Kesi ya aibu

Kesi ya aibu

fired

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
233
Reaction score
521
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.

Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.

Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.

Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.

Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.

Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.

Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.

Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....

😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!

"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
😴
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
Wahuni hawa, wallah watakua CCM
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
😳
😳
😳

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
😴
Vizeee vimalaya Malaya vinapatikana CCM
 
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea.
Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa.
Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia Hayasemeki.
Hakimu: Basi Yaandike kwenye Karatasi.
Mlalamikaji : Akaandika, "Twende Tuka sex" akampa Hakimu.
Hakimu : Baada ya Kuisoma akawapa Wazee wa Baraza Wasome.
Mzee wa kwanza Alipomaliza kuisoma, akampa wa pili, ambae alikuwa ni mwanamke, naye akampa mzee aliyekuwa anasinzia.
Mzee ile kuisoma tuu, akastuka.....
[emoji15]
[emoji15]
[emoji15]

Akasema kwa sauti ya Chini...!
"Eeh..! Sasa hivi au baada ya Baraza..?"
[emoji42]
[emoji16][emoji16]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom