Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
tena kote kote mbele na backKavurugwa jaman.
tena kote kote mbele na backKavurugwa jaman.
hivi kweli ndugu yangu timing unadhani inakuwaje mwanamke aanze kutawala ndani ya nyumba? wewe fikiria tu ndugu yangu ..nani mbaya hapo! maana wanawake tumeumbwa na heshima flani hivi naturaly ! hii heshima unadhani inapotezwa na ukabila eti!
sisi tunaongoza kwa kuolewa na race zote duniani nadhani wewe dada zako wameishia hapo hapo kijijini kwenu hata kijiji cha jirani hawajafika! so cheap!
Hivo hivo watuache tupumuedada angu Smile nafikiri ulimaanisha jeshi la m 23, hata hivyo nao ni goigoi kwa kichapo walichopewa na JWTZ
Tujaribu ku list celeb ambao wameoa wachaga kisha evaluate ndoa zao
1. Ben Mkapa
2. Salmin Amour
3. Reginald Megi
4. Jenerali Ulimwengu
5
6
7
8
9
10
Ndo mana nikasema kabla huja comment chochote fanya reference kwanza kwa watu ulionao karibu, mimi nina experience ya ndugu jamaa na marafiki and I know how they have been hassling.
Naongea kwa uzoefu hivyo usije ukaja tu majibu yako ya ina tegemea, let's be realistic with what we have been experiencing. Kabla huja comment refer to yourself, your friends or your relatives who have got married to this tribe.
Ni wanawake wazuri kwa sura na pia wanajituma sana katika kutafuta maisha, shida zao ni kama zifuatazo
1. They are cash driven
2. Wababe
3. Wanapenda kumtawala mwanaume
4. Hawajali nyumba
5. Hawajali ndugu
6. Upendo pia si kivile kama huna mpunga
7. etc ect unaweza kujaza
I don't mean to say that you shouldn't get married to the women from this tribe no, but you need to take those challenges into consideration and note that it may also be difficult to tackle them and that's why the marriage get broken.
All in all you should play your card very smart so as to get it balanced. Mine I have in the marriage for 13 years now with a Machame woman but i have encountered a lot of challenges.
Ni wakatili, wababe, wanakiburi, wajeuri , wajuaji. Sio wote wenye tabia hizi lakini wengi wao ndo walivyo.
Girlfriend wangu ni mmachame though ni wale waliokulia town, but ukiondoa Ukatili, the rest zote ni sifa zake. I think am giving up:beer:
Tujaribu ku list celeb ambao wameoa wachaga kisha evaluate ndoa zao
1. Ben Mkapa
2. Salmin Amour
3. Reginald Megi
4. Jenerali Ulimwengu
5
6
7
8
9
10