Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
vipi kuhusu fb ujakosa amani .....maelezo yako yana utata huyo dada alikujua bila wewe kutaka akujue ..vipi namba za simu amkupeana cha muhimu hapo na wewe mchunguze...
kuna dada mmoja amenijua na tukapeana user name zetu huko facebook
yaani ananifatilia sana
nimekutana naye jana akaniangalia kwa jicho la husuda
nimekosa amani kabisa hapa jf,naomba msifanye makosa kama hayo wakuu!