Usikose kifaa hiki kwenye gari lako

Usikose kifaa hiki kwenye gari lako

Je ina uwezo wa kuniambia Gari yangu iliko (GPS)??
 
inao uwezo huo na inao uwezo hata wa kuonyesha gari lilipopita kwa siku za nyuma
Kwa siku za nyuma kivipi??
Yaani ufunge leo kisha ionyeshe jana ilipita wapi??
Au sijaelewa??

Na Gharama zake ni kiasi gani Initial Costs na Monthly Charges (kama zipo)??
 
Kwa siku za nyuma kivipi??
Yaani ufunge leo kisha ionyeshe jana ilipita wapi??
Au sijaelewa??

Na Gharama zake ni kiasi gani Initial Costs na Monthly Charges (kama zipo)??
nilimaanisha ukishafunga baada ya kuwa na kifaa tuseme kwa miezi mitatu na ukaona unahitaji kupata ripoti ya mwezi mmoja uliopita basi unaweza kuona pia na kama unahitaji kujua live report(current report ) basi unaweza kupata .
gharama ya kufunga ni shillingi laki tatu (TSH300,000/-) na monthly charges ni shilingi elfu 20,000/- . ukilipia monthly charges utapata report zote kupitia web account na kwenye android/iphone app . na kama utaamua kutolipa monthly charges utapata taarifa kupita sms kwenye simu yako ya mkononi .
 
nilimaanisha ukishafunga baada ya kuwa na kifaa tuseme kwa miezi mitatu na ukaona unahitaji kupata ripoti ya mwezi mmoja uliopita basi unaweza kuona pia na kama unahitaji kujua live report(current report ) basi unaweza kupata .
gharama ya kufunga ni shillingi laki tatu (TSH300,000/-) na monthly charges ni shilingi elfu 20,000/- . ukilipia monthly charges utapata report zote kupitia web account na kwenye android/iphone app . na kama utaamua kutolipa monthly charges utapata taarifa kupita sms kwenye simu yako ya mkononi .
Sawa Mkuu,
Nimekuelewa na nimeipenda hii kitu, nitakutafuta Jumapili keshokutwa
 
kwa mahitaji ya cctv camera
 

Attachments

  • cctv camera.jpg
    cctv camera.jpg
    36.5 KB · Views: 51
jipatie ofa nzuri ya camera za majumbani maofisini na viwandani zenye warranty ya mwaka mmoja kutoka isecure technology, Tunakuhakikishia kazi yenye ubora mzuri , vifaa imara na huduma uhakika, wasiliana nasi kwa 0714890018 , info@isecure.co.tz , www.isecure.co.tz
 
Karibu ujipatie huduma zifuatazo kutoka isecure technology
  • CCTV camera systems repair and installation
  • Fire alarms systems repair and installation
  • Access control systems
  • Video intercom systems
  • Automatic gates. Repair and installation
  • Car tracking systems installation
  • Electric fence
  • Time attendance systems
 
Vipi kuhusu utumiaji wake wa data? Inakula sana mb's au iko wastani?
haili sana data , kingine inategemea na settings za device na matumizi ya gari yako , device mara nyingi huwa inakuwa active pale gari linapotumika na ndio hapo hutuma data kama halitumiki na chenyewe kinaacha kutuma , labda mpaka kuwe na alarm au taarifa nyingine, lakini pia unaweza kuset kiwe kina toa taarifa kila baada ya muda utakaokuwa unahitaji bila kujali gari limezimwa au kuwashwa.
 
Hamna aliyefunga hiki kifaa wakuu akatuambia ufanisi wake?
 
Mkuu kama kifaa kinalipiwa monthly charges niza nini? Je hio 20K inamaanisha data utakua unalipia wewe?
 
Back
Top Bottom