Kama ni mtumiaji wa simu katika kufanya miamala kwa mitandao ya simu na bank kuna jambo moja la tofauti utaligundua.
Unapofanya miamala kwa kampuni hizi za mitandao ya simu gharama za muamala huwa zinawekwa wazi ujue kabla hujatuma.
Lakini kwa bank hali ni tofauti hawaonyeshi gharama ni mpaka utume na kurudi kuangalia tena salio. Kwanini wanaficha? Au ni kwasababu wanagharama kubwa za gharama miamala? Wana wasiwasi zikiwa wazi watu watasitisha kufanya miamala?
Mfano juzi nimetuma hela kutoka bank nyingine kwenda nyingine kiwango cha 100,000 nimekatwa 10,000. Je ningejua kabla hii gharama ningefanya muamala?
Kwanini gharama zao ni kubwa sana?
Unapofanya miamala kwa kampuni hizi za mitandao ya simu gharama za muamala huwa zinawekwa wazi ujue kabla hujatuma.
Lakini kwa bank hali ni tofauti hawaonyeshi gharama ni mpaka utume na kurudi kuangalia tena salio. Kwanini wanaficha? Au ni kwasababu wanagharama kubwa za gharama miamala? Wana wasiwasi zikiwa wazi watu watasitisha kufanya miamala?
Mfano juzi nimetuma hela kutoka bank nyingine kwenda nyingine kiwango cha 100,000 nimekatwa 10,000. Je ningejua kabla hii gharama ningefanya muamala?
Kwanini gharama zao ni kubwa sana?