Usibishe,inaburudisha sana.

Usibishe,inaburudisha sana.

Inasikitisha na kutia simanzi unapokuwa kwenye dimbwi la mahaba na dem mkali.........baadaye unatambulishwa kwamba ni ndugu yako!
 
Inafurahisha sana pale unapomuona demu aliyekubwaga kwa manjonjo yote anapita na njemba lenye sura mbaya lililochoka!
 
inaburudisha sana unapogundua kumbe kuna jukwaa la kupunguzia stress ukishatoka jukwaa la siasa
 
inahuzunisha pale unapofariki kwenye folen ya mshahara wako wa kwanza toka uanze kazi.
dada hii ilimtoke arafiki yangu yaani anaanza kazi j3 akafariki jmosi na alikuwa amekaa mtaani 2yrs
 
inakera pale unapoenda nyumbani kwa mtu halafu simu yako inakuwa haina network - kila ukitaka kupiga simu hadi utoke nje!
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Chimala Mbeya.
 
Inafurahisha kumpa mimba dem unayempenda kwa moyo wote.

Near by Nane nane Mbeya.
 
Inafurahisha sana unapopata sms ya demu unayemfukuzia hlf anakuzengua ikiuliza ''leo mchana unakula nn?''
 
Inafurahisha pale unapoamini Mungu yupo na siku unapokufa unamkuta.

Near by Ileje Mbeya.
 
kinyume chake huwa inakela sana pale unaposhituka na kugundua una kama dak 30 kabla haujafika muda wa kuondoka kwenda kwenye mishe
unagundua bado una masaa mawili zaidi ya kuendelea kulala kabla ya muda wa kuamka
 
Imenifurahisha sana pale nilipo gundua jamii forum member wengi ni madogolas hivyo nipen shikamoo wadogo zangu.

Near by Soweto Mbeya.
 
Back
Top Bottom