Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,583
ukitaka kupata mke mzuri na mama mzuri wa mtoto wako nenda kaoe kwenuuuu kijiji ulichozaliwa
Wewe boya unadhani kila mtu amezaliwa kijijini? Jinga kabisa.
ukitaka kupata mke mzuri na mama mzuri wa mtoto wako nenda kaoe kwenuuuu kijiji ulichozaliwa
ingw'ashiNg'wagoko.
hahaha! mbona kibao kinanigeukia mie.. sasa wewe umeona jirani yako mmoja ukageneralize ni wasukuma wote... utajuaje pia, labda jamaa kakolezwa tu, hukusikia ile story ya kenya ya wababa wawili kukubaliana kumuoa mke mmojaSifa yenu kubwa wasukuma ni kuwawekea wanaume Limbwata.
Nina jirani hana tofauti na zezeta jinsi alivyolishwa madawa na mwanamke wa kisukuma, anatohombewa mkewe hapo hapo nyumbani.
Bravo .....!
Tumia Google chrome itakwambia ukweli wa last seen ya hiyo IDJamii Forums tuambieni hii ID nani anatumia?
Last seen 4-1-2020.
Saa 05:15:14
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kitu muhimu sana,wenye Ben wanaweza kutuambia kiurahisi mkuu.Jamii Forums tuambieni hii ID nani anatumia?
Last seen 4-1-2020.
Saa 05:15:14
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi nini kilisababisha apigwe risasi?Ufoo Saro ameshatoka hospitalini? Sijui kwa nini baada ya kumaliza kuisoma hii thread nimemkumbuka huyu mrembo
Kwenye crome inaonekana last seen ni 20130 hukoJamii Forums tuambieni hii ID nani anatumia?
Last seen 4-1-2020.
Saa 05:15:14
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye crome inaonekana last seen ni 20130 huko
Noma sana!Mkuu umenigusa mnooo. Yaani unachoniongelea ndio ninachokumbana nacho sasa hivi. Yaani hizo tabia ulizo bainisha ni za ukweli mtupu. Yaani utafikiri unaona what am going through ryt now.
Mechi yakuinywea konyagHivi mechi ya kesho kati ya Man United na Arsenal itakuwa saa ngapi? Maana hizi thread za Chaga women tumeshazichoka.