Usimwamini mwanamke kwa 100% hata siku moja

Usimwamini mwanamke kwa 100% hata siku moja

majina ya Sharifa nahisi yana tatizo. kuna Sharifa zaidi ya wanne nnao wafahamu kama mambo yao yanafanana hivi.
naomba nizungumzie mmoja wao japo natoka nje ya Story naomba nivumiliwe niwape kisanga kilichomkuta mdogo wangu kabisa.

Huyu bwana nae alikuwa na mahusiano na moja kati ya hawa kina sharifa, kipindi hivyo ndio tunaanza maisha tulikuwa tukiishi chumba kimoja mimi na huyu ndugu yangu. wakati huo sisi wote ni madereva wa masafa marefu, sasa ndugu yangu na sharifa wake walikuwa wananikera kitu kimoja, simu za usiku. ndugu yangu anaongea na simu, unalala unastuka saa tisa ile ng'ombe unaikuta bado inaongea na simu na miguu imeweka ukutani maongezi ya kipuuzi puuzi tu, yaan mda mwingine anakesha kabisa, kuna wakati unakuta safari hakuna hali ngumu tumeyumba labda tuna buku nne tunagawana mbilimbili tuishi usiku yule jamaa buku mbili anatia vocha analala njaa ili tu aongee na Sharifa.

Sasa kuna siku mimi sina kitu alafu mwanangu( mdogo wangu tunaishi kishkaji zaidi ) ametoka safaro yuko njema nikamwambia oya babu niungie mwanangu kabla Sharifa ajakukamua ndwange maana najua wewe ni pimbi kwa manzi ako utaenda kutoa ndwange zote huko, kumbe kweli asee Sharifa ashasoma ramani anataka akampukutishe mzigo wote, jamaa akaniambia hapa sina Cash twende TipTop mimi naenda kuonana na Sharifa alafu umuone shemeji yako kisha nitoa ndwange kwa wakala nakupa pesa unayotaka unajikataa mimi naenda kulala Lodge leo na Shemeji yako nataka kuudestroy ule mk**** ah mm nikaona poa shida yangu pesa hayo mambo mengine atajua mwenyewe.

Sasa tumefika Tipi ya Top pale kwenye nakutana na shemeji yangu Pisi imesimamia kucha, nikamsalimia ikabidi nimuache mwamba ajimwambafy sasa mimi nimebaki kwa nyuma nawafuata polepole ukumbuke hapo yule mbuzi ( mdogo wangu hajatoa ndwange bado kwenye simu) na ndio kilichokuwa kinanisubirisha nikawa mpole, wao mnele mm nyuma naangalia mkia wa shemeji na jinsi nnavyomjua dogo mipango aliyokuwa nayo kuhusu ule mkia mm nkakausha.

sasa tumefika apo alikosema anaenda kufanya uzinzi akaniambia Man kaa hapa na shemeji yako agizen msosi mm naenda kufanya muamala pale, nje ya hiyo bar na Lodge ni hapo hapo. mm nikaagiza, shemeji akaagiza mwamba akaenda kutoa mzigo haikupita mda akawa amewasili. akaongea kitu na mwanamke wake akaniita pembeni akanitoa la 20. mm nikamwambia Man nikimaliza kula mm nasepa we si haurudi akasema yap. sasa namaliza pale, mwamba akauliza vip mwanangu hustui japo mbili za kukuboost mpaka home? home kipindi hicho Mabibo. nikaona yap hii fresh, nikasafiri mara mbili fasta fasta. huku shemeji Sharifa yeye akijipigilia savanna taratiibu. sasa cjui ibilisi gani akatokea pale, shemeji akadai jamaa alipie chumba anataka akajisaidie room na sio public toi, mwamba fasta akajitosa mapokezi akafanya yake. akarudi na funguo akampatia.

Sharifa alikuja na kipoch hiki cha kwapani sasa alipoondoka akawa amekiacha juu ya meza, alipotokomea tu, mdogo wangu akachukua ile pochi akafungua zipu akatumbukiza mkono ndani, vikatoka vimlio flan hivi, mwamba akatoa macho, nikamuuliza vipi bab? akajibu k******mae, akautoa mkono chap! akasema mwanangu huyu dem, kabla hajamalizia akaingiza tena mkono ulipotoka akawa ametoka na condom kama tisa hv ziko moja moja, akaziweka mezani, akazama tena akatoka na zingine za kutosha, dah mimi nilicheka sanakwa sababu ni tukio ambalo lilikuwa linafurahisha mno ukizingatia mimi nilishamchanaga dogo yule demu anaonekana dhahir shahiri ni chura., sasa wakati anaendelea kuingiza mikono mle ndani akaibuka na Uume bandia mkubwa tu wa zambarau yaani kipisi tu cha kutosha, hapo nilicheka mpaka beer nikamwaga. nikainuka zangu, jamaa akakibidua kilebki mkoba akaanza kukikunguta, kufungua zip ya pembeni akakutana na ki uume kingine hichi kidogo kidogo cha rangi ya maziwa. Akaniambia X leo naua. nikamwambia man mm ngoja niende zangu home. msubiri dem wako akakubandue sijui mkabanduane, nikaondoka nacheka, dogo nikamuacha kapanic sana. kutoka tu pale mimi nikazima simu..asubui nikaenda kumuwekea dhamana dogo pale Urafiki police.
Mkuu umenichekesha sana, kwanini uliamua kuzima simu sasa ?
 
USIMWAMINI MWANAMKE KWA 100% HATA SIKU MOJA

PART THREE

Ilipoishia

Nikamwambia alinitumia meseji mbili mesenja na zinasema hivi na hivi. Akasema MPENZI WANGU UNANIAMNI? HUYO MTU KAAHIDI ANATAKA KUNIHARIBIA KWAKO, UKIMSIKILIZA UKANIACHA LENGO LAKE LITAKUWA LIMETIMIA. ILA NTATESEKA SANA NA MWANANGU. BASI WE MSIKILIZE TU. Nikamwambia kaaaaaamwe siwezi kumsikiliza jamaa nikamuacha yeye, over.



Tuendelee


Kuingia Facebook jioni tena jamaa kanitumia meseji kuuliza tutaonana lini. Nikamwambia hatutaonana. Yeye kama kuna kitu anamdai demu amdai mwenyewe akitaka niwakutanishe niko tayari. Ila sio yeye kuongea na mimi chochote. Hiyo option akaikataa. Akasema yeye hamdai, ila anajua nimedanganywa sana, anataka kuniambia ukweli ili nikiamua kuendelea na Sharifa niendelee naye nikijua nadili na mtu wa namna gani. Alichomfanyia yeye anaweza kunifanyia mimi. Mi nikaweka msimamo siko tayari kuonana nae. Basi akasema yote aliyotaka kuniambia ataniambia humo humo mesenja kwa sababu sitaki tuonane. Akaanza meseji ya kwanza, Gazeti; ya pili Gazeti, ya tatu gazeti. Nikachoka kusoma nikalala. Halafu wife alishaanza kufuatilia hapo kitandani baada ya kuona niko bize sana Facebook isivyo kawaida. Nilivoamka usiku saa tisa hivi nikamkuta mshikaji ametuma meseji zaidi ya 20, yote magazeti, na bado yuko online. Asubuhi nilivofika ofisini nikawaza yale magazeti kuyasomea kwenye simu macho yatauma. Nikazikopi meseji zote nikapesti kwenye MS Word nikaprint ili nisome. Zilikuwa page 9 za MS Word, font size 11 line spacing 1.15. Jamaa aliandika aisee. Cha msingi alikuwa anajaribu kunithibitishia kuwa yule ni kama mke wake tu, ilibaki hatua moja tu ya Kwenda kwa sheikh. Kila nilichomkuta nacho amenunua akiwa nae na mpaka wiki iliyopita kabla hajahama yeye alikuwa anajua wako pamoja, kumbe demu alikuwa na mipango mingine. Na akaniambia pale demu aliponidanganya ni kwa dada ake ni yeye alimpangishia, na yule sio dada yake ni mpangaji mwenzie. NUSU YA ALIYOYAONGEA YALIKUWA YA KWELI KABISA, ROBO nilihitaji kuunganisha doti kuyathibitisha, na ROBO yalikuwa ya kupika ili nimuache huyo demu. Sababu alikuwa anataja vitu vingine ambavyo nilikuwa na uhakika kuwa havikuwa kweli. Mfano alisema mwaka 2018 mwezi 3 (demu akiwa mjamzito) walienda kijijini kwao na demu kusalimia, ili anihakikishie kuwa mpaka demu akiwa mjamzito walikuwaga wanaendelea na mipango ya ndoa kama kawaida. Na tarehe alizotaja mimi mwenyewe nilikuwa na demu Mbeya, Njombe na Songea. Nilizisoma zile kurasa 9 huku jasho linanitoka. Kitu alichothibitisha tu ni kuwa vyovyote ilivyo YULE MTOTO ALIEZAA SHARIFA SIO WAKE ila yeye aliamua kuishi nae hivo hivo tu kwa sababu anampenda. Kwa kifupi tu miaka yote mitatu niliyokuwa na demu, na jamaa alikuwemo. Kwa hiyo mimi nilikuwa naiba demu wake.



LAKINI KAMA SHARIFA ALIVOSHAURI NIKAAMUA KUMTOSA MSHIKAJI ILI NIWE NA YEYE. Nikamjibu jamaa Ex kuwa, yoooote aliyoniambia nimemuelewa, ila mimi nimeamua kuwa na Sharifa hivo hivo. Nampokea na mapungufu yake yote, mpaka atakaponiambia kuwa anarudi kwa kwake. Kwa hiyo kama yeye anamtaka Sharifa aangalie jinsi ya kumshawishi arudi kwake, sio kunishawishi mimi nimuache Sharifa kwa sababu ya kunidanganya. Kitu pekee kinachoweza kunifanya nimuache ni kama akisema mtoto LISA ni wake (ambaye yeye alishanithibitishia kwenye meseji za FB sio wake). Jamaa akajua tu stori aliyonipa sijamwamini ndio maana msimamo wangu uko palepale. Basi akanitakia maisha mema mim na Sharifa (Mama Lisa) akasema ukweli huwa haujifichi. Kuna siku ntathibitisha kuwa yote aliyoniambia ni ya kweli. Mimi na Mama Lisa tukaendelea na maisha. Mpaka hapo nilikuwa sijajua huyo jamaa ndio lile jamaa lilikuja siku ileeeeee kwa sharifa likaingia bila hodi likatukana wakati linaondoka. Na yeye kwenye meseji zake zooote hakugusia hilo, aligusia tu matukio mengine mawili ambayo mimi na yeye tulikutana pale kazini kwa demu lakini tukiwa hatujui wote tuko pale kwa ajili ya demu mmoja. Demu alikuwa ametukalisha maeneo mawili tofauti ya mgahawa, anaenda kule dakika 5 anakuja kwangu dakika 5. Mpaka mi naondoka sikugundua kitu na jamaa hakugundua. Walikuja kumsimulia siku alivorudi pale kumtafuta demu alivomtoroka kule alikokuwa kampangishia Temeke.

Sasa mwaka 2020 nikapata safari ya Dodoma na mtoto akawa amekua. Tukaenda wote na Sharifa tukakaa siku mbili. Siku nyingine nikapata safari ya Mwanza tukaenda wote wakati wa kurudi tukapitia Dodoma tukalala siku moja kesho yake tukaondoka kurudi Dar. Tulivofika Dar baada ya siku kadhaa nikamwambia twende tukamsalimu dada yake, mimi nimemmiss. Tukaenda. Hiyo ilikuwa mara ya pili tunaenda baada ya mimi kumlazimisha lazimisha. Mpaka wakati huo huyo anayesema ni dadake hajawahi kuja makao mapya ya mdogo wake, yaani toka alipohamia 2018 hajawahi kuja. Sasa mimi nilivowatua tu pale Temeke, wife (original) akanipigia simu anataka kwenda maeneo ya huko huko Temeke, nikamwacha Sharifa na Lisa huko Temeke niende nikampeleke wife anakotaka kwenda halafu hawa ntarudi kuwachukua jioni.

Wakati natoka Temeke nianze kumfuata wife home, kuna jamaa jirani (wwa Sharifa) wa nyumba ya pili akaniomba lift, tulikuwa tumeshazoeana kile kipindi nilichokuwa namfuataga Sharifa huko. Njiani akaniuliza tunakujaga kufanya nini huku? Kwanza nikashangaa, lakini nikamjibu kuwa tunakujaga kwa dadake Sharifa kumsalimia. Akauliza dadake yupi? Mbona hana dada maeneo haya? Nikamtajia. Akashtuka kidogo halafu akaniambia wale sio ndugu hata kidogo. Ni wapangaji wenza tuu. Mpaka wakati huo mimi nilikuwa naamini kabisa huyo ni dada wa Sharifa tumbo moja, mpaka namlazimisha kuja kumsalimu. Nikawa nambishia jamaa wale ni ndugu kabisa! Jamaa akanipa na ushahidi mwingine kunithibitishia kuwa wale ni wapangaji wawili tofauti na wamekutania pale pale. Na wote wamemkuta na walihamia kwa nyakati tofauti na wote amewazoea vyumbani mwao anaingia kama kwake. Kwamba pale hakuna chumba na sebule ni vyumba viwili vinavojitegemea. Kwanza hata makabila yao tofauti, huyu anayesemwa ni dada ni wa Kigoma wakati huyu mwingine ni wa Njombe. Moyo ukalia PAAAAAA! Ningeweza hata kuangusha gari.

