Pete unaiomba?!Huombi pete unaomba mashetani.
pete yangu kila nikiiomba kitu inanipatia
pete yangu kila nikiiomba kitu inanipatia
Mimi nilivaa wakati nikifanya kazi mochwari miaka hiyooo siku hizi nina Pete moja tu ya ndoa iliyobarikiwa kanisani, BTW mganga au mchawi kuvaa Pete ni maana ya kuwa daraja fulani hawavai kama urembo
Kuna wanaovaa kushoto pia nitalitafiti hili japo bi kweli wengi wao huvaa kulia
Alishuka kuzimubaada ya kufa Si alienda mbinguni,
Kwaio unatakaje sasa..mana sijaelewa bado dhima ya mada yako ..
Nayo magazeti yake mengi tu mwaka wa 16 hadi sasa nimeyatunza na yamenisaidia sana kujiperfect kujitambuaMunga Tehenan Alazwe mahali pema peponi. Kwa miaka mingi sana nilitunza makala za gazeti lake la jitambue. Jitambue ni miongoni mwa magazeti ambayo Watanzania wengi hawayakuyapenda
Eheee... waliokupigia walete mrejeshooPesa au ndagu ya fedha
NAITWA DR, MDIRO namba 0746223645. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU UTAJIRI NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) NIPIGIE 0746223645. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.(TAFADHALI PIGA SIMU UKIWA NA NIA YA DHATI)