Usijisikie mnyonge kwa ku-skip meals

Usijisikie mnyonge kwa ku-skip meals

ERTUGRUL BEY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
11,529
Reaction score
21,530
Screenshot_20260205-100738_ChatGPT.jpg


My people,​

Hii ni kwa watafutaji na wahangaikaji wote popote mlipo,endeleeni kupambana.

Kwa watu ambao wana vipato vizur hawawezi kujua kwamba kuna watu ambao inabidi mida ya lunch time wakaushe kimya bila kula,sio kwamba hawapendi ila ni kwasababu hisabati hairuhusu kupata mlo wa mchana.

Unakuta mtu akifanya hisabati zake za kula home,Bill mbali mbali bila kusahau nauli ya kwendea mzigoni,anajikuta bajeti iko tight kinoma,tukio lolote la kucheza na bajeti hiyo,inahatarisha ratiba nyengine za maisha

Watafutaji wote msikate tamaa wala msijisikie vibaya,hizo ni stage za maisha tu,wengi sana wameyapitia hayo akiwemo the bey himself,kwahiyo hakuna kujisikia unyonge keep head up,yatapita tu,siku zote tambua maisha ni mchakato kwahiyo nawe upo kwenye mchakato,ipo siku itakuwa historia kwako.

Endelea kupambana,hata huko mambele kuna watu wanaskip meals kama kawaida na wanasongesha maisha kama kawa,wewe sio wa kwanza kuna mamia ya watu wapo hivyo pia.

Kataa unyonge na endelea kupambana one day itakuwa historia,itabaki kuwa sehemu ya mapito ambayo uliwahi kupitia katika maisha yako

Ni hayo tu!
 
View attachment 3539431

PEOPLE,​

Hii ni kwa watafutaji na wahangaikaji wote popote mlipo,endeleeni kupambana.

Kwa watu ambao wana vipato vizur hawawezi kujua kwamba kuna watu ambao inabidi mida ya lunch time wakaushe kimya bila kula,sio kwamba hawapendi ila ni kwasababu hisabati hairuhusu kupata mlo wa mchana.

Unakuta mtu akifanya hisabati zake za kula home,Bill mbali mbali bila kusahau nauli ya kwendea mzigoni,anajikuta bajeti iko tight kinoma,tukio lolote la kucheza na bajeti hiyo,inahatarisha ratiba nyengine za maisha

Watafutaji wote msikate tamaa wala msijisikie vibaya,hizo ni stage za maisha tu,wengi sana wameyapitia hayo akiwemo the bey himself,kwahiyo hakuna kujisikia unyonge keep head up,yatapita tu,siku zote tambua maisha ni mchakato kwahiyo nawe upo kwenye mchakato,ipo siku itakuwa historia kwako.

Endelea kupambana,hata huko mambele kuna watu wanaskip meals kama kawaida na wanasongesha maisha kama kawa,wewe sio wa kwanza kuna mamia ya watu wapo hivyo pia.

Kataa unyonge na endelea kupambana one day itakuwa historia,itabaki kuwa sehemu ya mapito ambayo uliwahi kupitia katika maisha yako

Ni hayo tu!
Watu wenye vipato vizuri wanajua shida wanazopitia watu wengine.
 
Unakuta mtu akifanya hisabati zake za kula home,Bill mbali mbali bila kusahau nauli ya kwendea mzigoni,anajikuta bajeti iko tight kinoma,tukio lolote la kucheza na bajeti hiyo inahatarisha ratiba nyengine za maisha
Hizo ratiba nyingine za maisha zina umuhimu gani sana kuliko wewe kula? hivi kuna kitu muhimu kingine kwa kiumbe kilicho hai zaidi ya kula?

Kula inatakiwa iwe top priority yako ili upate nguvu na akili yakufuatilia hayo mambo mengine,kuskip kula sio ujanja kisa unabana hela ufanye mambo mengine,hayo mambo mengine hayawezi kuna na umuhimu zaidi ya uhai wako.
 
Hizo ratiba nyingine za maisha zina umuhimu gana sana kuliko wewe kula? hivi kuna kitu muhimu kingine kwa kiumbe kilicha hai zaidi ya kula?

Kula inatakiwa iwe top priority yako ili upate nguvu na akili yakufuatilia hayo mambo mengine,kuskip kula sio ujanja kisa unabana hela ufanye mambo mengine,hayo mambo mengine hayawezi kuna na umuhimu zaidi ya uhai wako.
Hapa hatuachi kula kabisa,ila tunapiga rakaa mbili,asubuhi na usiku,mchana tunakausha
 
Back
Top Bottom