Huo ndo ukweli na sio kutishana....Sidhani kama hao wazungu wanatumia hayo makitu..Na kama wanatumia basi zao sio kama hizi tunapewa huku dunia ya 3. Turudi tu kwenye asili na tuache ujuaji mwingi.
nadhani zile ni dawa za kunenepesha aisee, mie nilinenepa mtumbo huo, kwa sie wengine wa kinywaji/nyama choma/mbuzi katoliki ndio inakuwa balaa kabisa kabisa.
Kwa muonekano wako nlidhani mtoto wa sheikh
Kwa muonekano wako nlidhani mtoto wa sheikh
yap, japo nagonga mara moja moja kifichoni...
Nimegundua wengi humu ni wauwaji (Aborter). Hiyo kitu ya kufuata kalenda ambayo wadau wengi wameelezea kua wanatumia ni wizi mtupu. Mizunguko ya kina mama wengi haiko uniform. akipata stress kidogo tu teyari tarehe zishajichanganya. Na huwezijua kama zimepalaganyika mpaka aone haingii tena mwezini. yaani kusema ishanasia. Enhe unategemea solution yake ni nini kama sio kwenda kuabort?
Daaah dunia hii!
We ndo muuaji ambaye umezoea ku abort wenzio kama we huwezi tumia kalenda bora unyamaze.gfsonwin hebu njoo uone watu wanavyotia kichefuchefu
kikubwa mie naona ni watu tusipende kuifanyia majaribio miili yetu.
Kuna watu wanakimbizana na teknolojia kama inavyokuja bila kujipa muda wa kupima madhara.
Bora nizae watoto 50 kuliko kutumia njia za uzazi hizi za kisasa.