Jamaa alipofika anakoenda akashuka, bila hata kujua amenivuruga kiasi gani. Hapo ndio nakumbuka maneno ya yule Ex wa Sharifa kuwa aliniambia pale ni yeye alimpangishia. Nikajikaza kiume nikaenda mpaka home nikamchukua wife nikampeleka anakotaka kwenda, uzuri wake ilikuwa ni maeneo ya huko huko Temeke, halafu mimi nikaenda nilikowaacha Lisa na mama yake. Njiani nikapaki gari mahali pazuri pasipo na kelele nikampigia simu yule dada yake wa Mbagala. Hapo sasa picha ishanijia kuwa kweli huyu wa Temeke atakuwa sio ndugu yake Sharifa. Yule wa Mbagala wanafanana. Nikampigia huyo wa Mbagala nikamwomba tu aniambie ukweli kuhusu hivi vitu. Je pale nilipomkuta Sharifa anakaa alikuwa kapanga au anakaa kwa yule aliyesema ni dada yake? Mbili, Je yule wa Temeke ambaye Sharifa aliniaminisha ni ndugu yao, ni ndugu kweli au nayo ni uongo? Akaniambia yule sio ndugu wamekutana nae pale na pale Sharifa alikuwa amepangishiwa na yule Ex. Lakini mdogo wake alishamwambia kuwa yeye ameamua kuachana nae ili awe na mimi ila hajui aniambieje, na yule jamaa kila akipotezewa haelewi wala nini, anakuja tu kwa sababu yeye ndio alimtafutia demu nyumba, na mpaka wakati demu anahama pale mpangaji aliyekuwa anatambulika ni mwanaume. Akasema alishamshauri mdogo wake aniambie ukweli kama nampenda kweli ntaelewa mdogo wake akamwambia haina haja kwa sababu mimi namhamisha pale kwa hiyo hayo yatakuwa yalishapita hayatakuwa na nafasi kwenye mahusiano yetu. KWA KWELI SIKU HIYO MUNGU TU NDIO ANAJUA ILIISHAJE ISHAJE.

Sasa basi jioni ilipofika nikamfuata Sharifa na mtoto kuwarudisha kwao. Sikumuuliza wala nini. Kesho yake asubuhi nikasafiri. Nilipofika Dodoma siku hiyo sikulala. Nikamwambia nimeshathibitisha kuwa mambo mengi aliyoniambia ex wake yalikuwa ya kweli na nimepata uthibitisho kutoka chanzo cha kuaminika kabisa. Akabisha bisha kidogo, nikamkumbusha matukio yote yaliyopita ambayo yanathibitisha kuwa kuna ukweli mkubwa. Ikiwemo yule jamaa alivokuja siku tukakutana pale yeye akiwa mjamzito, safari za dodoma zote tulizoenda hajawahi kuongelea kumtafuta huyo dada yake ambaye alisema yule jamaa ndio mume wake, siku tulizokutana wanaume wawili kazini kwake alivobabaikaga, na mambo mengine. Akawa mnyonge sana. Mwisho wa maongezi akaniambia kama nimeamua kumwacha basi, ila kwa miaka mitano tuliyokuwa pamoja, hajawahi kuwa na mahusiano na huyo jamaa. Ila jamaa alikuwa anaenda pale kwake kutaka wasuluhishe warudi kama zamani na yeye alikuwa anamkatalia, lakini hakuwa na cha kufanya. Akasema yeye toka tulipokutana miaka 5 iliyopita moyoni kwake nilikuwepo mimi tu hayo mengine ilikuwa ni ngumu kutatua kwa sababu za kihistoria. Kwa kifupi alikana kabisa kuwa kwenye mahusiano yoyote na ex wake wala mtu mwingine yeyote. Akasema ndio maana tunachati masaa 24, ananitumia picha masaa 24, video call napiga muda wowote hata saa nane usiku (mfano nikiwa safarini) na hajawahi kuacha kupokea simu yangu wala kujibu meseji yangu hata awe wapi (YOTE HAYA YA KWELI). Kama nilivosema mwanzo kwa miaka yote 7 niliyokuwa nae toka 2015 mpaka leo (BADO TUPO WOTE KAZAA NA MTOTO MWINGINE MWAKA HUU), hajawahi kuchelewa kupokea simu yangu, hata awe anafanya nini, hajawahi kukosa kujibu meseji yangu, hajawahi kufuta meseji yangu wala simu yangu, hajawahi kuacha kunitumia picha nikidai popote alipo, hajawahi kuficha simu yake nikiwepo. Yani nikifika tu kama kuna changamoto ya simu atanipa nishughulikie, kama kuna kitu interesting cha kunionyesha humo kwenye simu yake atanikabidhi simu niendelee kucheki yeye anaenda zake nje kupika. Simu yangu ikizima chaji halafu yeye anapika sina kampani, atanipa simu yake nicheki cheki instagram na FB bila hofu yoyote. YEYE NDIYE MTU AMBAYE NIKIWEKEWA BASTOLA NIKAAMBIWA NIMPIGIE MTU MMOJA TU ASIPOPOKEA WANANIPIGA RISASI, NTAMPIGIA YEYE. Basi nikaamua kuachana na yaliyopita tusonge mbele. Sikuwahi kuuliza kitu tena kuhusu Ex mpaka mwaka huu 2022.



NAENDELEA KUANDIKA
Kosa la mke wako Ni nini ..je siku ukijua anamegwa ? Cha mtu huliwa na mtu
 
Wabandueni vizuri ili Waridhike na wasiwe na Tamaa ( Hamu) ya Kubanduliwa nasi sawa?

Sasa kama Mke wa Mtu ukiwa Unambandua anakupa kabisa Madhaifu ya Mumewe kuna Kosa?

Mfano kuna Mke wa Mwanajeshi mmoja ( tena wa Cheo cha Major ) pale Makongo Jeshini huyu kila nikimkwepa na kumwambia Mimi na Yeye iwe basi anasema hawezi na hataki kwani Mumewe japo ana Hela na Maendeleo kibao ila hajui Kumkojolesha kama akiwa nami sasa hapa Mimi Kosa langu ni nini au lipi Mkuu?

Na nitawabandulieni kweli kweli Wake zenu hadi mjifunze Kuwabandua vyema hasa hasa kwa Kuwakojolesha sana sawa?

