Usioe hili kabila kama huna msuli

Usioe hili kabila kama huna msuli

Kwanza wao kwa wao hawaoani. Wanaume wao hawataki hata kuwasikia.
 
Hivi mechi ya kesho kati ya Man United na Arsenal itakuwa saa ngapi? Maana hizi thread za Chaga women tumeshazichoka.

Mechi kati ya man u na arsenal a.k.a arse nane ni saa moja na dakika 10 usiku.mboni safoo donge.Ila man u ikifungwa nazira kula wiki nzima.
 
Ulifungwa kamba kuoa hilo kabila ? kwanini hukuoa kwenu? ? eti wanatawala wanaume kama umetawaliwa andamana kudai uhuru wako..au unataka nyerer afufuke aende uingereza kudai na uhuru wa nyumba yako kama alivokuombea uhuru wa nchi...kwa thread hii hayo unayopitia yanakustahili kabisa..mume aishi kama mume apate heshima yake ..mume akiishi kama mke apewe yanayomstahili pia!

salaam, wa-salaam... asalaam aleykum!!

Nimeipenda hii sana, mume akiishi kama mke apewe yanayostahili pia

aisee:faint2:
 
Tujaribu ku list celeb ambao wameoa wachaga kisha evaluate ndoa zao

1. Ben Mkapa
2. Salmin Amour
3. Reginald Megi
4. Jenerali Ulimwengu
5 iddi simba

6basil mramba
7fredrick sumaye
8
9
10
Na mabilionea wote Tanzania
 
salaam, wa-salaam... asalaam aleykum!!

Nimeipenda hii sana, mume akiishi kama mke apewe yanayostahili pia

aisee:faint2:
Hivi kweli ndugu yangu timing unadhani inakuwaje mwanamke aanze kutawala ndani ya nyumba? wewe fikiria tu ndugu yangu ..nani mbaya hapo! maana wanawake tumeumbwa na heshima flani hivi naturaly ! hii heshima unadhani inapotezwa na ukabila eti!
 
ulifungwa kamba kuoa hilo kabila ? kwanini hukuoa kwenu? ? eti wanatawala wanaume kama umetawaliwa andamana kudai uhuru wako..au unataka nyerer afufuke aende uingereza kudai na uhuru wa nyumba yako kama alivokuombea uhuru wa nchi...kwa thread hii hayo unayopitia yanakustahili kabisa..mume aishi kama mume apate heshima yake ..mume akiishi kama mke apewe yanayomstahili pia!

Wamachame utawajua tu, mbina povu linakutoka?
 
Naongea kwa uzoefu hivyo usije ukaja tu majibu yako ya ina tegemea, let's be realistic with what we have been experiencing. Kabla huja comment refer to yourself, your friends or your relatives who have got married to this tribe.

Ni wanawake wazuri kwa sura na pia wanajituma sana katika kutafuta maisha, shida zao ni kama zifuatazo

1. They are cash driven
They are cash driven
3. Wanapenda kumtawala mwanaume
4. Hawajali nyumba
5. Hawajali ndugu
6. Upendo pia si kivile kama huna mpunga
7. etc ect unaweza kujaza

I don't mean to say that you shouldn't get married to the women from this tribe no, but you need to take those challenges into consideration and note that it may also be difficult to tackle them and that's why the marriage get broken.

All in all you should play your card very smart so as to get it balanced. Mine I have in the marriage for 13 years now with a Machame woman but i have encountered a lot of challenges.
i wish ningekuwa namfahamu mke wako! ana hasara kubwa sana kuwa na mume mnafiki kama wewe! so chalenge za kwenye ndoa yako zimetoka machame? what if angekuwa mzungu hicho chalenge zisingekuwepo?
mimi ni mmachame even tho sio mmachame yule wa 100% maana babu yangu alihamia toka sehemu nyingine hukohuko uchagani ila mama yangu alikuwa mmachame 100% ..kwanza najivunia sana kuwa mmachame ..najivunia kuwa na mama wa machame ..maana kama sio mama yangu hata hii keyboard ningeiona peponi labda..wamama wa machame ni very hardworking,wanaheshimu ndoa zao ..na ni wavumilivu mno hata kama ni kulala chini wanalala maana wanajua kulinda ndoa zao.
nianze na point yako no moja

