King's daughter
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 690
- 198
Ati model!! hayawan wewe kwa taarifa yako nishaguswa nkagusika chezea model ww sumaku ya dunia!!
Naomba niwaulize nyie
wanaume, kwani mkizaa na wanawake mkaachana kila mmoja akapata ndoa
yake... JE, HUWA MNAENDELEZA KUNJUNJANA NA MAMA MTOTO AMBAE MLIACHANA?
Maana hiyo no 1 mmh...
aisee huwezi kunishawishi nisimguse mwananke namba 7 huyo ndio nimtakae mimi
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
jaribu kuzaa na mtu aafu uachane naye
Si lazima ila mara nyingi, nyinyi mkikaangalia Kaimage mlikounda na mtu mnamkumbuka sana na mtataka kukumbushia kilichomuunda mtoto au hata mazungumzo tu ya kawaida ambayo nayo hupelekea katika kufanyika tendo la ndoa vile vile.
1.Ana mtoto na mtu mwingine
2. Amekaa single muda mrefu
3. Ameishawahi kua barmaid
4. Ni white au ngozi nyeupe
5.Ni mzuri kupitia kiasi
6. Ni model
7.Nk