Hamna Akili.
Kuna siku mumewe atakukojolesha vitatu na wewe
 
Wanawake ni wajanja sana

Haya mambo yaliwah kunikuta,sahv siwez kulala hata kukaa kwa mwanamke

Niliwah kuwa na kisingo maza kilikuwa kimepanga nyumba nusu(yaan nyumba ilikuwa kubwa na kulikuwa na wapangaji wawili,hicho kidemu na mama mwingine alikuwa na familia yake),baadae huyo mama alihama na huyo demu akamiliki nyumba nzima

Penzi lilinoga mpaka akaamua kumpeleka mwanae kwao,yaan tulikuwa tunanyanduana muda wote kuanzia asubuhi mpaka jioni yaan ni kupika kula kuoga humo humo,kutoka ni jioni tu kwenda kuhemea mazaga zaga tena ilikuwa mara moja moja tu

Wakat huo mimi nimetoka chuo sina kazi pesa ni kuomba tu ndugu zangu bahati nzuri nina dada zangu walikuwa wameshaajiriwa tayar kwahyo vielfu 50 hv haikuwa tatzo na huyo demu ndani alikuwa na vitu vya kutosha sabuni boksi zima,sukar ya kutosha,mkaa magunia kama matano yaan hakuwa na shida,kwa mjibu wake aliniambia alikuwa ana duka ila aliibiwa na akafanikiwa kuwakamata waliomuibia lakin vitu hakuvipata kwahyo alichukua baadhi vilikuwa vimebak akaamua kuhama hayo maeneo kwa kuogopa hao wezi aliowafunga wasije wenzie wakamdhuru ndo akahamia hapo mtaan,baba mtoto wake akawa ananiambia ni daktar yupo mbali mikoani huko ila huwa anatuma hela ya matumiz,kumbe huyo mwanaume ni mbaba mkubwa anaweza kunizaa hata mimi na ana familia kwahyo ndo anaemtunza na hilo duka aliloibiwa huyo mbaba ndo alikuwa kamfungulia,na huyo mbaba alikuwa akitaka kula mzigo anampeleka nje ya wilaya ana mkula wanarudi,sasa huyo baba alikuwa kitombi sana huyo demu akawa hapendi hyo tabia kwahyo aliponipata mimi akawa anambania huyo mbaba

Kumbe huyo mbaba nae kaamua kufatilia ili kujua kwanini huyo demu anakuwa anambania siku moja ndo akaamua kuja pale gheto akiwa na boda boda alikuwa anamuagiza amletee hela huyo demu,kumbe walivyofika wakaizunguka nyumba nzima na kusikiliza kinachoendelea ndani,baada ya kujiridhisha kuwa kuna mwanaume ndo wakaenda kugonga mlangoni,demu kanikimbika kaenda kunifungia kwenye chumba ambacho tulikuwa hatukitumii lakin jamaa walipoingia walkuja na wakauvunja mlango baada ya kuniona wakanitoa ingawaje hawakunipiga,jamaa akawaita dada na mama wa huyo demu wakaja lilikuwa varangati balaa jamaa akawaambia kuwa hatahudumia tena na wasimjue,aisee kichwa kiliniwaka sana
 
Wanawake ni wajanja sana

Haya mambo yaliwah kunikuta,sahv siwez kulala hata kukaa kwa mwanamke

Niliwah kuwa na kisingo maza kilikuwa kimepanga nyumba nusu(yaan nyumba ilikuwa kubwa na kulikuwa na wapangaji wawili,hicho kidemu na mama mwingine alikuwa na familia yake),baadae huyo mama alihama na huyo demu akamiliki nyumba nzima

Penzi lilinoga mpaka akaamua kumpeleka mwanae kwao,yaan tulikuwa tunanyanduana muda wote kuanzia asubuhi mpaka jioni yaan ni kupika kula kuoga humo humo,kutoka ni jioni tu kwenda kuhemea mazaga zaga tena ilikuwa mara moja moja tu

Wakat huo mimi nimetoka chuo sina kazi pesa ni kuomba tu ndugu zangu bahati nzuri nina dada zangu walikuwa wameshaajiriwa tayar kwahyo vielfu 50 hv haikuwa tatzo na huyo demu ndani alikuwa na vitu vya kutosha sabuni boksi zima,sukar ya kutosha,mkaa magunia kama matano yaan hakuwa na shida,kwa mjibu wake aliniambia alikuwa ana duka ila aliibiwa na akafanikiwa kuwakamata waliomuibia lakin vitu hakuvipata kwahyo alichukua baadhi vilikuwa vimebak akaamua kuhama hayo maeneo kwa kuogopa hao wezi aliowafunga wasije wenzie wakamdhuru ndo akahamia hapo mtaan,baba mtoto wake akawa ananiambia ni daktar yupo mbali mikoani huko ila huwa anatuma hela ya matumiz,kumbe huyo mwanaume ni mbaba mkubwa anaweza kunizaa hata mimi na ana familia kwahyo ndo anaemtunza na hilo duka aliloibiwa huyo mbaba ndo alikuwa kamfungulia,na huyo mbaba alikuwa akitaka kula mzigo anampeleka nje ya wilaya ana mkula wanarudi,sasa huyo baba alikuwa kitombi sana huyo demu akawa hapendi hyo tabia kwahyo aliponipata mimi akawa anambania huyo mbaba

Kumbe huyo mbaba nae kaamua kufatilia ili kujua kwanini huyo demu anakuwa anambania siku moja ndo akaamua kuja pale gheto akiwa na boda boda alikuwa anamuagiza amletee hela huyo demu,kumbe walivyofika wakaizunguka nyumba nzima na kusikiliza kinachoendelea ndani,baada ya kujiridhisha kuwa kuna mwanaume ndo wakaenda kugonga mlangoni,demu kanikimbika kaenda kunifungia kwenye chumba ambacho tulikuwa hatukitumii lakin jamaa walipoingia walkuja na wakauvunja mlango baada ya kuniona wakanitoa ingawaje hawakunipiga,jamaa akawaita dada na mama wa huyo demu wakaja lilikuwa varangati balaa jamaa akawaambia kuwa hatahudumia tena na wasimjue,aisee kichwa kiliniwaka sana
Ikawaje sasa mkuu?
 
majina ya Sharifa nahisi yana tatizo. kuna Sharifa zaidi ya wanne nnao wafahamu kama mambo yao yanafanana hivi.
naomba nizungumzie mmoja wao japo natoka nje ya Story naomba nivumiliwe niwape kisanga kilichomkuta mdogo wangu kabisa.

Huyu bwana nae alikuwa na mahusiano na moja kati ya hawa kina sharifa, kipindi hivyo ndio tunaanza maisha tulikuwa tukiishi chumba kimoja mimi na huyu ndugu yangu. wakati huo sisi wote ni madereva wa masafa marefu, sasa ndugu yangu na sharifa wake walikuwa wananikera kitu kimoja, simu za usiku. ndugu yangu anaongea na simu, unalala unastuka saa tisa ile ng'ombe unaikuta bado inaongea na simu na miguu imeweka ukutani maongezi ya kipuuzi puuzi tu, yaan mda mwingine anakesha kabisa, kuna wakati unakuta safari hakuna hali ngumu tumeyumba labda tuna buku nne tunagawana mbilimbili tuishi usiku yule jamaa buku mbili anatia vocha analala njaa ili tu aongee na Sharifa.

