Usifungue thread hii utani huu siyo

Usifungue thread hii utani huu siyo

Domo km mamba, angal mwili una mabaka km chura. Vp unatak lingine hebu chek chunus km ganda la fenesi.
 
Ulizaliwa sokoni ukafunikwa na maganda ya kabeji
 
pua zimekufunuka utafikiri umesikia harufu mbaya
maziwa yamekusimama utadhani vikombe vya simu
kikundu cha juu juu utadhani kigoma cha daku
 
umezoea kuedesha bodaboda mpaka ukiwa kwenye gari ukifikia kona unatoa mguu njee
 
twende.. Twende..
Pua ka filimbi ya mchawi, kidevu ka kona ya sambusa, we ni mfupi adi ukichuma mchicha unapanda ngazi. Ulienda hotelini ukapewa chai, chapati na uma..chai ukanawia uso, chapati ukafutia uso na uma ukachania nywele
 
Back
Top Bottom