Ushuhuda wa dada yangu: Ukioa mdada wa chuoni ambae kwao anaweza kurudi kirahisi tegemea kusingiziwa unamfanyia ubaya akiona majukumu ya ndoa magumu

Mambo mengine yashapitwa na wakati....kwanini huyo shemeji yako asinunue washing machine na geyser.

Kama anafanya kazi kumfulisha mwanamke....kuchemshiwa maji kila asubuhi kutesana. Hawezi kujichemshia maji?
Kwa hapa kwetu nyumba zenye mashine hizo hazifikii hata 1%,

Ni vema kujua kuishi katika maisha general ya watanzania wengi, huku si marekani kwamba hata magereza kuna mashine za kufua.

Mwanamke kumfulia mwanamme wake ni moja katika majukumu yake ya usafi kama ilivyo kwa mwanaume kutekeleza majukumu yake ya kuilisha familia hata kama atatembea kwenda kazini kilometa mbili ili abane hela ya kulisha.
 
😂😂😂 ndiyo
Kwanini aache kufanya
Unaona sasa, ule ni msaada tu sio lazima afanye. Ni sawa na ishu ya kuhudumia familia, ni jukumu la mme ila mke anaweza saidia ila siku akikata huo usaidizi mume asione kama mkewe anakosea.
 
Mambo mengine yashapitwa na wakati....kwanini huyo shemeji yako asinunue washing machine na geyser.

Kama anafanya kazi kumfulisha mwanamke....kuchemshiwa maji kila asubuhi kutesana. Hawezi kujichemshia maji?

Mkuu bora utusaidie
 
Kwa hapa kwetu nyumba zenye mashine hizo hazifikii hata 1%,

Ni vema kujua kuishi katika maisha general ya watanzania wengi, huku si marekani kwamba hata magereza kuna mashine za kufua.

Mwanamke kumfulia mwanamme wake ni moja katika majukumu yake ya usafi.
Basi tuzidi kulalamika. sasa kettle ni shingapi? Kwamba nikiamka asubuhi seriously nishindwe kujiwekea maji ya kuoga kwa kettle???
 
Tatizo ni usawa wa kwenye theory wanazosoma, kuna jamaa alishaleta kisa humu kuwa alikua anamsaidia mkewe kazi kwakuwa alikua anawai kutoka kazini lakini siku akiacha mkewe anamlalamikia sana kwanini hajafanya.
Wanawake hawajawahi na hawatawahi kuja kuwa na formula ya kuishi nao na hakuna mwanaume yeyote Duniani anaweza kusema anamridhisha mke wake, sema ukiona mume na mke wanaishi pamoja jua wanavumiliana tu na kila mmoja kajishikiza tu kwa mwingine.
 
Wanawake hawajawahi na hawatawahi kuja kuwa na formula ya kuishi nao na hakuna mwanaume yeyote Duniani anaweza kusema anamridhisha mke wake, sema ukiona mume na mke wanaishi pamoja jua wanavumiliana tu na kila mmoja kajishikiza tu kwa mwingine.
Kuvumiliana ni muhimu ila hawa wasomi uvumilivu ni 0.001%
 
Basi tuzidi kulalamika. sasa kettle ni shingapi? Kwamba nikiamka asubuhi seriously nishindwe kujiwekea maji ya kuoga kwa kettle???
Kama kwako ni sawa basi ni maamuzi yako binafsi lakini haibadilishi majukumu ya mwanamke kwenye ndoa ambayo kwa jinsi inavyoonekana huenda hata huyajui.
 
Mambo mengine yashapitwa na wakati....kwanini huyo shemeji yako asinunue washing machine na geyser.

Kama anafanya kazi kumfulisha mwanamke....kuchemshiwa maji kila asubuhi kutesana. Hawezi kujichemshia maji?
Wengi wenye akili km hizi ndiyo ndoa zao zimevunjika au kupitia tanuru la kaa la moto. Yani ununuliwe mashine sababu tu uvivu na ubishoo wako au kwa sababu nyingine. Kwa mtindo huu mtabakia single mother hadi mkome.
 
Wengi wenye akili km hizi ndiyo ndoa zao zimevunjika au kupitia tanuru la kaa la moto. Yani ununuliwe mashine sababu tu uvivu na ubishoo wako au kwa sababu nyingine. Kwa mtindo huu mtabakia single mother hadi mkome.
Kaka sio mwanamke huyo, Ni mwanaume huyo alieshauri,
 
Ancle Bright elewa hili... Mimi nimesogeza mdada 4m 4 leaver failure.. sio mrembo anachapa kaz izo ulizosema lakini ana mdomo sana ni mgomvi mno.. Najuta kuwa nae maana hua sipend kelele na ugomvi..natoa hii hoja kukuelewesha mahusiano ya hawa wadada wa siku hizi ni kubet tu chukua hata asie soma akija mjini siku 2 anakua msomi na ujeuri juu.. inapaswa kumuomba sana Mungu..
Huyu nina hakika tutaachana na sintathubutu tena kuish na hawa wadudu and i can say the thing i feared most has happened... najickia vibaya sana cz mimi najijua vzur
 
Back
Top Bottom