SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 455
- 1,283
IGWEEEE
Wakuu kuna wakati ni kipindi cha nyuma sana nikiwa kidato cha 6 tuliwahi pewa semina haikuwa rasimi sana na ilikuwa inahusu swala la vidonge au Sindano za Uzazi wa Mpango.
Jamaa alituambia Vidonge/ Sindano za uzazi wa mpango zina madhara makubwa sana kuliko Faida zake na hata watawala wanajua hilo sema sasa ndio mambo ya Kwa hisani ya watu wa Marekani.
Sikumbuki kama alisema ni aina zote za sindano au vidonge ila alisema endapo Mama atatumia Vidonge au Sindano kwa muda mrefu sana my be 10 years na baadae akaja kubeba ujauzito kuna tabia hizo sindano na Vidonge vinazalisha Homoni nyingi sana za Kike mwilini mwa mtumiaji.
Sasa endapo mtumiaji akaja kubeba ujauzito na ikitokea kajifungua mtoto wa Kiume, possibility ya mtoto kuwa na homoni nyingi za kike ni kubwa sana na kila mtu anajua kifuatacho endapo mtoto wa kiume anazaliwa na Homoni nyingi za kike.
Na endapo sasa mtoto aliezaliwa ni wa kike, hapo pia ni mtoto kuwa na homoni zaidi za kike na hii hupelekea kibinti miaka 8 matiti yalisha chomoza na yanakaribia kulala kabisa, Binti anakuwa na homoni zaidi za kike ambazo humpelekea kupevuka mapema sana na kuanza utu uzima mapema sana.
Hii habari nilikuja tena kukutana nayo sehemu, inazungumzwa, ingawa sijawahi prove so sijui ukweli ni upi ila humu kuna weza kukawa na wadau wanajua zaidi haya mambo.
========
Taarifa hii imefanyiwa kazi kwenye Jukwaa la Jamii Check. Soma: Matumizi ya Muda mrefu ya Dawa za uzazi wa Mpango husababisha kuzaa watoto wa Kiume wenye homoni za Kike
Wakuu kuna wakati ni kipindi cha nyuma sana nikiwa kidato cha 6 tuliwahi pewa semina haikuwa rasimi sana na ilikuwa inahusu swala la vidonge au Sindano za Uzazi wa Mpango.
Jamaa alituambia Vidonge/ Sindano za uzazi wa mpango zina madhara makubwa sana kuliko Faida zake na hata watawala wanajua hilo sema sasa ndio mambo ya Kwa hisani ya watu wa Marekani.
Sikumbuki kama alisema ni aina zote za sindano au vidonge ila alisema endapo Mama atatumia Vidonge au Sindano kwa muda mrefu sana my be 10 years na baadae akaja kubeba ujauzito kuna tabia hizo sindano na Vidonge vinazalisha Homoni nyingi sana za Kike mwilini mwa mtumiaji.
Sasa endapo mtumiaji akaja kubeba ujauzito na ikitokea kajifungua mtoto wa Kiume, possibility ya mtoto kuwa na homoni nyingi za kike ni kubwa sana na kila mtu anajua kifuatacho endapo mtoto wa kiume anazaliwa na Homoni nyingi za kike.
Na endapo sasa mtoto aliezaliwa ni wa kike, hapo pia ni mtoto kuwa na homoni zaidi za kike na hii hupelekea kibinti miaka 8 matiti yalisha chomoza na yanakaribia kulala kabisa, Binti anakuwa na homoni zaidi za kike ambazo humpelekea kupevuka mapema sana na kuanza utu uzima mapema sana.
Hii habari nilikuja tena kukutana nayo sehemu, inazungumzwa, ingawa sijawahi prove so sijui ukweli ni upi ila humu kuna weza kukawa na wadau wanajua zaidi haya mambo.
========
Taarifa hii imefanyiwa kazi kwenye Jukwaa la Jamii Check. Soma: Matumizi ya Muda mrefu ya Dawa za uzazi wa Mpango husababisha kuzaa watoto wa Kiume wenye homoni za Kike