mtu watu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,123
- 1,617
Kwani jamaa kazungumzia mambo ya imani au imani mmezileta wenyewe?We jamaa Mimi nimesoma UDOM 2009-2012 acha uongo siyo kila semister na hata kama ingekuwa kweli chuo kilikuwa na wanafunzi zaidi ya 10,000 kutokea vifo ni kawaida kwenye population kubwa.
By the way hakuna 666 hapo imani inafanya uonr hata ambacho hakuna.
You only see what you want to see...