gunia. Juzi kati nimepewa taarifa kuna demu anaolewa, huyu demu tumesoma pamoja chuo.

This is not personal but the trust is huyu demu kakitombesha sana. Mwamba anaoa malaya mstaafu wahuni washachimbua madini yote mgodini. Harakati za kutafuta mtoto zikianza zitaenda sambamba gharama za matibabu ya hormone imbalance kumbe demu ashaalibu kizazi kwa abortions na P-2.

As always as i said in relationship marketing nice guys are losers, they always end-up purchasing demaged items. Dont be nice guy.

Vijana wenzangu kama vipi turudi tu kwenye utaratibu wa kutafutiwa mke na wazee, hawa mademu wa geto, wahitimu wa chuo, ferminists n.k wabaki wa kupiga na kupotea tu.
Mkuu ulichosema sahihi,ila pia ukihangaika kujua past ya wanawake wa siku hizi hutooa ng'ooo.
Laa sivyo katafute kiteenager 17-19 mpk 21 hivi ndio ukioe.
Hako hakanaga past kubwa sana maana bado hakajapitia mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom