Usilolijua kuhusu Pete za bahati

Usilolijua kuhusu Pete za bahati

8e46f05cc200536c34d65f2929af9e87.jpg

Mkuu, pete kama hii?
 
Mkuu mshana jr labda nitakuwa nje ya topic kidogo...Naomba uniambie kuna uhusiano wowote wa chain na imani hizo za kishirikina...Maana nimepotezaga chain zangu za silver mara mbili kwenye mazingira tata tu..Jamaa mmoja akaniambia hata chain zina mahusiano na mambo ya majini ndo maana zinapotea kiaina..Zangu huwa nanunua kwa sonara kabisa..
 
Mkuu mshana jr labda nitakuwa nje ya topic kidogo...Naomba uniambie kuna uhusiano wowote wa chain na imani hizo za kishirikina...Maana nimepotezaga chain zangu za silver mara mbili kwenye mazingira tata tu..Jamaa mmoja akaniambia hata chain zina mahusiano na mambo ya majini ndo maana zinapotea kiaina..Zangu huwa nanunua kwa sonara kabisa..
Hata hizo cheni pia ni mule mule na baadhi ya masonara ni maagent wa kuzimu, kimsingi vidani Pete vikuku na urembo kama huo huwa vina connection na nguvu za giza
 
Mkuu Mshana jr, ukimaliza na hii tuletee kuhusu maringi ya kwenye kiwiko cha mkono.
Yote hayo yanahusika humu kwenye hii post ni pamoja na vidani vyote mpaka hereni na vishaufu na hata mapambo ya kichwani kama crowns
 
Hata hizo cheni pia ni mule mule na baadhi ya masonara ni maagent wa kuzimu, kimsingi vidani Pete vikuku na urembo kama huo huwa vina connection na nguvu za giza
asee bc hatari,,kwa sie wapenda kuvaa madin cjui itakuaje apa
 
Ujumbe mzuri na wa kweli unatukumbusha wajibu wetu na nini cha kufuata. Natamani kuona Mshana siku zote ukiandika hivi.Ukimpinga shetani na kumtukuza MUNGU.Hakika pete nyingi zinazovaliwa na wenzetu ni maagano ya kishetani,wengi hujiingiza bila kujua na madhara yake hayaishii kwao bali hata kwa wana wa wana wao,
 
mkuu zile bangili za shaba wanazouza wamasai nazo vipi niliskia eti zinakinga mtu na mikosi?
 
mkuu zile bangili za shaba wanazouza wamasai nazo vipi niliskia eti zinakinga mtu na mikosi?

Swadata mkuu!
Maana mimi kwa imani yangu nawaona wenye kuvaa maringi ni wangu tu tena sana.
Unajua hivi vitu si vyote ni vibaya ni mpaka kuwe na agenda , mpaka vitiwe roho
Kwenye uumbaji Mungu aliumba mfano wa mtu kisha akampulizia pumzi ya uhai ndio akawa binadamu. ..ndio Vivyo hivyo kwenye mambo ya giza....ukienda kwa mganga akakutuma kuku kinachohitajika pale sio nyama yake bali damu ndio maana baada ya kuchukua damu ile nyama yaweza kuliwa na mtu yeyote haina madhara
Zile za wamasai si zote zina nguvu yoyote nyingine ni za kawaida kabisa. Lakini pia hata haya macheni mapete na vidani vingine kama vikuku na vishaufu vingi ni cheap jewellery visivyo na chochote lakini kuna watu hupigwa
 
Back
Top Bottom