Ulikosea mashartiDuuuh nakumbuka kipindi fulani nikiwa gizani nilishawahi kuvaa pete hizo yenye dunguli jeusi tiii likiniletea bahati kila nilichokigusa kilikuwa kinasogea mpaka raha ila mambo yalivyoanza kwenda mrama nusura roho intoke
Mbona JK na Mkapa wamezivaa na hakuna anaehoji?.Kama ya lowassa?
Nimeona wengi wanayavaa lakini kifo kikiwafika huwa wanavuliwa tu
matirio ndio ina nguvu kiongozi kwa mfano ukivaa diamond wanasema utashika ela na vile madini yote yanaendana na mwezi wa kuzaliwa na wala si uchawi ndio maana hata wazumgu wanavaa ila wabongo wanavaa chupa kutokana na gharama hawaziweziNilikua naangalia Expendable nikaona Rambo nae anachukua Luck ring yake.
Hapo nikajua kumbe hiimambo sio tu huku kwetu ni Dunia nzima.
Ila kinachovaliwa pale hata kama ni plastic haina jinsi kilichopo ndani ya ile pete ndio chenye nguvu sio materials zilizotengenezea hiyo pete.
Hata mie sijui ni za nini sorry chapMbona JK na Mkapa wamezivaa na hakuna anaehoji?.
Ni ufunguo ni alama ni muhuri ni utambulisho ni password ya kukutana na majinimshana jr Mkuu niambie kuhusu Pete za majini,kuna uhusiano gan na majini,kuna mtu namfaham alikuwa nazo alipewa na ustadhi wake kwa ajili ya control majin yake!!,zimewai kupotea twice kwenye mazingira ya kutatanisha !!...
Ulinunua kana urembo? Kuna vingi huwa tunavaa bila kujua maana yake vingine vina athari vingine havinaaisee mi nna pete flan ya silva ina alama ya nyota me nlinunua tu kwa sonara
kaka mshana vp na za kununua kwa sonara zinaeza kuwa na majanga km utavaa?
Kaka mshana jr. Unaitwa huku, wahi fasta bas banaHii ni aina mojawapo ya ushirikina. Hakuna zaidi.
Wajinga Ndiyo Waliwao.
usiogope hakuna uchawi mimi nimesoma aina za madini au vito vya thamani na maana zake ziko wazi hata ukigoogle wewe vaa jiwe la kuzaliwa au la wapendanao au la furaha na kazalika hakuna uchawi tatizo watanzania akili zetu zinawaza ushirikina tuNinavutika sana kuvaa hizi pete ila mpaka nijue maana yake ili nisijevaa vitu nisivyojua vina nn.
Kuna sehemu fulani jamaa alichukua muhudumu kalala nae muhudumu kachukua Pete na cheni na laki 2 kaondoka.
Asubuhi yule jamaa alimwambia meneja amuambie mhudumu arudishe pete na cheni maana ikifika mchana yule dada angekufa ila yy angefilisika tu na vilirudishwa.
Uwiiuuue, mi nataka warudiane Tu, wakalee watoto pamoja, Bwana saidia hawa watu warudianeYeuuuwiii uuuwiiiii yeeeuuuu....unamchokoza??
Kwa mfano mtu ambae nyota yake ni Aquarius. ..anavaa madini gani?usiogope hakuna uchawi mimi nimesoma aina za madini au vito vya thamani na maana zake ziko wazi hata ukigoogle wewe vaa jiwe la kuzaliwa au la wapendanao au la furaha na kazalika hakuna uchawi tatizo watanzania akili zetu zinawaza ushirikina tu
Ukisoma vema nilichoandika nimemaanisha Pete za aina zote hebu angalia hiziusiogope hakuna uchawi mimi nimesoma aina za madini au vito vya thamani na maana zake ziko wazi hata ukigoogle wewe vaa jiwe la kuzaliwa au la wapendanao au la furaha na kazalika hakuna uchawi tatizo watanzania akili zetu zinawaza ushirikina tu
usipate shida google birthstone itakuletea orodha ya kila mwezi na jiwe lake na kama utahitaji uni pm ila kumbuka kila jiwe lina bei yakeKwa mfano mtu ambae nyota yake ni Aquarius. ..anavaa madini gani?
ni kweli kwa sababu zina shepu za ajabu na nyingi hapo hazina vito ukiacha hiyo moja naona ina redgarnet tuUkisoma vema nilichoandika nimemaanisha Pete za aina zote hebu angalia hiziView attachment 333113View attachment 333114View attachment 333115hizi si Pete za kawaida ni Pete zenye maana maalum na daima hunakshiwa kwa Vito vya thamani kubwa