Sasa kuna siku mimi sina kitu alafu mwanangu( mdogo wangu tunaishi kishkaji zaidi ) ametoka safaro yuko njema nikamwambia oya babu niungie mwanangu kabla Sharifa ajakukamua ndwange maana najua wewe ni pimbi kwa manzi ako utaenda kutoa ndwange zote huko, kumbe kweli asee Sharifa ashasoma ramani anataka akampukutishe mzigo wote, jamaa akaniambia hapa sina Cash twende TipTop mimi naenda kuonana na Sharifa alafu umuone shemeji yako kisha nitoa ndwange kwa wakala nakupa pesa unayotaka unajikataa mimi naenda kulala Lodge leo na Shemeji yako nataka kuudestroy ule mk**** ah mm nikaona poa shida yangu pesa hayo mambo mengine atajua mwenyewe.

Sasa tumefika Tipi ya Top pale kwenye nakutana na shemeji yangu Pisi imesimamia kucha, nikamsalimia ikabidi nimuache mwamba ajimwambafy sasa mimi nimebaki kwa nyuma nawafuata polepole ukumbuke hapo yule mbuzi ( mdogo wangu hajatoa ndwange bado kwenye simu) na ndio kilichokuwa kinanisubirisha nikawa mpole, wao mnele mm nyuma naangalia mkia wa shemeji na jinsi nnavyomjua dogo mipango aliyokuwa nayo kuhusu ule mkia mm nkakausha.

sasa tumefika apo alikosema anaenda kufanya uzinzi akaniambia Man kaa hapa na shemeji yako agizen msosi mm naenda kufanya muamala pale, nje ya hiyo bar na Lodge ni hapo hapo. mm nikaagiza, shemeji akaagiza mwamba akaenda kutoa mzigo haikupita mda akawa amewasili. akaongea kitu na mwanamke wake akaniita pembeni akanitoa la 20. mm nikamwambia Man nikimaliza kula mm nasepa we si haurudi akasema yap. sasa namaliza pale, mwamba akauliza vip mwanangu hustui japo mbili za kukuboost mpaka home? home kipindi hicho Mabibo. nikaona yap hii fresh, nikasafiri mara mbili fasta fasta. huku shemeji Sharifa yeye akijipigilia savanna taratiibu. sasa cjui ibilisi gani akatokea pale, shemeji akadai jamaa alipie chumba anataka akajisaidie room na sio public toi, mwamba fasta akajitosa mapokezi akafanya yake. akarudi na funguo akampatia.

Sharifa alikuja na kipoch hiki cha kwapani sasa alipoondoka akawa amekiacha juu ya meza, alipotokomea tu, mdogo wangu akachukua ile pochi akafungua zipu akatumbukiza mkono ndani, vikatoka vimlio flan hivi, mwamba akatoa macho, nikamuuliza vipi bab? akajibu k******mae, akautoa mkono chap! akasema mwanangu huyu dem, kabla hajamalizia akaingiza tena mkono ulipotoka akawa ametoka na condom kama tisa hv ziko moja moja, akaziweka mezani, akazama tena akatoka na zingine za kutosha, dah mimi nilicheka sanakwa sababu ni tukio ambalo lilikuwa linafurahisha mno ukizingatia mimi nilishamchanaga dogo yule demu anaonekana dhahir shahiri ni chura., sasa wakati anaendelea kuingiza mikono mle ndani akaibuka na Uume bandia mkubwa tu wa zambarau yaani kipisi tu cha kutosha, hapo nilicheka mpaka beer nikamwaga. nikainuka zangu, jamaa akakibidua kilebki mkoba akaanza kukikunguta, kufungua zip ya pembeni akakutana na ki uume kingine hichi kidogo kidogo cha rangi ya maziwa. Akaniambia X leo naua. nikamwambia man mm ngoja niende zangu home. msubiri dem wako akakubandue sijui mkabanduane, nikaondoka nacheka, dogo nikamuacha kapanic sana. kutoka tu pale mimi nikazima simu..asubui nikaenda kumuwekea dhamana dogo pale Urafiki police.
Alikamatwa kwa kosa gani??
 
Mahusiano yana mambo mengi sana. Mi nimetoa tu hii stori kwa sababu nikikumbuka inanifikirisha sana. Ila sijakusimulia kwanini niko na huyo Sharifa mpaka leo mwaka wa 7. Lakini mke wangu anamjua na anajua nina watoto nae. Itoshe tu kusema wife ana sababu zake za kuendelea kuwa na mimi na ana mapungufu yake kama mimi nilivo na mapungufu. Anajua mimi ni mwanaume wa namna gani. Na anajua ni wapi nilianzia hayo mahusiano. Kuna kitu kilitokea kwenye ndoa ambacho mwanaume mwingine asingevumilia. Kwa kifupi watu wote wanaonizunguka wanaamini mimi ni mtu mvumilivu kuliko wote waliowahi kuwajua.
😎😎
 
USIMWAMINI MWANAMKE HATA SIKU MOJA!

TRUE STORY

Nilikutana na Sharifa mwaka 2015 akiwa anafanya kazi mgahawani maeneo ya posta ya zamani. Nilipomuona tu siku ya kwanza nikampenda. Baada ya siku 3 za kwenda kula pale tukazoeana nikamuomba namba akanipa tukaanza mawasiliano ya mara kwa mara. Baada ya mwezi tukaanza mahusiano. Mapenzi yalikuwa motomoto, karibu kutwa zima tunachati. Muda wote ambao haudumii wateja na mimi nikiwa free tunachati tu, mpaka wenzake wakawa wanamshangaa wanamwambia huyo aliyempata safari hii kanasa pabaya (Nikienda pale kazini kwake kuna rafiki yake alikuwa ananipa udaku).

Nikamuuliza ilikuwaje akawa singo, akasema AMEACHANA NA JAMAA YAKE SIKU SI NYINGI KABLA HAJAKUTANA NA MIMI. Penzi lilikolea hakuna mfano, baada ya miezi miwili tu alikuwa muda wote yupo kichwani mwangu (naamini hata yeye kwake ilikuwa hivo kwa sababu nisipomtafuta masaa mawili mfululizo ni kesi). Nakumbuka kuna siku sijui kulitokea nini sikumtafuta toka asubuhi mpaka jioni, nikampigia saa 3 usiku video call, hicho kilio alicholia ni kama amefiwa.

Toka siku hiyo nikaahidi haitatokea tena kutomtafuta kutwa nzima. (Kumbuka yeye hawezi kunitafuta kwa sababu hajui niko kwenye mazingira gani, nina mke na mtoto). NILIPOMUULIZA ANAKAA WAPI AKASEMA ANAKAA KWA DADA YAKE TEMEKE. Kwamba huyo ni dada yake wa pili kuzaliwa ndani mwao (KUMBE NI MPANGAJI MWENZIE). Wa kwanza yupo kijijini, wa pili ndio huyo anaekaa kwake, wa tatu anakaa Mbagala, wa nne kaka yake anakaa Mbezi na wa tano ni yeye (wa mwisho).

