Usinunue vitu online kwa kutipia TIGO MASTERCARD!

Mkuu kama ulisubscribe kwenye App au service ni ngumu sana hata kwa card provider wengine kuissue reversal.
Changamoto nayoiona kwa Tigo na Airtel ni ujinga wao wakuchanganya card na wallet za Tigopesa au Airtel Money kwa hiyo mteja huna control ni kiasi gani kiwepo kwenye card.
 
Mkuu kama ulisubscribe kwenye App au service ni ngumu sana hata kwa card provider wengine kuissue reversal.
Changamoto nayoiona kwa Tigo na Airtel ni ujinga wao wakuchanganya card na wallet za Tigopesa au Airtel Money kwa hiyo mteja huna control ni kiasi gani kiwepo kwenye card.
Master card tigo niwizi mtupu nimerudishiwa pesa zimepotelea hewani ,
 
ahsante kwa taarifa, nimekuwa nikitumia vodacoma master card sikuwahi kupata changamoto nilijua tigo wapo vizuri
 
Wakuu tujifunze kutumia mamlaka zinazosimamia, kwa mfano hapo ni kuandika email nzuri ya malalamiko yenye ushahidi ns kutuma TCRA na BOT utaona wenyewe watakutafuta na pesa wafakurudishia

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kwa Tz cross border payment iwe withdrawal issues au deposit issue hawatoi msaada

Kuna ela niliipwa from asia voda na Tigo wote hawakunpa ushirikiano na hawaelew tuu hAta watoa huduma wao.
 
Mkuu mimi nimefanya hizi electronic transaction kwa zaidiya miaka 15 sasa.Na nitakwambia kwamba kwa uzoefu wangu mifumo yote Tanzania ambayo inahusika na malipo kwa kupitia VISA na Master Card ni Majanga.Hii ni Kuanzia mifumo ya Mabenki,Mifumo ya virtual Card n.k.

Nimefanya miamala na benki kadhaa na mitandao yote ya VODA,TIGO na AIRTEL.

Kwanza kabisa inapokuja swala la technical au operational support wako chini kabisa yaani ni zero hawaelewi hata product yao wenyewe wala kuiamini.

Pili kunapokuwa na Transaction duplicates pesa haiweza kurudishwa kwenye akaunti yako.So mimi Huwa nahakikisha kwamba ninapotaka kufanya Muamala wa kulipa kwa kadi basi akaunti yangu inakuwa nakile kiasi tu ambacho kinatkiwa kulipwa BASI,Sizidishi hata thumni.

Pili huwa sipendi sana kutumia SAME bank account kwa ajili ya normal transaction kwenye hizi online transactions maana naelewa sana kwamba Kama Card number iko compromised basi utajikuta unapigwa na kitu kizito kabisa.

Ushauri wangu.

Kwanza Andika Barua nzito kwenda TIGO Kisha nenda TCRA ukafungue Malalamiko kwenye dawati la consumers protection kisha andaa kabisa mkakati wa kwenda Mahakamani.Ukwaletea Hizo mada hizo hakika watakupa pesa yako na Bakshishi Juu.
Habari mkuu, nmepitia huu uzi, na mimi ni muhanga wa ili jambo aise! Nina siku ya nne tigo wananizungusha toka nifanye malipo ya Tigopesa master card kwenda High commission of canada, pesa yangu imekatawa kwenye tigo laki tatu na tisini elfu, uku nakolipia huduma sijapata malipo wanasema hawakupokea, yalikua declined. Yaan nina hasira sijui ata pa kuanza kudai ela yang, nmeenda mpaka tigo makumbusho wananipa hadithi za kua ela zmepokelewa wakat kiuhalisia hapana hazikupokelewa.
 
Pole sana kwa madhila haya, makampuni yetu huwa hawathamini kabisa thamani ya shilingi ya "mteja"!!

Hii ni kwa sababu hata Watanzania wenyewe hatujui haki zetu na ikitokea umezijua haki zako unapodai wataibuka watu kukuponda kana kwamba unachofanya si sawa!! Inaumiza sana

Kwanini wasikuprintie kwenye headed paper, means hizi kesi ni nyingi kwao na wamegundua njia hiyo kukwepa jukumu la kuwajibika!! Watakataa siyo karatasi yao ukitaka kuwawajibisha
Tigo ukiripoti matatizo hawashughulikii kwa haraka,nilishatoa Tigo kwenda Voda mpk leo haijafika,ukiwapigia wanakuambia kuna shida subiri masaa 24,yanapita tena,unawauliza vip,unaambiwa subiri tena

Mpk leo haijafika nimeamua kupotezea
 
Kwa Tz cross border payment iwe withdrawal issues au deposit issue hawatoi msaada

Kuna ela niliipwa from asia voda na Tigo wote hawakunpa ushirikiano na hawaelew tuu hAta watoa huduma wao.
Wanakuambia subiri masaa 24 ,inapita wiki

Wako nyuma na teknolojia
 
Mimi nashauri wahanga ambao tuna matatizo kama haya hususani kwa Tigopesa mastercard, tujioin kwa pamoja tupeleke malalamiko TCRA hata kwa njia ya email tu as tukusanye kesi zote za vielelezo pamoja then tutume TCRA kama email moja ili tupate way forward.

Nasema haya sababu nilijua mimi ni muhanga peke yangu na nilikausha baada ya kukosa msaada mwaka jana, lakini kumbe inatokea kwa watu wengi na tunabaki kugugumia tu kwa hela zetu wenyewe tulizipata kwa tabu sana, hata kama ni pesa kidogo bado ni Jukumu la Tigo kuwajibika kwa sisi customers wao.

Mwaka jana nilifanya malipo kwenye Apple store kiasi cha 250,000 ambayo ilikatwa vizuri kabisa bila shida, next day ikakatwa tena 250,000 kwa mara ya pili kwenda apple, nilicheki apple nikakuta kweli kuna invoice imelipiwa mara mbili. Nilicommunicate na apple (as ujuavyo wenzetu wazungu hawana ushamba wa kiafrica wa urasimu wa kipuuzi), walinijibu ndani ya 24hrs kuwa pesa zangu zitarudishwa kwenye card niliyolipia.

After a day wakanitumia email ya proof kuwa wamerudisha hela kwangu ikiwa na details zote kama zilivyotumika wakati nalipia. Nikawasiliana na Tigo na kuwaelezea wakasema mchakato huo huwa unachukua muda hadi hela isome Kwenye account yangu.

Aisee nilisubiri for two months kimya, kuwatafuta Tigo tena wakasema bado niendelee kusubiri pesa kama hiyo inapitia channels nyingi sana hadi kufika kwao, Wazee muda huo huo ukumbuke kadi zao sio permanent ni za siku 90 then inaexpire alafu niko zaidi ya two month wanasema nisubiri. Ikafika muda card ikaexpire na sikuona shida sababu wallet na Tigopesa ziko linked direct (sio kama voda).

After six months baada ya kufuatilia tena Tigo, wakaniambia mbona nimechelewa sana kutoa taarifa ishapita miezi mingi, uzuri wakati natoa taarifa ya kwanza nilihifadhi reference number ambayo nilikua kila ninapofuatilia nawatajia, nilipowatajia kipindi hiki wakasema kesi ya zamani sana na reference number haiwezi kuwepo kwa system.

Ilifika mahali nikachoka sana usumbufu wa kila siku na unaenda kutia huruma kama unaomba msaada vile while pesa ni zangu, uende kunyenyeke watu ukatie tie huruma ofisi zao ndo warespond hii haikuwa sawa kwangu, nilipiga chini na nikaacha kufuatilia lile swala mpaka leo.

Kitendo cha kuona hili swala kumbe linawakumba watu wengi, naona si vyema kuacha liende hivhivi aisee, itabidi tufanye namna.
 
NItakupa sababu mbili muhimu kwanini usitumie kadi yako ya TIGO mastercard kununua vitu online.

1. Hii kadi wameunganisha mojamoja na akaunti ya Tigopesa, hamna control ambayo mteja unakua nayo kudhibiti kiwango cha juu ya muamala pale ambapo akaunti yako inakiasi cha kutosha kufanya muamala zaidi ya mmoja.

2. Accountability, support ya Tigopesa ipo very poor, haijibu kwa wakati na haitaki kubeba majukumu ya kutatua matatizo pale yatakapotokea. Ili uwezekuelewa vizuri ngoja nikupe mapito yangu ya hivi karibuni.

Kisa: Mwezi uliyopita nilinunua application kupita MICROSOFT Store kwa kiasi cha $15, inaonekana kulikua na tatizo kwenye mfumo wa malipo na kupelekea muamala ya $15 kufanyika mara nne, tena ingewezekana kufanyika mara nyingi zaidi kama nisingewahi kuizuia kadi.

Sasa Microsoft wanasema kati ya miamala minne ni mmoja tu ambao umewafikia, nawakashauri ni wasiliane na benki yangu kuhusu miamala mitatu ambayo haikufanikiwa na wakanipa reference namba 3.

Sasa nimewasiliana na hawa ndugu zangu Tigo kwa njia ya simu kisa kwenda kwenye moja ya duka lao, wanakazana kuwa miamala yote minne ilienda ("Posted"), wamegoma kusoma barua pepe niliyotumiwa kutoka Microsoft, wamegoma mimi kuwaunganisha ("CC") katika barua pepe ambayo nimetumiwa na Microsoft. Pia wamenipa printout ya hizo transaction lakini wamegoma kutumia makaratasi ambayo yapo branded, yani kwa lugha nyepesi wameprint tables kwenye makaratasi ya kawaida ambapo hamna details ambazo zinasema kilichoprintiwa kimetoka wapi. Sasa wanategemea mimi nishare haya makaratasi na hawa wajamaa, dah.

Kwa ufupi hili ni funzo nimelipata, na imani na wewe utakua umejifunza kitu kipya.

N.B: Kunamdau anaweza sema ningeamisha hela kwenda namba kabla sijafanya huo muamala.
1. Hii sio practical kwa sababu itahitaji niwe na namba zaidi ya moja, pia kila unapoamisha kuna makato yasiyo na kichwa wala mguu.
2. Baada ya kuamisha unaweza kupokea muamala kutoka kwa mtu na kuifanya accounti yako kuwa na hela za ziada.
3. Kama ni subscription, huu ujinga unaweza kufanyika usiku wakati umelala, na kujikuta unaamka asubuhi message za Tigo pesa zinaongozana.




Asante
Pole sana, customer service centre hawawezi kukusaidia, labda kama wanachokitengo kinachohusika na tigo pesa direct, mm nadhani wanashindwa kukusaidia kwakuwa hawana ushahidi wa moja kwa moja unaoonyesha pesa kuingia kwenye mifumo yao na kwamba ipo huko ina ning'inia hewani, kituo kikuu cha watoa huduma wa tigo ndio wanaweza kukusaidia ishu ya refund

Kingine ni uvivu wa watoa huduma wengi linapokuja jambo kama hilo la pesa kutoka kimakosa kisha ihitajike kurudishwa, labda kwakuwa process zake kuna muda ni complicated sana...

Kama Microsoft hawajapata hiyo miamala mingine, basi tigo pesa wawajibike kukurudishia pesa yako...

Lakini huenda ikarudi baada ya muda fulani kwenye akaunti yako kama itaonyesha hazikufanikiwa

M pesa wao huwa zinarudi kama muamala haujafanikiwa
 
Habari mkuu, nmepitia huu uzi, na mimi ni muhanga wa ili jambo aise! Nina siku ya nne tigo wananizungusha toka nifanye malipo ya Tigopesa master card kwenda High commission of canada, pesa yangu imekatawa kwenye tigo laki tatu na tisini elfu, uku nakolipia huduma sijapata malipo wanasema hawakupokea, yalikua declined. Yaan nina hasira sijui ata pa kuanza kudai ela yang, nmeenda mpaka tigo makumbusho wananipa hadithi za kua ela zmepokelewa wakat kiuhalisia hapana hazikupokelewa.
Achana na hao wanaokaa ftont Desk hapo tafuta mtu wa kitengo ashughulikie suala lako .. ingia mlango wowote hapo mpaka wakupe pesa yako.
Acha uwoga
 
Achana na hao wanaokaa ftont Desk hapo tafuta mtu wa kitengo ashughulikie suala lako .. ingia mlango wowote hapo mpaka wakupe pesa yako.
Acha uwoga
Ya kwangu ilikatwa Airtel. Kiasi cha laki nne na ushee. Nilienda straight kwa Manager pale makao makuu. Sio issue za vibandani au dirishani hizi. Na imeisharudishwa
 
Habari mkuu, nmepitia huu uzi, na mimi ni muhanga wa ili jambo aise! Nina siku ya nne tigo wananizungusha toka nifanye malipo ya Tigopesa master card kwenda High commission of canada, pesa yangu imekatawa kwenye tigo laki tatu na tisini elfu, uku nakolipia huduma sijapata malipo wanasema hawakupokea, yalikua declined. Yaan nina hasira sijui ata pa kuanza kudai ela yang, nmeenda mpaka tigo makumbusho wananipa hadithi za kua ela zmepokelewa wakat kiuhalisia hapana hazikupokelewa.
Pole mkuu. Apo unacho Takiwa kufanya, ni kuifanya account yako ya benk like nmb, NBC,crdb etc kuwa na uwezo wa kufanya manunuzi online.

Unaifanya account yako ya benk ina kuwa wallet.
Mfano nmb Visa,rcdb master card, NBC Master card.

Alafu SS unakuja Ku Link na PayPal account yako.

Hii itatusaidia kufanya manunuzi duniani bila kurudishiwa pesa Zako.

Coz hizi wallet ,tigo Visa, MPESA master card etc hizi 👈hazitambuliki kwenye dunia ya Kwanza, Ndio maana pesa zenu zinarudishwa.

Tumieni PayPal account alafu Una Link na account wallet zenu za benk,hii itatusaidia kufanya miamala mpaka wa 100,000 USD dollars Kwa mkupuo mmoja
 
Siamini hata watoa huduma wana hulka ya kusaidia naonaga wanajibugi kirahisi sana na sometime wasitatue changamoto zako, nimeibiwa hela na mkenya laki tano tulikua tunafanya biashara yani nimeibiwa pesa na vitu bidhaa sikupata nimewapigia tigo sijapata msaada wowote mpaka leo japo kurudisha miamala mpaka leo, jamaa alikua anatumia safaricom,

Ikabidi niwaandikie safaricom mail ila wapi
Hiyo ninpolice case hapo motandao haihusiki
 
Back
Top Bottom