Msolopagaz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2014
- 461
- 212
escrow
aisee huwezi kunishawishi nisimguse mwananke namba 7 huyo ndio nimtakae mimi
Ukiwagusa unakufa?
Pole jidanganye.
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
Kama hutaki shida oa mwanamke asiye na papuchi
Mi siku zote huwa nasema hakuna universal formula ya ndoa/mapenzi. Kila mtu ana preferences zake.....na hizo ni za kwako mtoa mada
unampigia dada yako debe ee???...1.ana mtoto na mtu mwingine2. Amekaa single muda mrefu3. Ameishawahi kua barmaid4. Ni white au ngozi nyeupe5. Ni mzuri kupitia kiasi6. Ni model 7.nk
process ya kutongoza hadi kwenda kupiga mzigo ni rahisi zaidi Bar maid akishaonesha positive response unakuwa na uhakika na mzigo
Hapo namba 5 hunishawishi siwez kuoa zinjanthropus lazma ioe kitu kilichotulia na kimesimama.
Hayo mambo ya kutoombewa n maada nyingne kabisa wala havihusian.
Kama kthombwa hata kichaa anathombwa