Ushuhuda wa dada yangu: Ukioa mdada wa chuoni ambae kwao anaweza kurudi kirahisi tegemea kusingiziwa unamfanyia ubaya akiona majukumu ya ndoa magumu

Kwa huu umbea napata picha kuwa shida ni malezi mliyopitia. Hata wewe utakuwa bonge la furushi kwenye ndoa yako. Unatuletea umbea na ukweli wote unaujua si uwe mwanaume mnyooshe dada yako!!
 
Sioi wala siwi na mahusiano na mwanamke asie jishughulisha na sio kujishughulisha tu bali na kazi yenyewe iwe na changamoto nyingi na ikiwezekana iwe kazi ngumu, lakini eti katoka kwao alafu akalipiwa hostel alafu nikamzoe huko nimlete nyumbani! Hilo ni bomu! Samaki wa mapambo haliwi
 
Utakuwa mchawi wewe
 

Kwa Hiyo altitude yako sidhani kama ndoa yako itadumu.
 
Mpaka pale tutakapo jua the true definition of a woman ndo wanaume tutapata amani........a womon is the most complicated animal on earth......awe wa aina gani atakusumbua tu solution ziko 3 either unasalimu amri, au unaishi nae maisha ya kuviziana na kero, au kukataa ndoa
 

We MBWA ni ME, KE au SHOGA?
😳😳😳

#YNWA
 

Poleeee...
Tukiwaambia MSIOE ila HAMKUELEWA.

#YNWA
 
Tukikataa ndoa tunaambiwa tunakwepa majukumu kumbe sisi wakataa ndoa tuna majukumu mengi kwenye machimbo tofauti tulipo weka mbegu na utelezi uko mwingi
 
character ya hao nilio kuelekeza wana afadhali sana aisee! Kwanza wanajua nini kinaendelea kwenye level ya maisha kuliko hilo group lingine wanakua wanaenda enda tu kama wanaota na hata ukimuelezea maisha yeye anachojua ni kuzaliwa kusoma na kudanga au kuolewa na kuzaa alafu bhasi
 
Nyumba zenye washing machine hazifiki 1% bongo?

Japo sijafanya research ila kaa ukijua hiyo kitu ni kawaida sana siku hizi, kawaida saaana.
Yaani umeiweka kavile ni kitu ajabu sana m-bongo kua nacho.
 
Vi - Degree vya chupi


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…