PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,646
- 15,761
Asilimia kubwa ya Wehu, vichaa na maahira wengi tunaokutana nao barabarani ukiwachunguza vizuri utagundua hawana uvungu chini ya nyayo zao za miguu.
Ukikutana mwenza ambae Hana uvungu ila Yuko timamu kichwani, ukimchunguza vizur ukoo wake alikotokea, utagundua kuna ndugu yake mmojawapo kwny ukoo wake either aliwahi kua au sahivi ni kichaa, mwehu au taahira.
Hapo utagundua ata mwenza ulienae, suala la Wehu,uchizi, utaahira au ukichaa liko kwny damu Yake. Na Mara nyingi Changamoto za hivi utembea sana kwny kitovu Cha Mtoto.
Hivyo Ni suala la Muda TU, utaanza kuuona wehu,uchizi, ukichaa na utaahira wake halisia maana Ni kitu iko kwny damu Yake.
Ndo maana Kuna baadhi ya idara nyeti, Kama huna uvungu mguuni huajiriwi, unahesabika una kasoro kubwa isiyohimilika, utakuja kuwasumbua sana baadae
Nawasilisha