1...They are cash driven
mwanaume gani wa miaka hii karne ya 21 unacritisise mwanamke mtafutaji? kila kitu ni cash drive now...ada za watoto siku hizi ni kama za mtu wa chuo ..so mama alale ndani watoto wake wasipate elimu bora? kila kitu kipo juu..ada ,matibabu..malazi unajua bei ya ujenzi wewe au una nyumba ya urithi ..????? laumu system ya nchi yako iliyofanya vitu kuwa vigumu badala ya kulaumu wamachame! craap

2..WABABE
Labda nikuulize tu ubabe huwa unatumika sehemu gani?
sijui kiswahili vizuri ila nadhani ni pale mtu anapodai haki yake kwa nguvu..
haki ya mke ni kupendwa...kutuzwa na kujaliwa ...kama hutimizi ukidaiwa inakuwaje unaona unaonewa? mume aishi kama mume

3 Wanapenda kumtawala mwanaume

kama umetawaliwa andamana kudai uhuru wako..au unataka nyerer afufuke aende uingereza kudai na uhuru wa nyumba yako kama alivokuombea uhuru wa nchi...kwa thread hii hayo unayopitia yanakustahili kabisa..mume aishi kama mume apate heshima yake ..mume akiishi kama mke apewe yanayomstahili pia!
craap!
 
twenzetu tukanywe Anjari naona wapewa stress tu huku...
wkend babu jamaa kaambiwa baba nanihii nipe hela ya shoping ya watoto hana kitu hana hata kanauli ka windo shoping kazi kucheza viduku kibarazani na kutongoza mabeki 3 wa watu sasa anaanza kulia ooh mmachame mmachame! watu wawe responsibly na ndoa zao heshima iwepo !
 
Kwanza wao kwa wao hawaoani. Wanaume wao hawataki hata kuwasikia.
sisi tunaongoza kwa kuolewa na race zote duniani nadhani wewe dada zako wameishia hapo hapo kijijini kwenu hata kijiji cha jirani hawajafika! so cheap!
 
Wamachame na wamarangu ni noma jombaaa!!
ni noma kwa wanaume legelege kama wewe!
mwanamke mmoja wa machame au marangu ni sawa na wanaume mia wa kabila lako! nadhani ukikutana nae mmoja huwa unaogopa kama umekutana na jeshi na m 123!
 
Naongea kwa uzoefu hivyo usije ukaja tu majibu yako ya ina tegemea, let's be realistic with what we have been experiencing. Kabla huja comment refer to yourself, your friends or your relatives who have got married to this tribe.

Ni wanawake wazuri kwa sura na pia wanajituma sana katika kutafuta maisha, shida zao ni kama zifuatazo

1. They are cash driven
2. Wababe
3. Wanapenda kumtawala mwanaume
4. Hawajali nyumba
5. Hawajali ndugu
6. Upendo pia si kivile kama huna mpunga
7. etc ect unaweza kujaza

I don't mean to say that you shouldn't get married to the women from this tribe no, but you need to take those challenges into consideration and note that it may also be difficult to tackle them and that's why the marriage get broken.

All in all you should play your card very smart so as to get it balanced. Mine I have in the marriage for 13 years now with a Machame woman but i have encountered a lot of challenges.

Ushamba unakusumbuwa hakuna kabila linaitwa Machame in Tanzania.

You suffer with inferiority complex.
 
Ushamba unakusumbuwa hakuna kabila linaitwa Machame in Tanzania.

You suffer with inferiority complex.
hata siku moja fake haiwezi shindana na origino kaka!kama kashindwa mmachame ataweza kabila gani kwa mfano? mzaramo? mhaya au nani sasa ataje! mwanaume unakuwa weak unasingizia makabila eti?..this guy is so low aisee! afie mbali huko
 
ni noma kwa wanaume legelege kama wewe!
mwanamke mmoja wa machame au marangu ni sawa na wanaume mia wa kabila lako! nadhani ukikutana nae mmoja huwa unaogopa kama umekutana na jeshi na m 123!

dada angu Smile nafikiri ulimaanisha jeshi la m 23, hata hivyo nao ni goigoi kwa kichapo walichopewa na JWTZ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom