Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Nipo zangu mlimani City kwenye manbo ya kushuti Content za youtube channel yangu
Tukiwa break mara wakaja wadada wawili buana mazungumzo yao yalikuwa hivi
Dada wa kwanza: my dia usipotoa kwa wanaume hata kidogo wakuonje onje hautaolewa,
Dada wa pili (bikra): kwahiyo mwenzetu wewe ulitoa kwa wanganui tabla haujaolewa?
Dada wa kwanza: boyfriend nilikuwa nao 3 tu, ila nishapita na wababa kibaooo
Dada wa pili (Bikra): kwahiyo Jamie safari ndio inaanza nitafute boyfriend watatu na wababa wakutosha??
Dada wa kwanza: sio lazima iwe ivyo unaweza bahatika
Dada wa pili (bikra): tafadhal me siwezi hayo maisha yako, kama kuolewa ni mpaka usulubiwe kwanza na wanaume na waume za watu me sitaweza
Alafu naomba nisipangiwe matumizi ya sehemu zangu za siri, kila mtu ameumbwa na zake, tusipangiane wapi pa kuwekesha zangu
Je huyu bikra alikosea kumjibu mwenzake??
Tukiwa break mara wakaja wadada wawili buana mazungumzo yao yalikuwa hivi
Dada wa kwanza: my dia usipotoa kwa wanaume hata kidogo wakuonje onje hautaolewa,
Dada wa pili (bikra): kwahiyo mwenzetu wewe ulitoa kwa wanganui tabla haujaolewa?
Dada wa kwanza: boyfriend nilikuwa nao 3 tu, ila nishapita na wababa kibaooo
Dada wa pili (Bikra): kwahiyo Jamie safari ndio inaanza nitafute boyfriend watatu na wababa wakutosha??
Dada wa kwanza: sio lazima iwe ivyo unaweza bahatika
Dada wa pili (bikra): tafadhal me siwezi hayo maisha yako, kama kuolewa ni mpaka usulubiwe kwanza na wanaume na waume za watu me sitaweza
Alafu naomba nisipangiwe matumizi ya sehemu zangu za siri, kila mtu ameumbwa na zake, tusipangiane wapi pa kuwekesha zangu
Je huyu bikra alikosea kumjibu mwenzake??