mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
Usiku wa deni haukawii kucha, Wasudani wanadai shingo ya mtu huko igeuziwe kibra! Mimi simo, ila povu linaruhusiwa!
Mnavyo wakweza hao Al Hilal! Mtu asiye wajua anaweza akafikiri labda wapo kwenye level za Al Ahly ya Misri, nk. Kumbe ni timu ya kawaida tu.Usiku wa deni haukawii kucha, Wasudani wanadai shingo ya mtu huko igeuziwe kibra! Mimi simo, ila povu linaruhusiwa!
Baada ya kuwazidi ubora umepata nini ?Mnavyo wakweza hao Al Hilal! Mtu asiye wajua anaweza akafikiri labda wapo kwenye level za Al Ahly ya Misri, nk. Kumbe ni timu ya kawaida tu.
Kwanza Yanga wamewazidi kwa ubora wa kikosi.
😯🥺😳😲