Usimfanyie wema wa kuzidi mwanamke aliye - single au mbali na mpenzi wake

Sijui kama ni nature ya wanawake au ni dunia imekua na watu katili kiasi cha kuwa ukimfanyia wema mtu anakuona wewe ni wa ajabu na anatafuta mbinu kurudisha wema wako.

Mwanzoni ilikua najua labda ni kwa walio single tu ila sasa hadi mke wa mtu yaani unamsaidia jambo kwa wema then yeye anatengeneza feelings za kimapenzi.

Better to be hard and kauzu. Now i learn the hard way what makaveli said " it is better to be feared that to be loved"
Sawa
 
Back
Top Bottom