Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...Mzee wa baraza alikuwa anasinzia wakati kesi ya shambulizi la aibu ikiendelea.
Hakimu: Mlalamikaji hebu ieleze mahakama alichokuambia mshitakiwa.
Mlalamikaji: mheshimiwa maneno aliyoniambia hayasemeki.
Hakimu: basi yaandike.
Mlalamikaji akaandika: "Twende tukatombane". Akampa hakimu ambae baada ya kukisoma kikaratasi akawapa wazee wa baraza nao wakisome. Mzee wa baraza wa kwanza alipomaliza kukisoma (mwanamke) ikawa zamu ya yule anaeuchapa usingizi. Mama mzee wa baraza akamshtua toka usingizini na kumpa kile kikaratasi, jamaa kukisoma akasema "Eh! Sasa hivi?"
Hakimu: Mlalamikaji hebu ieleze mahakama alichokuambia mshitakiwa.
Mlalamikaji: mheshimiwa maneno aliyoniambia hayasemeki.
Hakimu: basi yaandike.
Mlalamikaji akaandika: "Twende tukatombane". Akampa hakimu ambae baada ya kukisoma kikaratasi akawapa wazee wa baraza nao wakisome. Mzee wa baraza wa kwanza alipomaliza kukisoma (mwanamke) ikawa zamu ya yule anaeuchapa usingizi. Mama mzee wa baraza akamshtua toka usingizini na kumpa kile kikaratasi, jamaa kukisoma akasema "Eh! Sasa hivi?"