Usilolijua juu ya majengo ya UDOM

Usilolijua juu ya majengo ya UDOM

Hahahah ndio mimi mkuu.Last two weeks nilikuwa kule UDOM Carnival kwenye Hip Hop freestyle nikiwa na mtoto wa Humanities

Of course sitaacha kwenda
Hahahaha deadbody!! Upo mwaka wa ngapi!! Nnavijana wangu walikua hapo mmoja CE na mwingine CS
 
Yaani kuona hostel za social...ndio ukaamulia kuja kufungulia uzi hapa!!!

Sio mbaya sawa!!

Je ungeziona na hostels za CIVE UDOM??
Nadhani ungestick kabisa

8043439ab7fe6d8ba21845b0cd878ea6.jpg
Hi ndio 999 au 666 og kabisa
 
Yaani kuona hostel za social...ndio ukaamulia kuja kufungulia uzi hapa!!!

Sio mbaya sawa!!

Je ungeziona na hostels za CIVE UDOM??
Nadhani ungestick kabisa

8043439ab7fe6d8ba21845b0cd878ea6.jpg
hii ndo ipo uchi kabisa...and through this I can now see the relevance of this thread as ilivyoletwa na mleta uzi...mi nazani ni style tu ambayo haihusiani kbs na kile mleta uzi anavofikiria.

Ila ukweli ni kwamba ukiwa chini unaranda kwenye hayo majengo huwezi gundua kbs hiyo shape ya nam 6.
 
hii ndo ipo uchi kabisa...and through this I can now see the relevance of this thread as ilivyoletwa na mleta uzi...mi nazani ni style tu ambayo haihusiani kbs na kile mleta uzi anavofikiria.

Ila ukweli ni kwamba ukiwa chini unaranda kwenye hayo majengo huwezi gundua kbs hiyo shape ya nam 6.
Cive ni kwa msaada wa Microsoft wamewekeza pale, so kama unaamini katika hizi prophesy shit, lazima ukubali mkuu
 
Khabari vipi
Katika chambua chambua zangu za hapa na pale mara nikagundua waliopewa jukumu la kujenga chuo cha kimataifa cha dodoma wachina walijenga yale majengo wa muundo wa kipekee ambao ukiwa chini huwezi kuona mybe utumie camera kutoka juu high oblique utagundua majengo ya block yamejengwa kwamuundo wa nammba 666 sijaelewa ni lengo lilikuwa hivyo au ilitokea tu kwa kivipi ni hayo tu waweza fugua google earth na kusearch kisha ukajionea mwenyewe
Asanteni
View attachment 684125
kwa hiyo?
 
Yaani unakuta sometimes MTU analazimusha kitu kisichowezekana kiwepo
Naamini hata furniture za ndani zinvyopangwa kuna MTU atasema zipo ki Freemasonry
 
Khabari vipi
Katika chambua chambua zangu za hapa na pale mara nikagundua waliopewa jukumu la kujenga chuo cha kimataifa cha dodoma wachina walijenga yale majengo wa muundo wa kipekee ambao ukiwa chini huwezi kuona mybe utumie camera kutoka juu high oblique utagundua majengo ya block yamejengwa kwamuundo wa nammba 666 sijaelewa ni lengo lilikuwa hivyo au ilitokea tu kwa kivipi ni hayo tu waweza fugua google earth na kusearch kisha ukajionea mwenyewe
Asanteni
View attachment 684125
Hiyo 666 ina maana gani?
 
Back
Top Bottom