Mapenzi yakapamba moto, kukutana ni jumamosi au jumapili, au wiki zingine jumamosi na jumapili. Tukikutana tunashinda ndani (lodge) mpaka usiku ndio anaondoka kwenda kwao na mimi naenda kwangu. Kwa miaka miwili mfululizo nadhani hatujawahi kuruka jumamosi hata moja bila kukutana. Sijawahi kutaka kufika anakokaa kwa sababu niliona ni mapema kuanza kutaka kwenda kwa dadake, na kuna namna ni kama alikuwa anapotezea nikiuliza habari za anakokaa na mimi nikawa sitilii maanani sana Kwenda kwao.

Lakini kidogo kidogo akawa ananipa maelezo ambayo naweza kufika mpaka mtaani anakokaa. Ila hakuwahi kunikaribisha huko kwao. Tulipendana mnooo, kwa siku alikuwa ananitumia picha hata kumi akiwa kwenye mazingira tofauti. Nikiuliza yuko wapi anafanya nini muda huo jibu lake inakuja picha (selfie). Halafu tunaendelea kuchati. Siku za kukutana mara nyingi yeye ndio alikuwa anakuja maeneo ya Sinza ndio tunakutania huko, ikafika kipindi nikawa naenda maeneo ya Temeke tunaingia gesti za huko, sio mbali sana na anakokaa. Ratiba ikawa inabadilika badilika.

Pamoja na kukutania lodge za maeneo ya kwao, hakuwahi kunikaribisha nikapajue kwao. Ila alinionyesha kwa mbali sana mnara wa simu (vodacom) akasema anakaa karibu kabisa na huo mnara, akanitajia na rangi ya nyumba wanayokaa.

Picha lilikuja kuanza mwaka 2017. Nilipata safari ya kuzunguka mikoa mitano ya Tanzania bara nikaamua kusafiri nae tukale Maisha. Hizo zilikuwa wiki 3 za furaha kubwa kuliko kipindi chochote kwenye maisha yangu, siji kuzisahau.

Baada ya kurudi safari haikupita wiki mbili akaniambia ni mjamzito. Nikafurahi sana, kwa sababu nilikuwa natamani siku zote anizalie mtoto na kama sio kipingamizi cha ndoa nadhani ningemuoa haraka sana tulivokutana. Tatizo nilikuwa na mke tayari. Kuna siku nilienda kufanya mishe Mbagala na yeye asubuhi alikuwa ameniambia anaumwa (mimba ilikuwa inamsumbua sana ile), basi nikaamua kwenda pale bila kumwambia.

Nikafika mpaka pale bila yeye kunielekeza, nilipofika koridoni nikamkuta jirani yao akanionyesha chumba chao nikaingia. Akashangaa sana kwa sababu hakujua kuwa naenda pale, lakini akanipokea vizuri tu tukapiga stori tukatoka wote tukaenda duka la madawa tukanunua dawa akarudi kwao mi nikarudi zangu ofisini.

Sasa humo alimonikaribisha aliniambia ndio sebuleni kwa dada ake, chumba cha pili ndio cha kulala. Ila yeye analala sebuleni (kulikuwa na kila kitu mpaka kitanda). KUMBE NI CHUMBA CHAKE alichopangishiwa na yule jamaa aliyeniambia waliachana (MPAKA WAKATI HUO WALIKUWA BADO WAKO PAMOJA na sikuwahi kushtuka kuwa yuko na mtu na jamaa hajawahi kushtuka kuwa anaibiwa). Jamaa nae alikuwa na mke wake hivo anakujaga mara moja moja sana. Akija anapiga zake bao chap anarudi kwake, halafu haonekani tena mpaka baada ya mwezi au miwili (alikuwa dereva wa magari ya safari ndefu).

Kilichofanya nisishtuke kabisa kuwa tuko wawili ni kwamba jamaa yake hanaga mawasiliano ya simu ya mara kwa mara. Nadhani akimhitaji alikuwa anaenda tu geto alikompangishia bila kupiga simu wala kutuma meseji. Na akienda hakagui simu hata mara moja kwa sababu angekuwa anakagua angeshajua kitambo kuwa demu wake yuko na mimi. Demu hajawahi kufuta meseji yangu hata moja toka tulipokutana. Na picha zote alizonitumia wasap hajawahi kufuta kwenye simu yake hata moja hata zangu nilizomtumia mimi.

Na kumbukumbu ya simu nilizompigia hajawahi kufuta hata moja. Kitu kingine, nikiwa nae lodge simu yake inakaa hapo mezani muda wote haigusi hata mara moja, na ikipigwa au ikiingia meseji na mimi niko karibu nayo, ataniuliza mimi ni nani anapiga au nani katuma meseji. Yani alikuwa demu ambaye hana mambo mengi kabisa, nilimpenda mnooo na alijenga mazingira ya mimi kumuamini asilimia 100 (sipendi kabisa madem ambaye ukiwa naye muda wote yuko na simu mkononi, huyu alikuwa wa kwanza kukutana nae wa aina ya pekee). Kama mara mbili imewahi kupigwa simu tukiwa pamoja, aliempigia akamfokea sana, halafu yeye hakujibu. Nilipokuwa namuuliza huyo nani akawa anasema ni yule jamaa waliyeachana siku hizi anamsumbua sana anataka warudiane, na yeye hataki kwa sababu ameshakuwa na mimi. (KUMBUKA MPAKA HAPO WALIKUWA HAWAJAACHANA ila mimi nilikuja kujua baadae sana walipochana kweli baada ya demu kujifungua na mimi kumuhamisha demu kutoka pale (”KWA DADA YAKE”) nikamleta maeneo ya jirani na ninakokaa ili iwe rahisi kuwaona na mtoto kila siku).

Kuna wakati akaniambia dadake amesafiri kaenda nyumbani Iringa. Basi siku moja asubuhi tu kabla hajaamka nikaenda pale (Kazi alikuwa ashasimama kwa ajili ya ujauzito). Toka siku hiyo tukaacha kwenda lodge, mambo yote tunamalizia hapo (KUMBUKA KAPANGISHIWA NA MWANAUME ila mimi najua ni kwa dada yake). Nikawa naenda mara kwa mara naingiaga tu kama kwangu.

