Usilolijua juu ya majengo ya UDOM

Usilolijua juu ya majengo ya UDOM

So unataka kusema kwamba chuo kilikuwa kinafanya kafara au sijakusoma vzr???
Sijui kama ni kafara au ni sadaka au natural death. Mwenyezi Mungu mwenyewe anajua
Ngoja nikusimulie baadhi ya vifo ninavyokumbuka tangu kuanza masomo UDOM mpaka kumaliza.
1) Ulifanyika mgomo mmoja akafariki mwanafunzi katika ile hali yakukimbia alianguka wenzake wakamkanyaga.
2) kuna siku ilinyesha mvua college ya social science Radi ikampiga mwanafunzi akafariki
3) Darasa la BAGE alifariki dada mjamzito mchana alikuwa mzima ilipofika usiku akaanza kuumwa. Huyu alifia hospitali
4) Dada mjamzito tena alianguka bafuni akafariki
5) Alifariki lecturer mmoja(mwanamke)kwa ajali ya gari
6) kaka mmoja aligongwa na treni akafariki.
Unaweza ukaona vifo 6 ndani ya semister 6 yaani miaka 3. Hapo ni college tofauti tofauti
 
Mtoa mada ni mburula...yani nafungua uzi nkajua kitu cha maana kumbe mhemko na ndoto za mchana...ushindwe na ulegee
 
Yaani kuona hostel za social...ndio ukaamulia kuja kufungulia uzi hapa!!!

Sio mbaya sawa!!

Je ungeziona na hostels za CIVE UDOM??
Nadhani ungestick kabisa

8043439ab7fe6d8ba21845b0cd878ea6.jpg
Alipewa stori ya CIVE view from above lakini ktk kutafuta akaishia Social, akapata wrong structure kusupport uzi wake.
 
Sijui kama ni kafara au ni sadaka au natural death. Mwenyezi Mungu mwenyewe anajua
Ngoja nikusimulie baadhi ya vifo ninavyokumbuka tangu kuanza masomo UDOM mpaka kumaliza.
1) Ulifanyika mgomo mmoja akafariki mwanafunzi katika ile hali yakukimbia alianguka wenzake wakamkanyaga.
2) kuna siku ilinyesha mvua college ya social science Radi ikampiga mwanafunzi akafariki
3) Darasa la BAGE alifariki dada mjamzito mchana alikuwa mzima ilipofika usiku akaanza kuumwa. Huyu alifia hospitali
4) Dada mjamzito tena alianguka bafuni akafariki
5) Alifariki lecturer mmoja(mwanamke)kwa ajali ya gari
6) kaka mmoja aligongwa na treni akafariki.
Unaweza ukaona vifo 6 ndani ya semister 6 yaani miaka 3. Hapo ni college tofauti tofauti
Mmmhhh thar is conspiracy theory
 
Yaani kuona hostel za social...ndio ukaamulia kuja kufungulia uzi hapa!!!

Sio mbaya sawa!!

Je ungeziona na hostels za CIVE UDOM??
Nadhani ungestick kabisa

8043439ab7fe6d8ba21845b0cd878ea6.jpg
aiseee hii sasa ndio inafikirisha!!
 
Sijui kama ni kafara au ni sadaka au natural death. Mwenyezi Mungu mwenyewe anajua
Ngoja nikusimulie baadhi ya vifo ninavyokumbuka tangu kuanza masomo UDOM mpaka kumaliza.
1) Ulifanyika mgomo mmoja akafariki mwanafunzi katika ile hali yakukimbia alianguka wenzake wakamkanyaga.
2) kuna siku ilinyesha mvua college ya social science Radi ikampiga mwanafunzi akafariki
3) Darasa la BAGE alifariki dada mjamzito mchana alikuwa mzima ilipofika usiku akaanza kuumwa. Huyu alifia hospitali
4) Dada mjamzito tena alianguka bafuni akafariki
5) Alifariki lecturer mmoja(mwanamke)kwa ajali ya gari
6) kaka mmoja aligongwa na treni akafariki.
Unaweza ukaona vifo 6 ndani ya semister 6 yaani miaka 3. Hapo ni college tofauti tofauti
eeeeehhhh "" hapo lazima ulazimike kuanza kufikiria nje ya box
 
Jamaa alifanya donated !!?
kama ndivyo basii hizo triple six zipo mahala pake stahiki hahaaa
Yap kama kawaida, ndio college iliyo jengeka ki mataifa niseme kwa tz nzima hakuna inayoifikia na bado ujenzi unaendelea.
 
Mmmhhh thar is conspiracy theory
Hivyo ni vifo anavyo vijua yeye kalazisha vifike sita ila ni zaidi kuna aliyekufa kwenye swimming pool, kuna aliyefia guest na wapo wengi tu ni zaidi ya vifo nane sema analazimisha apate namba sita sawa na mawazo yake.
 
Yap kama kawaida, ndio college iliyo jengeka ki mataifa niseme kwa tz nzima hakuna inayoifikia na bado ujenzi unaendelea.
naam hilo nalifahamu lakini sikuwa najua before kuwa Jamaa alitia ukwasi wake hapo ...aisee
 
Hivyo ni vifo anavyo vijua yeye kalazisha vifike sita ila ni zaidi kuna aliyekufa kwenye swimming pool, kuna aliyefia guest na wapo wengi tu ni zaidi ya vifo nane sema analazimisha apate namba sita sawa na mawazo yake.
hahaa
 
Hivyo ni vifo anavyo vijua yeye kalazisha vifike sita ila ni zaidi kuna aliyekufa kwenye swimming pool, kuna aliyefia guest na wapo wengi tu ni zaidi ya vifo nane sema analazimisha apate namba sita sawa na mawazo yake.
Unawashwa wewe, hivyo ndo ninavyokumbuka na vimepita katika miaka niliyokaa UDOM. sijalazimisha kupata sita bythe way hongera tena kwa kuongeza idadi nyingine nilikuwa nimesahau
 
Back
Top Bottom