Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
I try.Don't be too serious dear!
I try.Don't be too serious dear!
Sijui kama ni nature ya wanawake au ni dunia imekua na watu katili kiasi cha kuwa ukimfanyia wema mtu anakuona wewe ni wa ajabu na anatafuta mbinu kurudisha wema wako,
Mwanzoni ilikua najua labda ni kwa walio single tu ila sasa hadi mke wa mtu yani unamsaidia jambo kwa wema then yeye anatengeneza feelings za kimapenzi,
Better to be hard and kauzu.
Now i learn the hard way what makaveli said " it is better to be feared that to be loved"
Hapo umegusa mfupa! Wanategwa na kuibiwa fedha zao kivipi mkuu?Umeanza kujitambua Hongera .
Wenzio bado wanategwa na kunaswa kirahisi na kuibiwa fedha zao.
Wengine wametegeshwa mimba na kutia doa familia na wengine ndoa zao kuvunjika na kubaki historia .
Hahahahah usiniambie! ni kweli? Kwa nini sasa? Unaona sifa kuitwa hivyo?Ndo maana wananitangazaga Mie kauzu hatari
Dah
Ngoja nianze kujichanganga mdogo mdogo
Siku moja nikasikia Yule MWANAUME ni kauzu hatari
Ndio uje pm sasaI can only offer you a papuch if you do me a favour and not othérwise
Wala sijuiHahahahah usiniambie! ni kweli? Kwa nini sasa? Unaona sifa kuitwa hivyo?
michezo ya chini hapaana 😂😂Anza kutembea na Vaseline kamanda
With this mentality you still have a long way to go. Until then, go on offering.We have nothing to offer but papuchi
Ona hizi hasira za kuishiwa nguvu za kiume. Hivi hujasikia kuna vumbi la Kongo na Al Kasusi?Sijui kama ni nature ya wanawake au ni dunia imekua na watu katili kiasi cha kuwa ukimfanyia wema mtu anakuona wewe ni wa ajabu na anatafuta mbinu kurudisha wema wako.
Mwanzoni ilikua najua labda ni kwa walio single tu ila sasa hadi mke wa mtu yaani unamsaidia jambo kwa wema then yeye anatengeneza feelings za kimapenzi.
Better to be hard and kauzu. Now i learn the hard way what makaveli said " it is better to be feared that to be loved"
Si kila mwanaume rijali ni zoa zoa, elewa. Wengine tumelelewa kuwa gentlemen, tunasaidia yeyote pasi kuhitaji malipo ya aina yoyote.Ona hizi hasira za kuishiwa nguvu za kiume. Hivi hujasikia kuna vumbi la Kongo na Al Kasusi?
AAAAGHHRRRR msiwastuage bhana, kama mmeoa tulieni hukohukoWith this mentality you still have a long way to go. Until then, go on offering.
Aaaaah,nilkuwa kwenye mudi ya kuvuruga but siko hivo nadhani kati ya wanawake bora basi mimi ni miongoniWith this mentality you still have a long way to go. Until then, go on offering.
Nani kama Mama!? #Hakunaaaa...nani kama Mama Hakunaaaaaa......We have nothing to offer but papuchi