Usifungue thread hii utani huu siyo

Usifungue thread hii utani huu siyo

Muone ulienda hospitali dr akakuambia kalete choo tukupime ukaenda kubomoa choo cha kwenu....jinga weweee.
 
Ulikua unauza nyanya mzungu akazikanyaga akakuambia exchuz me ukamwambia Wazijua za mchuzi halafu wazikanyaga
 
Watu wanapenda kinachokatazwa mfano.usigonge madem,usikojoe hapa,usipokee rushwa,n.k sasa ulitakiwa useme "lazima ubofye hii uzi"ili iwe vice versa. Watu walikimbilia kuona tsunami,mabomu,tenki la mafuta lilopasuka,n.k
 
Back
Top Bottom