usalama kwanza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2012
- 386
- 158
- Thread starter
- #21
Bei nimeshaitaja , hukupitia post nyingine hapo juu, ni shilingi laki tatu unawekewa kifaa na kinaanza fanya kazi muda huo huo.mkuu acha kuwa kama mbabaishaji kwa kuwa ni biashara ya mtandaoni weka mambo yote hadharani na bei kabisa harafu ss wengine ni mafundi huwa kuna watu wanahitaji huduma hiyo hivyo ukiweka bei inkuwa rahisi sana kwetu. na hata wanao hitaji kufungiwa??
kifaa kinauwezo wa kukupa taarifa popote pale ulipo mtandao, na hata kama hakuna mtandao utapata taarifa zote mara punde mtandao utakaporejeaUmesema hicho kifaa kina uwezo wa kunipa taarifa ya gari lilipo, kwa umbali gani?
Karibu ndugu , inshaallah utalipataOk,nikinunua gari inshaallah 'amtafuteni'
Ni car tracking device, Siku ukihitaji kuwekewa kwenye gari utajua kwanini nimeacha namba ya simu na kuruhusu watu waje inbox.Ungetaja jina ya hiyo kifaa tu mzee tuje inbox kufanya nini boss
Mpaka sasa hakuna malalamiko yoyote ambayo tumepokea . na kifaa kina password hivyo hakuna mtu mwengine anayeweza kukichezea unless awe na password na awe na namba ya simu ya hiko kifaa , gari ikiwa idle huwa kinajiwasha kama alarm . Kimetengenezwa kuhakikisha usalama mfano gari ikiwa inatembea na ukaamua kulizima halitazimika mpaka speed ipungue iwe ndogo unless uamue kulizima hata likiwa kwenye mwendo mkali. Kifupi kifaa ni kizuri ,muhimu , nitakupa mwaka mzima guarantee kama kikiharibika tutakuwekea kipya. Karibu ndugu toa shakaTuambie na side effects za hicho kifaa bro.....au hakuna?
Okay labda niweke hivi kuna aina mbili za device moja ni alarm and tracker na nyingine ni tracker yenye uwezo wa kudetect matatizo ya kwenye gari , sasa kutokana na chaguo la mteja anaweza angalia ni kifaa kipi angependelea kufungiwa , ni rahisi kuzungumzia device ya kwanza , lakini ni ngumu kuongelea device ya pili sababu itaondoa dhana nzima ya usalama . Hilo ndio ninaloweza kusema.usalama kwanza mm nimekuuliza maswali mbona hujanijibu??
plz naomba unijibu hayo maswali hasa kuanzia kipengele cha i,ii,iii na iv kwa ufasaha na weledi wakiundani kiufundi na mifano pia.
vp kuhusu uhai wa betri kitendo cha kuwa On muda mwingi kinawza kuharbu betri na kushndwa kupga stata?Isecure Technology inawaletea teknolojia mpya ya usalama katika gari , ambacho inafanya kazi kama alarm system hapo hapo inafanya kazi ya tracking . Kifaa hiki kina uwezo wa kufanya kazi zote kwa pamoja au kufanya kazi moja moja kutokana na mteja atakavyopendelea. Kifaa kinafanya kazi kama ifuatavyo
1. Kifaa kinafanya kazi kama alarm.
i) Hii inamaana italiza king’ora ikiwa ghali lako litagushwa au kupata mshtuko
ii) Iwapo alarm italia utapata pia taarifa kwenye simu yako ya mkononi.
iii) Milango ya gari itakuwa imefunguliwa.
2. Kifaa kinafanya kazi ya kutrack.
i) Hapa itakupa taarifa ya kuwashwa kwa gari yako ,
ii) Itakupa taarifa ya kuzimwa kwa gari yako
iii) Utapata taarifa ya utumiaji wa mafuta katika gari yako
iv) Itakupatia taarifa kuhusu mwendo kasi wa gari lako na kama gari lako limezidishwa mwendo.
v) Inayo uwezo wa kukupa taarifa ya gari yako kila baada ya muda utakaochagua , mfano kila baada ya nusu saa , hapa itakuletea mwendokasi wa gari ,mahali lilipo, na muda.
vi) Inao uwezo wa kukupa taarifa ya gari lako kutokana na umbali uliotembea , mfano kila baada ya kilomita 3 itakuletea taarifa gari lilipo, mwendokasi, na muda.
vii) Inao uwezo wa kulizima gari lako popote lilipo na lisiweze kuwaka mpaka pale utakapoamua kuliwasha kwa kupitia simu yako ya mkononi.
viii) Pia lina geofencing function, SOS button , online tracking.
Kwanini uweke kifaa hiki kwenye gari lako.
a) Kifaa kina alarm hivyo muda wowote usalama wa gari yako utakuwa wa uhakika
b) Utapata kujua matumizi ya gari yako , mfano speed , eneo lililopo
c) utapata kujua taarifa za matumizi ya mfuta.
d) Hakuna hofu ya gari lako kuibwa kwani unaweza kulizima popote pale na muda wowote.
e) Hakuna malipo ya mwisho wa mwezi pia unao uwezo wa kuchagua kifaa kifanye kazi ipi na ipi kisifanye .
Kwa wanaohitaji Mawasiliano
simu : 0714890018
Email: justine@isecuretec.com
tupo karibu na kanisa katoliki , njia ya kuelekea cannosa secondar school, nipigie 0714890018Mnapatikana Tegeta Kibaoni Duka gani??? Liko upande upi?? Mi mwenyeji unaweza nielekeza ofisi zenu zilipo.