Aliyejifanya dada ake ananipokea fresh nashinda hapo. Wanapika misosi tunakula kila nikienda. Tunakaa chumbani tukitosheka tunakaa koridoni tukichoka tunakaa nje, yani nikawa huru mno. ILA KUNA MACHO WAPANGAJI WENZIE WALIKUWA WANANIANGALIA KAMA YA KUNIAMBIA KITU mi sina hili wala lile, nimezama kwenye penzi zito. Kabla ya hapo nilikuwa nishaanza hata kuchangia kodi, kwamba mle sebleni anamolala kodi nalipa mimi, nikamwambia amwambie kabisa dadake. Na alikuwa na mtoto yuko darasa la sita huko kijijini kwao (kwa bibi yake huyo mwanamke wangu) nikawa nasaidia kumhudumia.

Picha likaendelea. Siku moja akaniambia anaumwa, mimi mapema tu nikatokea pale. Nikaingia chumbani nikavua zangu shati nikabaki na singlet, akaniandalia chai nikanywa baadae tukatoka tukakaa koridoni, nikamwambia sikai sana ntaondoka muda si mrefu.

Tukiwa hapo koridoni akaingia jamaa, alipofika karibu na chumba cha demu (WAKATI HUO MI NAJUA NI SEBLENI KWA DADAKE) akanisalimia mimi HALAFU BILA KUPIGA HODI WALA NINI akaingia humo chumbani. Demu akasimama akamfuata huko ndani, nikasikia jamaa anaunguruma kama analalamika kitu kama dakika moja nzima, ila maneno nilikuwa siyasikii. Halfu demu akatoka akamuacha jamaa huko ndani. Akaniuliza kama anisindikize au vipi kwa sababu nilikuwa nimemwambia naondoka sasa hivi.

Kwa namna yule jamaa alivoingia nikawa na maswali mengi kichwani nikawa nimeghairi kuondoka ili jamaa aondoke nimuulize demu yule ni nani. Kwa hiyo nikamjibu kuwa nimeghairi kuondoka ntaondoka jioni (Hiyo ilikuwa saa 5 hivi asubuhi). Kwa unyonge akarudi kule ndani, nikasikia jamaa sasa linatukana matusi, kuwa halipendi ujinga na u.s.e.n.g.e u.s.e.n.g.e, na maneno mengine makali makali. Mengine nikawa sisikii mengine nasikia, kama dakika 2 hivi. Halafu jamaa likatoka likabamiza mlango kwa nguvu huku linaondoka linamwambia demu aache upumbavu wake kabisa. Hilooooooo likapotea zake……

ITAENDELEA KESHO***
Dah! N nooma mwamba ata me ishanikuta kama yako hvyo hvyo!!
 
Ikawaje sasa mkuu?
Jamaa baada ya kususia mzigo na mtoto,demu ikabid akatafute kazi,maana demu alikazia kwa mama ake kwamba hamtaki tena huyo mbaba,akashauri tuhame hapo nikampangishie eneo jingine na wakat huo sina hela za kufanya yote hayo kwahyo sikuweza ikabid dem akatafute kazi mi nkaamua nirudi chuo kuendelea elimu,ila mpaka leo huyo demu tunawasiliana na mzigo nikitaka nakula

Kuna wakati fulani huyo mbaba alianza kumsihi arudi waendelee na mapenzi yao demu akawa anakataa ila sahv ameshampotezea kabisa huwa hata akimuona anamuangalia tu
 
Aisee Aya bhana.

Dini isikubane we hidhinisha tu awemke mdogo sasa
 
Kama story ni ya kweli ndiyo maana wizi wa pesa za serikali na kuandikiwa imprest za uongo ili kuhudumia michepuko utazidi kuendelea. Ahsante mleta mada lakini umejishusha sana kwa haya maisha. Just imagine mke wako akija jujua unamsaliti utajificha wapi. Si utamuua kwa pressure. Mungu akuhurumie tu maana unachokifanya akieleweki. Tomorrow you are going to reap what you are planting today.
Mtazamo tu. Wife anajua kila kitu. Na anajua mimi siamini kama mtu unatakiwa kuwa na mwanamke mmoja. Yaani toka uoe mpaka mwisho wa maisha yako unakula demu mmoja tu? Miaka 40 demu mmoja tu? Daaa.

Ila sikatai kama ulivosema kimaendeleo niko nyuma sana sana sana. Ndio hicho tu kinasumbua. Otherwise sijawahi kujuta kukutana na Sharifa. Nadhani bila yeye stress za ndoa zingeshaniua kitambo. Watu wanaonijua walishukuru mungu nilivokutana na huyu mwanamke. Ukiachilia mbali kuwa nilichukua mwanamke wa mtu na yeye akashindwa kuniambia miaka mitatu mizima, she is pure gold! KWANZA SIO GOLD, NI DIAMOND. Hata ungekuwa wewe usingemuacha. Nadhani katika kuhangaika koooote na biashara ya wanawake, ya huyu ndio ilinilipa. Sijuti kabisa kuwa nae, ila historia ndio mbaya. Natafuta tu namna ya kurasimisha hii kitu asiwe mchepuko. Ila changamoto za kidunia ndio tatizo, hasa dini.
 
majina ya Sharifa nahisi yana tatizo. kuna Sharifa zaidi ya wanne nnao wafahamu kama mambo yao yanafanana hivi.
naomba nizungumzie mmoja wao japo natoka nje ya Story naomba nivumiliwe niwape kisanga kilichomkuta mdogo wangu kabisa.

Huyu bwana nae alikuwa na mahusiano na moja kati ya hawa kina sharifa, kipindi hivyo ndio tunaanza maisha tulikuwa tukiishi chumba kimoja mimi na huyu ndugu yangu. wakati huo sisi wote ni madereva wa masafa marefu, sasa ndugu yangu na sharifa wake walikuwa wananikera kitu kimoja, simu za usiku. ndugu yangu anaongea na simu, unalala unastuka saa tisa ile ng'ombe unaikuta bado inaongea na simu na miguu imeweka ukutani maongezi ya kipuuzi puuzi tu, yaan mda mwingine anakesha kabisa, kuna wakati unakuta safari hakuna hali ngumu tumeyumba labda tuna buku nne tunagawana mbilimbili tuishi usiku yule jamaa buku mbili anatia vocha analala njaa ili tu aongee na Sharifa.

Sasa kuna siku mimi sina kitu alafu mwanangu( mdogo wangu tunaishi kishkaji zaidi ) ametoka safaro yuko njema nikamwambia oya babu niungie mwanangu kabla Sharifa ajakukamua ndwange maana najua wewe ni pimbi kwa manzi ako utaenda kutoa ndwange zote huko, kumbe kweli asee Sharifa ashasoma ramani anataka akampukutishe mzigo wote, jamaa akaniambia hapa sina Cash twende TipTop mimi naenda kuonana na Sharifa alafu umuone shemeji yako kisha nitoa ndwange kwa wakala nakupa pesa unayotaka unajikataa mimi naenda kulala Lodge leo na Shemeji yako nataka kuudestroy ule mk**** ah mm nikaona poa shida yangu pesa hayo mambo mengine atajua mwenyewe.

