Usiku umefika, Unataka lakini mwenzio mhh!!!!!!!! Unafanyaje?????

Ah! bacha, yaanai wewe ni mgongo tu! Yaani kakugeukia upande mwingie, na ukimshika sehemu fulani anageuka tena kuashiria hataki hata kushikwa hapo. Na pengine vile vile. Siyo mgongo tu

lugha gongana mkuu!!!
 
Wataalam,
Baada ya kupata mamboz katika threaad zilizopita na zikafanya kazi vema, Ngoja tena JF iendelee kujenga Ndoa.

Hapa tena kuna hili; Usiku umeusubiri kwa hamu kubwa, umefika. Mmefiak 6 x6 , na unahitaji kula tunda, lakini mwenzio kakugeuzia mgongo, na kumanzishia anajigeuza kwa kutotaka. Je ufanyeje??
Au ni ruhusa kubaka??? (hasa kama mkeo)
N la pili je, Kwa afya Ni mara ngapi kwa Siku/ au kwa wikki?? au kila siku

Ruksa kumbaka mkeo? Kwani kuna tofauti gani kati ya kumbaka mkeo na kumbaka mwanamke asiyekuwa mkeo? Naona kama hakuna tofauti. Lakini sheria zetu zimekuwa kimya juu ya ubakaji ndani ya ndoa. Whether or not ni ruksa kumbaka mkeo inategemea unambaka ukiwa nchi gani. Hii ni kwa sababu ubakaji ndani ya ndoa ni kosa la jinai kwenye nchi nyingi. Baadhi ya nchi hizo ni Argentina, Australia, Austria, Barbados, Belize, Bulgaria, Canada, Croatia, Cyprus, Denmark, Ecuador, United Kingdom, the Fiji Islands, Finland, France, Georgia, Germany, Honduras, Hong Kong, Ireland, Israel, Macedonia, Mexico, Namibia, Nepal, the Netherlands, New Zealand, Norway, the Philippines, Poland, South Africa, Spain, Sri Lanka, Sweden, Taiwan, Trinidad/Tobago, US, Uzbekistan, na hata Zimbabwe.
 
Nasema kama hata mara moja kwa wiki inakuwa ngumu, hiyo mara moja kwa siku si ndio ndoto.
Kwani wanawake hisia zao si kama za wanaume??

Kwa sababu hata enzi za mababu wanaume ndo walikuwa wanaoa wanawake weeeengi, nadhani ilikuwa ni kujitosheleza. Kuwa ili akiwa wiki nzima hayupo basi akirudi mwingine anakuwa ammemmiss pia

Wanawake vipi, How often do they feel to sex!
Au ndo maana watongozaji ni wanaume tu?
 
Ruksa kumbaka mkeo? Kwani kuna tofauti gani kati ya kumbaka mkeo na kumbaka mwanamke asiyekuwa mkeo? Naona kama hakuna tofauti. Lakini sheria zetu zimekuwa kimya juu ya ubakaji ndani ya ndoa. Whether or not ni ruksa kumbaka mkeo inategemea unambaka ukiwa nchi gani. Hii ni kwa sababu ubakaji ndani ya ndoa ni kosa la jinai kwenye nchi nyingi. Baadhi ya nchi hizo ni Argentina, Australia, Austria, Barbados, Belize, Bulgaria, Canada, Croatia, Cyprus, Denmark, Ecuador, United Kingdom, the Fiji Islands, Finland, France, Georgia, Germany, Honduras, Hong Kong, Ireland, Israel, Macedonia, Mexico, Namibia, Nepal, the Netherlands, New Zealand, Norway, the Philippines, Poland, South Africa, Spain, Sri Lanka, Sweden, Taiwan, Trinidad/Tobago, US, Uzbekistan, na hata Zimbabwe.

Kwa kifupi nchi zote hizi hazina ndoa kabisa ni mikataba tupu.
Mfano Canada, WAo mapenzi hayapo kabisa na wanatushangaa sana sisi wabongo. tunapendana kihivyo. Sioni tatizo la kumbaka mkeo.
Maana nyie mpo watupu, 6x6 moja, sasa kimebaki nini?
 
mweh..nyie mnaofanyaga kila siku, mnakula nini wenzetu?:eek::bump:

asubuhi....uji wa mtama na viazi vitamu......mchana....ugali wa mtama uliochanganywa na muhogo...mboga...kisamvu poli kilicho ungiwa samli...usiku..ugali wa mahindi usiokobolewa na mgagani ulioungiwa karanga.....they will never let you down
 
mara moja kwa wiki mbili so marambil kwa mwez
zngatia giza totoroooooo (only night)na chumba kifungwe wakat mna doo

Nyie ndo mnakua na nyumba 2!lol
Una mdanganya mtu wako only 2 times and then pembeni una mtu anayemaliza shida zako?
Si ndo mipango yenyewe au.....
 
Let y, x, z, w : real numbers.
Where
y= Required number par week (jibu la marangapi kwa wiki).
x= Number of times you said ' I love you' to your wife
w= If you love your wife w=0 else w=2x.
z= Number of times you didnt listen to your wife.
Then
Y= 0.04x2-0.01w-0.04z2
 
Akikugeuzia mgongo wewe uchune hata mwezi mzima pasipo kuonyesha interest ya mtanange. Utapata jawabu tu lazima
 
Akikugeuzia mgongo na wewe uuchape usingizi.....................................usije ukapoteza kuijenga afya yako............... kwa msala upitao......................
 
Kumlazimisha mwenzio wakati hataki huo unaitwa UBAKAJI.. tendo hilo ni la ridhaa..mridhiane si kulazimishana..
 
anza maandalizi mapema whereever you are,na kama imekuja ghafla basi bembeeleza utapata na hatimaye wote mtaridhika,kubaka sio mbaya mla kuku lazima amfukuze sio!:rofl:lakini hakikisha mna shindana mpaka mwenzio anaachia sio usingizini hapo pia unaweza kupima:A S clock: kama wewe ni msitahimilivu au ukiudhiwa kidogo tu unaghaili aaa bwana haifai shindana mpaka ushinde ati! mara ngapi hiyo haina idadi nguvu kama mnazo popote na saa yoyote atii!:target:
 
Wataalam,
Baada ya kupata mamboz katika threaad zilizopita na zikafanya kazi vema, Ngoja tena JF iendelee kujenga Ndoa.

Hapa tena kuna hili; Usiku umeusubiri kwa hamu kubwa, umefika. Mmefiak 6 x6 , na unahitaji kula tunda, lakini mwenzio kakugeuzia mgongo, na kumanzishia anajigeuza kwa kutotaka. Je ufanyeje??
Au ni ruhusa kubaka??? (hasa kama mkeo)
N la pili je, Kwa afya Ni mara ngapi kwa Siku/ au kwa wikki?? au kila siku
Je, ndoa yenu ina muda gani? Ni kawaida ya mwenzio? Kajifunze kuhusu body language, huenda anakupa huduma ya tiGO Pesa.....! Vinginevyo, asubuhi na mapema uende kwa balozi, na ikishindikana siku hizi kata zimesogezwa sana (hata kwa miguu unafika), nenda huko ukamfungulie kesi ya kukuhujumu haki yako, maana atakuwa yeye alipata mchana au muda mfupi uliopita....!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom