Kuna kausemi kana sema " lisemwalo lipo". Uyasemayo yana ukweli ndani yake 7bu ww mhucka umeongea kutokana na kuwa tayari ushakutana nayo ila pia tukifuatisha maneno ya walio wengi pia tunaona kuna ukweli!
Umenena kweli! Uzuri au ubaya wa ndoa ni waliomo katika hiyo ndoa. Ndoa ni hatari isikie kwa mwenzakoKwa habari ya ndoa, usidanganyike hakuna cha mmachame wala kabila fulani; mzungu wala mwafrika. changamoto kwa mume na mke kuishi pamoja ziko pale pale.
Girlfriend na mke vitu tofauti kaka. Ukitaka kuishi maisha mazuri ishi kiuchumba maana baada ya ndoa utajuta kuzaliwa (ni wote awe mchaga au mnyamwezi wote toto ya baba moja aisee)Girlfriend wangu ni mmachame though ni wale waliokulia town, but ukiondoa Ukatili, the rest zote ni sifa zake. I think am giving up:beer:
tunarun maisha ya wanaume wote bongo kutuacha hamuwezi! kama unavaa pampas oa kwenu period!
Mimi siamini hili la wamachame hata kidogo. Ni dhana potofu jamii imejijengea. Wewe mwanaume utakuwa mjinga/mzembe kiasi gani mpaka ukubali kukaliwa na mwanamke??
Mmh! Kuna majirani zetu wa hilo kabila walikuwa wanapigana daily. Mama mbabe kweli kweli. Japo si sababu ya kugeneralize maana hata wasukuma wenzangu wapo walio wakorofi.
Mmh! Kuna majirani zetu wa hilo kabila walikuwa wanapigana daily. Mama mbabe kweli kweli. Japo si sababu ya kugeneralize maana hata wasukuma wenzangu wapo walio wakorofi.
Ila tuwache uwongo,hawa dada zetu ni wazuri bhana!! Kwa sie tunaojali uzuri kwanza tutawaoa sana tu!! Hayo mengine huwa tunaassume yatanyooka hata kwa ngumi na vichwa!
mechi kati ya man u na arsenal a.k.a arse nane ni saa moja na dakika 10 usiku.mboni safoo donge.Ila man u ikifungwa nazira kula wiki nzima.