Sasa tumefika Tipi ya Top pale kwenye nakutana na shemeji yangu Pisi imesimamia kucha, nikamsalimia ikabidi nimuache mwamba ajimwambafy sasa mimi nimebaki kwa nyuma nawafuata polepole ukumbuke hapo yule mbuzi ( mdogo wangu hajatoa ndwange bado kwenye simu) na ndio kilichokuwa kinanisubirisha nikawa mpole, wao mnele mm nyuma naangalia mkia wa shemeji na jinsi nnavyomjua dogo mipango aliyokuwa nayo kuhusu ule mkia mm nkakausha.

sasa tumefika apo alikosema anaenda kufanya uzinzi akaniambia Man kaa hapa na shemeji yako agizen msosi mm naenda kufanya muamala pale, nje ya hiyo bar na Lodge ni hapo hapo. mm nikaagiza, shemeji akaagiza mwamba akaenda kutoa mzigo haikupita mda akawa amewasili. akaongea kitu na mwanamke wake akaniita pembeni akanitoa la 20. mm nikamwambia Man nikimaliza kula mm nasepa we si haurudi akasema yap. sasa namaliza pale, mwamba akauliza vip mwanangu hustui japo mbili za kukuboost mpaka home? home kipindi hicho Mabibo. nikaona yap hii fresh, nikasafiri mara mbili fasta fasta. huku shemeji Sharifa yeye akijipigilia savanna taratiibu. sasa cjui ibilisi gani akatokea pale, shemeji akadai jamaa alipie chumba anataka akajisaidie room na sio public toi, mwamba fasta akajitosa mapokezi akafanya yake. akarudi na funguo akampatia.

Sharifa alikuja na kipoch hiki cha kwapani sasa alipoondoka akawa amekiacha juu ya meza, alipotokomea tu, mdogo wangu akachukua ile pochi akafungua zipu akatumbukiza mkono ndani, vikatoka vimlio flan hivi, mwamba akatoa macho, nikamuuliza vipi bab? akajibu k******mae, akautoa mkono chap! akasema mwanangu huyu dem, kabla hajamalizia akaingiza tena mkono ulipotoka akawa ametoka na condom kama tisa hv ziko moja moja, akaziweka mezani, akazama tena akatoka na zingine za kutosha, dah mimi nilicheka sanakwa sababu ni tukio ambalo lilikuwa linafurahisha mno ukizingatia mimi nilishamchanaga dogo yule demu anaonekana dhahir shahiri ni chura., sasa wakati anaendelea kuingiza mikono mle ndani akaibuka na Uume bandia mkubwa tu wa zambarau yaani kipisi tu cha kutosha, hapo nilicheka mpaka beer nikamwaga. nikainuka zangu, jamaa akakibidua kilebki mkoba akaanza kukikunguta, kufungua zip ya pembeni akakutana na ki uume kingine hichi kidogo kidogo cha rangi ya maziwa. Akaniambia X leo naua. nikamwambia man mm ngoja niende zangu home. msubiri dem wako akakubandue sijui mkabanduane, nikaondoka nacheka, dogo nikamuacha kapanic sana. kutoka tu pale mimi nikazima simu..asubui nikaenda kumuwekea dhamana dogo pale Urafiki police.
Mimi siwez kuhangaika na mwanamke wa hivyo,si bora kuachana nae tu
 
Mahusiano yana mambo mengi sana. Mi nimetoa tu hii stori kwa sababu nikikumbuka inanifikirisha sana. Ila sijakusimulia kwanini niko na huyo Sharifa mpaka leo mwaka wa 7. Lakini mke wangu anamjua na anajua nina watoto nae. Itoshe tu kusema wife ana sababu zake za kuendelea kuwa na mimi na ana mapungufu yake kama mimi nilivo na mapungufu. Anajua mimi ni mwanaume wa namna gani. Na anajua ni wapi nilianzia hayo mahusiano. Kuna kitu kilitokea kwenye ndoa ambacho mwanaume mwingine asingevumilia. Kwa kifupi watu wote wanaonizunguka wanaamini mimi ni mtu mvumilivu kuliko wote waliowahi kuwajua.
[emoji41][emoji41]
Kilikukuta nini na mkeo mpaka watu wakuone wewe ni mvumilivu dunia nzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtazamo tu. Wife anajua kila kitu. Na anajua mimi siamini kama mtu unatakiwa kuwa na mwanamke mmoja. Yaani toka uoe mpaka mwisho wa maisha yako unakula demu mmoja tu? Miaka 40 demu mmoja tu? Daaa.

Ila sikatai kama ulivosema kimaendeleo niko nyuma sana sana sana. Ndio hicho tu kinasumbua. Otherwise sijawahi kujuta kukutana na Sharifa. Nadhani bila yeye stress za ndoa zingeshaniua kitambo. Watu wanaonijua walishukuru mungu nilivokutana na huyu mwanamke. Ukiachilia mbali kuwa nilichukua mwanamke wa mtu na yeye akashindwa kuniambia miaka mitatu mizima, she is pure gold! KWANZA SIO GOLD, NI DIAMOND. Hata ungekuwa wewe usingemuacha. Nadhani katika kuhangaika koooote na biashara ya wanawake, ya huyu ndio ilinilipa. Sijuti kabisa kuwa nae, ila historia ndio mbaya. Natafuta tu namna ya kurasimisha hii kitu asiwe mchepuko. Ila changamoto za kidunia ndio tatizo, hasa dini.
Ninashukuru kwa maelezo yako ninakutakia kila heri.
 
Ninashukuru kwa maelezo yako ninakutakia kila heri.
Tupeane tu moyo. Nilioa mwanamke ambaye haamini kwenye talaka lakini anaweza kukupa stress ya kuua. Na uzuri wake anajijua. Ukiwepo nyumbani hataki, anakustress; ukienda misele hataki anakustress. Ukisafiri nae ainjoi maisha anakustress huko huko, mpaka kila mtu anarudi Dar kivyake. Lakini suala la kuachana hataki kusikia hata siku moja. Anasema tuliapa mpaka kifo kitutenganishe.
😂😂😂

Kumwonyesha mi sina nyendo mbaya kadi ya mshahara anakaa nayo yeye, lakini ukiwa na elfu 20 ukaenda kukaa na washkaji kidogo, hupati huduma siku tatu, utakufa na n.y.e.g.e zako. Hata chakula unaweza ukakuta hajapika.

Ukienda bar siku karidhia atakuagiza kuku au mbuzi choma. Ukileta lakini umechelewa, mfano umerudi saa 5, hiyo choma yako itatupwa huko.

Haaa, kuna watu wanapitia vitu kwenye ndoa hatari. Sasa nimemwelewa mshua wangu, alibadilisha wanawake kama mara 8 hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom