Africa_Spring
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 426
- 111
humu wote mnatema vapor tu, hamna jipya
Tatizo la double standard,kwenye chadema wanajifanya wagumu,kwa hawa jamaa wanalainika baada ya kupigwa mkwara,cjui wanaogopa albadir?washughulikie wahalifu bila upendeleo labda itawaweka huru...
Hujui uzungumzalo. Prof za watu waachie wenyewe. Kazi ya polisi na jeshi ni tofauti kabisa, na hii ni kutokana na mafunzo wayapatayo.
Sina muda wa kukuelimisha, ila hii inaonyesha jinsi CHADEMA wakiingia madarakani watavyofuta kazi ya polisi na badala yake kuweka jeshi. Poleni sana.
yaani lawama zote mnamtupia jk,wakati wala hausiki na haya mambo.huu ni wakati umefika waislamu kuamka na kujua jinsi wanavyo kandanizwa na mfumo kristo na bakwata.ni kipindi cha mapambazuko,kama cdm wamavyoita m4c,jk yeye ametoa uhuru na hana habari na yale yote mnayomsimanga na mabaya mnayo mpa kuanzia majina na kauli zenu mnazozitoa kwake na familia yake lakini yeye amejikalia kimya anawaangalia nadhani huo ndio mnaouona udhaifu wake au mnataka aanze kuwashughulikia nyie kwa defarmation?.kama nawaona jana mmejipanga kwenye tv na familia zenu mnaangalia wamaume.polisi walikuwa kama jeshi lakini mwishowe watu waliwazoea hata hao wanajeshi watajiingiza kwenye haya mambo mwishowe watapewa kahawa na kashata na watu watawachezea sharubu zao.
Hujui uzungumzalo. Prof za watu waachie wenyewe. Kazi ya polisi na jeshi ni tofauti kabisa, na hii ni kutokana na mafunzo wayapatayo.
Sina muda wa kukuelimisha, ila hii inaonyesha jinsi CHADEMA wakiingia madarakani watavyofuta kazi ya polisi na badala yake kuweka jeshi. Poleni sana.
kile kidume kina imani ya juu kabisa juu ya m/mungu, maneno aliyoongea yalinitoa machozi nami namuomba ALLAH anizidishie iman, nisimuogope yeyote ila yeye ALLAH.
wee kweli! Yaani hata hukuona yule mtu alikuwa dkk2 mbele? Ndio nyie mnaosema huwezi kwenda sardaus bila ngeu!kile kidume kina imani ya juu kabisa juu ya m/mungu, maneno aliyoongea yalinitoa machozi nami namuomba ALLAH anizidishie iman, nisimuogope yeyote ila yeye ALLAH.
KweliNawashauri CDM mapema waanze kumfikiria Zawadi Ngoda awe IGP maana anaweza.
sifa zote anazo ataimarisha ulinzi.
Na mtume je? Au unajua kuwa alikufa na kaburi lake lipo hapa duniani na hana nafasi mbinguni?
Tatizo alijua akienda Ikulu Mh. atamsikiliza kiurahisi akimtajia neno ALLAH
Kumbe wapiiiiiiiiii........ HUYU NI RAIS WA WATANZANIA SIO RAIS WA WAISLAM lazima walitambue hilo
La sivyo watachezea vichapo kila siku na kuziacha familia zao zikifa njaa.
BIG UP JESHI LA WANANCHI, MBONA WALINYWEA FASTA
Alaaa!!Poa mkuu asante kwa ufafanuzi...ALBADIR ni magumashi tu mkuu,kama ni kitu cha ukweli mbona hawajamsomea yule dogo aliyekojolea kitabu chao
uchochezi huo na uchonganishi.Kufuatia vurugu za waislamu jana maeneo ya Ikulu, mfuasi mmoja nilimsikia akimwamuru afande usinishike afande usinishike. Na inavyoonekana afande huyo alionyesha kutii amri hiyo, mpaka askari aliyekuwepo nyuma alikuja kumshika na kumpiga.
Hii inaonyesha polisi wetu wamekuwa waoga kukabiliana na waislamu. Maana walivyokuja JWTZ kusaidia na waandamaji waliogopa tofauti na polisi walivyokuwa wameonyesha kushindwa kukabiliana na tatizo hili.
uchochezi huo na uchonganishi.
yule sijui ni mganga wa kienyeji, wa humu jf maana ile arrogance!? Eti usinishike wakati unavunja sheria. Alitaka askari wampapase?